Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Jestina usikate tamaa,Mungu ni wa wote bana.i regret not having kids at tender age....,i can not see happening now.......makes me sad.
Jestina usikate tamaa,Mungu ni wa wote bana.i regret not having kids at tender age....,i can not see happening now.......makes me sad.
du! Jasmine inaonekana una machungu hatari.Pole sana,mimi nakushauri uangalie mbele uendako,achana na historia,nini virginity bana wengine wanaivunjia kwenye michezo,songa mbele mtoto wa kike achana na historia na Mungu atakupa haja ya moyo wako.Walaghai tuko wengi mjini we tusamehe bure tu ni udhaifu wetu wa kuzaliwa.aisee kwa kweli me najuta kumpatia virginity yangu m2 ambae sikuwa moyoni mwake. kwa kweli niliji2nza na nilivyompata yeye nikaona mwanaume ndo huyu nikamkabidhi moyo wangu wote na mwili wangu kwa kweli yaliyonikuta baada ya hapo ni mazito ambayo yananifanya mpaka leo nijute. aliniendesha alivjojisikiaalidiriki kuongea na madem zake mbele yangu hukun akiwabusu mimi akiniziba mdomo nisiseme chochote.Aisee inaniuma sana hv ninavyosimulia hadi machozi yananitoka na inaniuma zaidi my "virginity" kujitunza nilikoji2nza anakuja kufanikiwa m2 ambae hakunithamini na nimedumu nae mda mchache sana aisee najuta!!
asante kwa kunitia moyo,
sipendi itokee siku uwe pekee yako,
Mungu awatunze tu wote kwenye ndoa yenu,
nawapenda wote.
usijali Mam,bora salama,yote ni maisha (ce la vie)Najuta kuolewa na mwanaume muhuniiiiiiiiiiiiiiiii,
mwisho wa siku nimebaki nalea watoto pekee yangu,
ni mwaka wa kumi na mbili sasa niko alone, kabisa,
mtoto wa mwisho niliondoka naye akiwa mdogo sasa ndo anaingia fomu five, My God, uiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Lizzy bana........haya....Sasa ntakumbukaje majuto ambayo sikuwahi kuwa nayo?
Unashangaza kweli kunilazimisha kuwa na majuto wakati sinayo. . . wewe kama unayo hongera (iwapo yanasaidia)/pole (iwapo yanaongeza tu msongo wa mawazo). Swala la kuwa au kutokua mkamilifu huwezi nipimia kwa vipimo vyako hivyo mimi kama mimi najiona nimekamilika. .mimi niko vile Mungu alivyokusudia niwe hivyo sina cha kujutia.
kwenye red mkuu,ina maana kama ulipiga bila kondom ukaukwaa given an opportunity ungerudia kamchezo hako hako ka kupiga kavu kavu?I said if I were to live my life again I would have done the same things, you know the mistakes we make are what makes us who we are.., therefore without those mistakes how would I become who I am today.., I would not miss that learning curve, so indeed if I were to live my life again I would have done the same mistakes again because those are the ones which makes me stronger and better. You see good things has occurred through those bad mistakes..,
(You see some people believe even a flap of a butterfly can cause hurricanes), therefore good things might happen through mistakes which otherwise would not have happened.
kweli unastahili pongezi hongera dada,ww ni mwanamke shupavu,Mungu awajalie wanao wafike mbali zaidi ya form five na six.
Asante sana kwa hilo.
anayeingia form five ndo wa mwisho,
wa kwanza ameshamaliza chuo kikuu,
wa pili yeye hakupata elimu nzuri sana ila anafanya shughuli ndogo ndogo,
wa tatu yuko cbe.
najuta kunenepa.
zamani nilikua mwembamba sana,nikawa natamani kunenepa,unene ulipoanza kuja nikawa nafurahia hips na wowowo zinavyoongezeka nikajiachia tu lakini Sasa hivi kila nguo ninayovaa naonekana kama natega watu lakini zamani nguo hazikuleta tabu.
sasa hivi natamani kurudia wembamba lkn naogopa nikirudia ule wembamba wataanza kudai naumwa.
woow,kwa kweli dada utakua unamkufuru Mungu ukisema unajuta.
Huwezi jua labda ungeendelea na baba yao wanao wasingefika huko walipofika.
Kwa kweli kuanzia leo nitakua nakuheshimu sana,nimekupenda,umenivutia,Mu ngu anisaidie niwe kama wewe sbb duniani kuna mengi,japo mim bado ndo kwanza natarajia kuwa mama kwa mara ya kwanza na niko na mwenzangu lakini huwezi kujua,hata asiponiacha anaweza akafariki na kuniacha na watoto,hapo ndio nitakapohitaji kubarikiwa ujasiri uliobarikiwa wewe.Asante kwa kutuhadithia,imenivutia sana.
ulimpendea nini na kwa nini alikuacha? Hivi sasa yuko mpweke naye?
nilijua kupenda ni mara moja tu,
mwenzangu alikuwa ameshaigawa roho vipande vipande
na baada ya hapo pia hakuweza kuacha
mwisho akanitolea nguo chumbani kwa kuwa alipata
dada wa mmoja pale mbalizi mbeya
balozi, wazee wa kanisa, wachungaji walishindwa kupata suluhu
kwa kuwa hakutaka kukutana nao.
mwisho nikaona acha niisalimu roho yangu na ya watoto
na ndio mpaka leo, but nashukuru Mungu niko vizuri na watoto.
Labda kuukwa kwangu kumenifanya niwe a better person, labda nisingeukwaa ningeendelea na tabia ya kupiga piga na mwisho wa siku kuvunja ndoa za watu na mimi kushikwa ugoni.kwenye red mkuu,ina maana kama ulipiga bila kondom ukaukwaa given an opportunity ungerudia kamchezo hako hako ka kupiga kavu kavu?
Lakini haujanielewa ni kwamba mimi binafsi all I have done until now sija-regret sababu I have been a good person to the best of my ability (mimi binafsi) I don't mean kwamba even Hitler if given another chance should kill Jews again, hapana kwahio hata kama mimi ningeishi maisha ya Hitler if given another chance I would have tried kuishi maisha ya Gandhi