hadi leo maishani mwako una majuto yoyote?

aisee kwa kweli me najuta kumpatia virginity yangu m2 ambae sikuwa moyoni mwake. kwa kweli niliji2nza na nilivyompata yeye nikaona mwanaume ndo huyu nikamkabidhi moyo wangu wote na mwili wangu kwa kweli yaliyonikuta baada ya hapo ni mazito ambayo yananifanya mpaka leo nijute. aliniendesha alivjojisikiaalidiriki kuongea na madem zake mbele yangu hukun akiwabusu mimi akiniziba mdomo nisiseme chochote.Aisee inaniuma sana hv ninavyosimulia hadi machozi yananitoka na inaniuma zaidi my "virginity" kujitunza nilikoji2nza anakuja kufanikiwa m2 ambae hakunithamini na nimedumu nae mda mchache sana aisee najuta!!
du! Jasmine inaonekana una machungu hatari.Pole sana,mimi nakushauri uangalie mbele uendako,achana na historia,nini virginity bana wengine wanaivunjia kwenye michezo,songa mbele mtoto wa kike achana na historia na Mungu atakupa haja ya moyo wako.Walaghai tuko wengi mjini we tusamehe bure tu ni udhaifu wetu wa kuzaliwa.
 
asante kwa kunitia moyo,
sipendi itokee siku uwe pekee yako,
Mungu awatunze tu wote kwenye ndoa yenu,
nawapenda wote.

every thing has a reason.............kuna mambo mengi ambayo ungelikuwa na huyo jamaa yangelikukuta na Mwenyezi Mungu alichofanya ni kukulinda........
 
Najuta kuolewa na mwanaume muhuniiiiiiiiiiiiiiiii,
mwisho wa siku nimebaki nalea watoto pekee yangu,
ni mwaka wa kumi na mbili sasa niko alone, kabisa,
mtoto wa mwisho niliondoka naye akiwa mdogo sasa ndo anaingia fomu five, My God, uiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
usijali Mam,bora salama,yote ni maisha (ce la vie)
 
Sasa ntakumbukaje majuto ambayo sikuwahi kuwa nayo?

Unashangaza kweli kunilazimisha kuwa na majuto wakati sinayo. . . wewe kama unayo hongera (iwapo yanasaidia)/pole (iwapo yanaongeza tu msongo wa mawazo). Swala la kuwa au kutokua mkamilifu huwezi nipimia kwa vipimo vyako hivyo mimi kama mimi najiona nimekamilika. .mimi niko vile Mungu alivyokusudia niwe hivyo sina cha kujutia.
Lizzy bana........haya....
 
I said if I were to live my life again I would have done the same things, you know the mistakes we make are what makes us who we are.., therefore without those mistakes how would I become who I am today.., I would not miss that learning curve, so indeed if I were to live my life again I would have done the same mistakes again because those are the ones which makes me stronger and better. You see good things has occurred through those bad mistakes..,

(You see some people believe even a flap of a butterfly can cause hurricanes), therefore good things might happen through mistakes which otherwise would not have happened.
kwenye red mkuu,ina maana kama ulipiga bila kondom ukaukwaa given an opportunity ungerudia kamchezo hako hako ka kupiga kavu kavu?
 
kweli unastahili pongezi hongera dada,ww ni mwanamke shupavu,Mungu awajalie wanao wafike mbali zaidi ya form five na six.

form six tu? siyo wapate elimu yote wanayoihitaji katika kumudu maisha yao?.......I believe the sky is the limit....
 
Asante sana kwa hilo.

anayeingia form five ndo wa mwisho,
wa kwanza ameshamaliza chuo kikuu,
wa pili yeye hakupata elimu nzuri sana ila anafanya shughuli ndogo ndogo,
wa tatu yuko cbe.

wanatakiwa washikamane na kusaidiana............tatizo watoto wengine wakifanikiwa husahau walikotoka.........tuendelee kusali washikamane hadi mwisho........
 
najuta kunenepa.
zamani nilikua mwembamba sana,nikawa natamani kunenepa,unene ulipoanza kuja nikawa nafurahia hips na wowowo zinavyoongezeka nikajiachia tu lakini Sasa hivi kila nguo ninayovaa naonekana kama natega watu lakini zamani nguo hazikuleta tabu.
sasa hivi natamani kurudia wembamba lkn naogopa nikirudia ule wembamba wataanza kudai naumwa.


wembamba wa kuhisiwa unaumwa unajulikana lakini usije ukawa kama wale wazee kwenye main story ambaokabla hawajafa walijutia kutumia muda wao mwingi kufurahisha watu wengine badala ya kujali furaha zao binafsi...........jiulize hao unaowaogopa ukianza kuumwa leo kutokana na afya kudorora kwa ajili ya huo unene wangapi watakuja hospitalini kukuangalia?..........jibu litakushangaza.....p;unguza uzito na ufaidi maisha............miaka 3 iliyopita nilikuwa na kilo 90 leo nimepunguza mlo kwa maana ya calories na kufanya mazoezi kila siku situps 100 na sasa nina kilo 70.......and i feel great than ever be4...........be yourself and do the thing you feel it is most important in your life............waache waseme lakini usiku watalala............
 
