Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Tehe magazeti ya rangirangi ya shigongo nayo uzushi mtupu. hilo habari leo lishakuwa habari JUZI.
Hili gazeti mimi nalifananisha na yule waziri aliyekuwa msemaji wakati wa vita vya Bush (mtoto)na Saddam, alikuwa anaitwa Ally, sikumbuki jina la pili ila waamerika walimuita " Chemical Ally" jamaa wakati majishi yake yakipata kichapo, yeye alikuwa nasema ndio yanatoa kichapo! sasa ndio Habari Leo, wakati CCM wanapumulia mipira wao wanasema Chadema ndio wanapumulia mipira!
Habari za uhakika 100% ni kwamba gazeti la serikali la HabariLEO limeshuka uzalishaji (Uchapaji) kutoka copy 7,500 na 7,000 wiki kadhaa zilizopita hadi kuchapa nakala 6,000 tu mpaka gazeti la leo! Wakati Mwananchi limezidisha uzalishajikutoka nakala 50,000 mpaka 70,000 wiki hii.
Kwa mwendo huu HabariLEO wanaliua wenyewe!!
labda wabadilishe vichwa vyao vya habari front page viwe kama
hapa watauza nakala za kushindana na mwananchi,raia mwema.tz daima na mwanahalisi
- mafisadi sasa wakae chonjo na utawala wa slaa
- watz kunufaika na mpango wa afya na elimu bure wa serikali ya slaa
- sekta ya madini sasa kuwanufaisha watz ndani ya miezi 6 ijayo
- ushindi wa kikwete wategemea kura za maruhani
Habari za uhakika 100% ni kwamba gazeti la serikali la HabariLEO limeshuka uzalishaji (Uchapaji) kutoka copy 7,500 na 7,000 wiki kadhaa zilizopita hadi kuchapa nakala 6,000 tu mpaka gazeti la leo! Wakati Mwananchi limezidisha uzalishajikutoka nakala 50,000 mpaka 70,000 wiki hii.
Kwa mwendo huu HabariLEO wanaliua wenyewe!!
Hili gazeti mimi nalifananisha na yule waziri aliyekuwa msemaji wakati wa vita vya Bush (mtoto)na Saddam, alikuwa anaitwa Ally, sikumbuki jina la pili ila waamerika walimuita " Chemical Ally" jamaa wakati majishi yake yakipata kichapo, yeye alikuwa nasema ndio yanatoa kichapo! sasa ndio Habari Leo, wakati CCM wanapumulia mipira wao wanasema Chadema ndio wanapumulia mipira!
Hizo nakala 6,000 ailimia kubwa zinanunuliwa na taasisi za umma kwa lazima....Nadhani Uhuru wanatoa nakala 500 tu kwa sasa
Niliwahi kuandika thread humu kuhusu jambo hili baada ya kuzungumza na muuza magazeti. Tena yeye aliniambia bayana kuwa yale magazeti yanayoandika habari mbaya za Dr Slaa ndio hayanunuliwi. Aliniambia huwa anauza Mwananchi, Tanzania daima, mwanahalisi, na Raia mwema tu.
Alinionyesha jinsi alivyo na marundo na marundo ya magazeti yaliyobakia. Nilipomuuliza kuhusu gazeti la uhuru aliniambia kuwa aliacha kuliuza kabisa na huwa haliweki kwenye order zake maana halinunuliki.
Hii habari umeandika hapo juu ni ya kweli kabisa na wala sina wasi wasi nayo.