Hadi leo, kwani kuna nini??

Kigarama

JF-Expert Member
Apr 23, 2007
2,492
1,230
Leo ni Tarehe 11/6/2010, bado miezi minne na siku Ishirini tufanye uchaguzi mkuu wa nchi yetu. Lakini hadi leo hatuna majina (zaidi ya Lipumba) ya wagombea wa vyama vingine vya siasa kwa nafasi ya Urais. Au vyama vingine havina wagombea Urais??
 
Hivi kwanini tunataka wagombea wengine kama Lipumba tayari ameshajitokeza? Cha msingi hapa vyama vyote vya upinzani vimuunge mkono tu Lipumba, kama kweli nia ni kuitoa CCM madarakani.
 
Hivi kwanini tunataka wagombea wengine kama Lipumba tayari ameshajitokeza? Cha msingi hapa vyama vyote vya upinzani vimuunge mkono tu Lipumba, kama kweli nia ni kuitoa CCM madarakani.

Lakini Lipumba anatufaa??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom