Hadhi na muda muafaka wa kuvaa Joho la Mahafali (graduation gown)

Hizo zoooote mbwembwe. Elimu kichwani.
Kuna possibilities nyingi mtu Mwenye degreee anafanana na form six
 
Enzi zenu kulikuwa na tv za black&white sasa zipo za flat na curve tena za color. Bila ya kusahau enzi hizo kulikuwa na Joho jeusi tu kwasasa yapo kila rangi. hivi bado upo unajikojolea surualini au ushawacha zile enzi zako??
 
Mi nadhani vyuo vikuu waachane na habari za kuwavalisha watu mojoho. Watu wavae kawaida tu after all joto kali.
 
Je wewe? Umeeelewa nilichomaanisha lakini?

Wakuu naona mnabishana kama kila mmoja kamwelewa mwenzake.

Kimsingi mleta mada Student Teacher umeongea jambo zuri na umeeleweka. Na pia mchangiaji Robot la Matope ulichoongea umeeleweka.

Nilivyomwelewa mchangiaji Robot anamaanisha hizi academic costumes si hoja hata zikivaliwa na wahitimu wa level yoyote kuanzia kindergarten, primary au wanaohitimu bachelor, masters au doctoral degrees. Kwamba tunachotakiwa kuangalia kwa hao wahitimu si hayo majoho wanayovaa bali ni uwezo wao katika kupambana na changamoto za maisha zinazowakabili wao na jamii iliyopo na kuzitafutia ufumbuzi wake. Pengine anakuja na hoja hii kutokana na hali halisi tunayoshuhudia kwa wahitimu wetu wengi ambao tunawatetea kwamba ndiyo wanastahili kuvaa hizo academic gowns na mortar boards vichwani lakini wengi wao baada ya kuhitimu wanashindwa kupambana na changamoto zinazoikabili jamii huku tukiwaita wasomi wakati kimsingi hawana tofauti na walioishia form six.

Binafsi sioni tatizo kwa wahitimu katika ngazi yoyote kuvaa hizo academic gowns lakini ambacho kingeweza kufanyika na kusimamiwa na serikali kupitia wizara yake ya elimu ni kuzitofautisha na hivyo kuwa na academic costume code zilizo tofauti kutegemea na level ya elimu kwa wahitimu. Mavazi hayo yanaweza yakatofautishwa kwa kutumia rangi na/au aina ya ushonaji wake ili kama ni suala la heshima kwa wahitimu wa ngazi mbali mbali iendelee kuwepo kwa kuangalia hiyo tofauti katika hayo mambo mawili niliyoyataja kwenye mavazi yao siku ya kuhitimu.
 
Nashangazwa na watu wanaotaka NGUO (kwa maana ya piece of cloth) iwape heshima.

Comrades, degree za majoho ambazo ni zao la madesa sio tija kwa Tanzania ya kesho. Ni dalili ya udhaifu kuabudu nguo au kipande cha karatasi chenye maandishi ilhali degree yenyewe sio productive.

Wangapi wamegraduate na mijoho mizito mizito lkn impact ya elimu waliyopata haina manufaa kwao binafsi na taifa pia?

Degree inaishi kichwani, sio kwenye joho.
 
Ni Kweli Kabisa Mkuu Joho lishakosa Heshima.

Ukimchukua mtu ambaye hajui kusoma, ukamvisha joho lako uliloliandaa kwa ajili ya mhitimu wa chuo kikuu, mtu huyo ataanza kusoma sababu ya kuvaa joho?

Mimi nathamini elfu thelasini iliyoko mfukoni kwa mmachinga kuliko kadi ya ATM ya sharobaro ilhali akaunti yake ina salio elfu 8 ambayo akiitoa akaunti inafungwa
 
Nashangazwa na watu wanaotaka NGUO (kwa maana ya piece of cloth) iwape heshima.

Comrades, degree za majoho ambazo ni zao la madesa sio tija kwa Tanzania ya kesho. Ni dalili ya udhaifu kuabudu nguo au kipande cha karatasi chenye maandishi ilhali degree yenyewe sio productive.

Wangapi wamegraduate na mijoho mizito mizito lkn impact ya elimu waliyopata haina manufaa kwao binafsi na taifa pia?

Degree inaishi kichwani, sio kwenye joho.
Haya niliyasema in another way
 
Wakuu naona mnabishana kama kila mmoja kamwelewa mwenzake.

Kimsingi mleta mada Student Teacher umeongea jambo zuri na umeeleweka. Na pia mchangiaji Robot la Matope ulichoongea umeeleweka.

