Huyo Mama aliyevaa hijab sijui ni kwanini simpendi kabisa hata kumuona!
mngoni huyo, oh hooso anafukuzia UMBEA?
Umbea tu ......... huyu si ndio kiranja wa Habari? anapata umbea kutoka kwa akina mama.Matola huyo mama mkaushie ..chake jamaa wa kushoti huyo
Yule pale ndiye anaujauzito wa marehemu??? Usimwonyeshe mtu ingawa hili jamaa hapa pembeni linapenda udaku!!!!
Yule pale ndiye anaujauzito wa marehemu??? Usimwonyeshe mtu ingawa hili jamaa hapa pembeni linapenda udaku!!!!
Ungejipa muda wa kuifahamu vizuri Taasisi ya WAMA naamini na wewe utakuwa miongoni mwa wanaomchukia huyu Mama kama nilivyo mimi.Achana na wake za watu mkuu
huyu jamaa anasikiliza nini?
View attachment 51413
Huyo Mama aliyevaa hijab sijui ni kwanini simpendi kabisa hata kumuona!
Poor comment, unataka kutuambia kuwa yeye sio mke wa mtu mpaka unaona yeye kujifungua akiwa Ikulu ni kosa, acha hizo ndugu. Mbona Nyerere naye alikuwa na mke na kupata watoto akiwa Ikulu. Sijapenda hiyo post bana in maudhi kwa wanawake bana aaaaaaaaaaaaaaaah!wa kwanza kujifungua akiwa Ikulu, naona sura inaonesha kulaza kalenda
Huyo Mama aliyevaa hijab sijui ni kwanini simpendi kabisa hata kumuona!
kazi ipo mpwahapo nchimbi alikuwa tungi mbaya, hadi macho yanamsuta!
Isije kuwa naye anatumia jack daniels!
View attachment 51425
Hunishindi mimi.Huyo Mama aliyevaa hijab sijui ni kwanini simpendi kabisa hata kumuona!
Huyo Mama aliyevaa hijab sijui ni kwanini simpendi kabisa hata kumuona!