Habiba Kawawa afariki Dar

Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe.
Poleni wafiwa.
 
Pole sana wana familia kwa kuondokewa na ndugu yenu Habiba Kawawa. Mungu awape ujasiri muweze kukabiliana na simanzi hii
 
MH!!!! Naam inasikitisha kuona na kusikia habari kama hizo.Si walikuwa wamepanga kumfanyia MZEE WA NCHI?? Itakuweje?? Wata ahirisha au watafanya kimya kimya?
MUNGU AILAZE MAHALI PEMA PEPONI ROHO YA MAREHEMU HABIBA
AMEN

RIP Habiba. TBC Taifa leo asubuhi wametangaza kuwa arobaini ya Mzee Kawawa imeahirishwa. Watapanga siku nyingine. Mungu awatie nguvu wafiwa wote.
 
Poleni sana wafiwa,my qst is wat about mtoto?alikuwa na tatizo gani?huyu ni baadhi tu ya wanawake wachache ambao at least anauwezo wa kufika hsp na kulipia gharama,je wanawake wangapi hawana uwezo hata wa kuchangia gharama za uzazi na kufa kila cku?eeeeeh mwenyezi mungu tusaidie maana tunateseka na relationship,mestruation period,mimba,uzazi,ulezi,unyanyasaji etc.God y me?God will ask who else?
 
Poleni sana wafiwa,my qst is wat about mtoto?alikuwa na tatizo gani?huyu ni baadhi tu ya wanawake wachache ambao at least anauwezo wa kufika hsp na kulipia gharama,je wanawake wangapi hawana uwezo hata wa kuchangia gharama za uzazi na kufa kila cku?eeeeeh mwenyezi mungu tusaidie maana tunateseka na relationship,mestruation period,mimba,uzazi,ulezi,unyanyasaji etc.God y me?God will ask who else?
Eeeh!Yamekuwa hayo?
 
RIP. Please God help us. I get so scared na stories za mwanamke kufa kutokana na uzazi.
 
Habiba ni Lawyer by profession, mara ya mwisho nilimfahamu akiwa ni mwanasheria wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya. Ameolewa na kijana wa familia ya Mzee Humprey Maleko(RIP) aitwae Johson.

RIP Habiba, poleni sana familia za Kawawa na Maleko.



RIP Habiba. Inasikitisha sana, ingawa ni kweli kazi ya Mungu haina makosa. Mwaka jana tulikuwa naye University of Cape Town akiwa anasoma Masters ya sheria, maskini hata hajamaliza degree yake. ukweli wanafunzi wenzake huku UCT wamesikitishwa sana na kifo chake. Alikuwa mchangamfu sana na mcheshi huyo dada. Nakumbuka alivyokuwa akituchekesha tulipokuwa tukikutana kupika ugali na dagaa, maandazi, pilau n.k.
kwa kweli tumesikitika sana
 
My God!! Rest in peace Dada Habiba. Poleni Familia ya Kawawa na Maleko Bwana awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
 
tuwekeeni picha yake, sisi wengine hatumjui huyo dada, RIP
 
Back
Top Bottom