Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Naomba mnisaidie wadau,nimeambiwa kuwa huenda hadhi ya nchi yetu imeshuka kwa kiwango kikubwa kutokana na kuendelea kutumia Noti ambazo bado zina majina na saini za akina Basil Mramba na Daudi Balali ambao hamna shaka ni Mafisadi waliokubuhu...Kwa uipande mwingine na,namaanisha kuwa,je kuna haja ya kuwaondoa watu hawa wasiendelee kuappear kwenye note zetu??
Naamini nimesomeka.......
Naamini nimesomeka.......