Nilivyomwelewa mchangiaji Robot anamaanisha hizi academic costumes si hoja hata zikivaliwa na wahitimu wa level yoyote kuanzia kindergarten, primary au wanaohitimu bachelor, masters au doctoral degrees. Kwamba tunachotakiwa kuangalia kwa hao wahitimu si hayo majoho wanayovaa bali ni uwezo wao katika kupambana na changamoto za maisha zinazowakabili wao na jamii iliyopo na kuzitafutia ufumbuzi wake. Pengine anakuja na hoja hii kutokana na hali halisi tunayoshuhudia kwa wahitimu wetu wengi ambao tunawatetea kwamba ndiyo wanastahili kuvaa hizo academic gowns na pia mortar boards lakini wengi wao baada ya kuhitimu wanashindwa kupambana na changamoto zinazoikabili jamii huku tukiwaita wasomi wakati kimsingi hawana tofauti na walioishia form six.

Binafsi sioni tatizo kwa wahitimu katika ngazi yoyote kuvaa hizo academic gowns lakini ambacho kingeweza kufanyika na kusimamiwa na serikali kupitia wizara yake ya elimu ni kuzitofautisha na hivyo kuwa na academic costume code zilizo tofauti kutegemea na level ya elimu kwa wahitimu. Mavazi hayo yanaweza yakatofautishwa kwa kutumia rangi na/au aina ya ushonaji wake ili kama ni suala la heshima kwa wahitimu wa ngazi mbali mbali iendelee kuwepo kwa kuangalia hiyo tofauti katika hayo mambo mawili niliyoyataja kwenye mavazi yao siku ya kuhitimu.
Asante kwa msaaada mkuu
 
Joho eeeeh! Madesa halafu joho, halafu madudu.
 

Attachments

  • Modern-Education.jpg
    Modern-Education.jpg
    51.8 KB · Views: 60
Ukimchukua mtu ambaye hajui kusoma, ukamvisha joho lako uliloliandaa kwa ajili ya mhitimu wa chuo kikuu, mtu huyo ataanza kusoma sababu ya kuvaa joho?

Mimi nathamini elfu thelasini iliyoko mfukoni kwa mmachinga kuliko kadi ya ATM ya sharobaro ilhali akaunti yake ina salio elfu 8 ambayo akiitoa akaunti inafungwa
Sijakuelewa nadhani Umekosea mada maana mada hii haingolei Mambo ya Atm, machinga, sharobaro wala Nn zako hzo Mada husika Ni Heshima ya Joho Kushuka hujui kinachoongelewa pita pembeni.
 
Huwezi kunielewa kwa kuna hujapata madesa. Umefundishwa na nani kuelewa? Wewe una elimu ya kukariri na ndio maana umeweza kukariri ATM, sharobaro na machinga lkn usielewe nimezungumza nini.

Nasema hivi: JOHO NI KIPANDE CHA NGUO AMBACHO HAKIKUPI HESHIMA WALA CHENYEWE HAKINA SABABU YA KUHESHIMIWA ZAIDI YA KUVALIWA AU KUTUMIKA KUDEKI CHOO.

Kinachopaswa kumtambulisha mhitimu ni maisha yake baada ya kuhitimu sio kanzu.
Wee umesoma Elimu gani mpaka kuwazidi professors ambao Hilo joho na kusoma kwao mpaka kuwa maprofesa hawajapinga majoho yasivaliwe na wahitimu afu acha dharau mi sijasoma kwa kukariri Kwan ulifundisha wewe acha kuwa majigambo ya kabila lako
 
Wee umesoma Elimu gani mpaka kuwazidi professors ambao Hilo joho na kusoma kwao mpaka kuwa maprofesa hawajapinga majoho yasivaliwe na wahitimu afu acha dharau mi sijasoma kwa kukariri Kwan ulifundisha wewe acha kuwa majigambo ya kabila lako

Namshukuru Mungu sijasoma kabisaaaa, ila nilifanikiwa kuiba joho la jirani yangu la mahafali nikalivaa ndio nikajua kuandika.
 
Kama huwezi kuandika kitu cha maana hapa pita kimya kimya au soma Tu Comments za Wanaume wenzio.

Angalau umejua unaongea na mwanaume, hatua ya kwanza hiyo, safi sana. Sasa mwanaume naelekeza hivi: HESHIMA YA JOHO NI YA KUFIKIRIKA TU.

LAKINI, FUNDI CHEREHANI ALIYESHONA JOHO LINALOKUTOA AKILI HAPA HESHIMA YAKE INAISHI. Unaweza ukavaa JOHO na ukabaki kuwa JUHA, lakini huwezi kuwa JUHA ukaweza kushona JOHO.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom