Msamala
Senior Member
- Oct 27, 2016
- 155
- 115
Naanza kuamini maneno ya kada mmoja, "ningepata nafasi ya kumshauri zito kabwe ningemwambia atulie kabisa asihangaike kuhama Chadema kwani kutokana na mafanikio makubwa aliyopata kama kijana, ni kilele cha mafanikio ambacho watu/wanasiasa wengi wanatamani kufikia lakini wameshindwa , hivyo awe makini sana na maamuzi yake ambayo yanaonyesha wazi Kuna msukumo ndani yake wa uroho wa madaraka, atulie katika nafasi yake mafanikio zaidi yanakuja" sasa nimeelewa alimaanisha nini kwa kuwa naona mbele kinachofuata Kuna kila dalili za anguko la ACT, sikuhizi hatuwasikii wakubwa wa Chama hiki kabisa especially Prof. Nimekubali kweli usitukane mamba kabla.......