woow,kwa kweli dada utakua unamkufuru Mungu ukisema unajuta.
Huwezi jua labda ungeendelea na baba yao wanao wasingefika huko walipofika.
Kwa kweli kuanzia leo nitakua nakuheshimu sana,nimekupenda,umenivutia,Mu ngu anisaidie niwe kama wewe sbb duniani kuna mengi,japo mim bado ndo kwanza natarajia kuwa mama kwa mara ya kwanza na niko na mwenzangu lakini huwezi kujua,hata asiponiacha anaweza akafariki na kuniacha na watoto,hapo ndio nitakapohitaji kubarikiwa ujasiri uliobarikiwa wewe.Asante kwa kutuhadithia,imenivutia sana.

mara nyingi huwa tunazama kwa yale tuliyoyakosa bila ya kuangalia baada ya kuyakosa yale mwenyezi Mungu katujaalia na yapi?..we tend to take for granted what we have.........
 
nilijua kupenda ni mara moja tu,
mwenzangu alikuwa ameshaigawa roho vipande vipande
na baada ya hapo pia hakuweza kuacha
mwisho akanitolea nguo chumbani kwa kuwa alipata
dada wa mmoja pale mbalizi mbeya
balozi, wazee wa kanisa, wachungaji walishindwa kupata suluhu
kwa kuwa hakutaka kukutana nao.

mwisho nikaona acha niisalimu roho yangu na ya watoto
na ndio mpaka leo, but nashukuru Mungu niko vizuri na watoto.

ulimpendea nini na kwa nini alikuacha? Hivi sasa yuko mpweke naye?
 
nilijua kupenda ni mara moja tu,
mwenzangu alikuwa ameshaigawa roho vipande vipande
na baada ya hapo pia hakuweza kuacha
mwisho akanitolea nguo chumbani kwa kuwa alipata
dada wa mmoja pale mbalizi mbeya
balozi, wazee wa kanisa, wachungaji walishindwa kupata suluhu
kwa kuwa hakutaka kukutana nao.

mwisho nikaona acha niisalimu roho yangu na ya watoto
na ndio mpaka leo, but nashukuru Mungu niko vizuri na watoto.

Huyo kama ungelikuwa naye hadi leo ungelikuwa na maisha mabaya sana na Mwenyezi Mungu katumia busara zake zisizo na kikomo kumwondoa kwenye maisha yako ili kukunusuru wewe na familia yako.........Tuendelea kumtukuza Mwenyezi Mungu naye atatusikiliza................Soma 1 Samweli 2:33 ".............I honour those who honour ME, but those who despise ME shall be lightly esteemed."

Kwa hiyo tukimtukuza Mwenyezi Mungu kwenye fikra na matendo yetu hatatuangusha kama anavyosema kwenye Roman 10:11 For the scriptures says, "Whoever believes in Him will not be put to shame."

Farijika sana kwa sababu mipango ya Mwenyezi mungu haina makosa. Na hii ni kauli yake mwenyewe Mwenyezi Mungu pale anaposema kwenye PROVERBS 3:5-6 Trust in the LORD with all your heart, and lean not on your own understanding; In all your ways, acknowledge Him, and He shall direct your paths."...................
 
kwenye red mkuu,ina maana kama ulipiga bila kondom ukaukwaa given an opportunity ungerudia kamchezo hako hako ka kupiga kavu kavu?
Labda kuukwa kwangu kumenifanya niwe a better person, labda nisingeukwaa ningeendelea na tabia ya kupiga piga na mwisho wa siku kuvunja ndoa za watu na mimi kushikwa ugoni.

Lakini haujanielewa ni kwamba mimi binafsi all I have done until now sija-regret sababu I have been a good person to the best of my ability (mimi binafsi) I don't mean kwamba even Hitler if given another chance should kill Jews again, hapana kwahio hata kama mimi ningeishi maisha ya Hitler if given another chance I would have tried kuishi maisha ya Gandhi
 
Lakini haujanielewa ni kwamba mimi binafsi all I have done until now sija-regret sababu I have been a good person to the best of my ability (mimi binafsi) I don't mean kwamba even Hitler if given another chance should kill Jews again, hapana kwahio hata kama mimi ningeishi maisha ya Hitler if given another chance I would have tried kuishi maisha ya Gandhi

Though God is perfect bado ana majuto ya kumwuumba shetani na mwanadamu........shetani adhabu yake ni mauti ya milele.......mwanadamu aliletewa gharika ya Noah, maafa ya Sodom and ghmorah..........na magonjwa yasiyo na tiba............lazima unamajuto mengi tu ila umeamua kutuficha.........
 
Back
Top Bottom