Wakubwa mi nimwanachama mpya hapa kwa kuchangia ila nilikuwa nikisoma sana mawazo na ya watu hapa nikavutiwa sana kujiunga kama hivi naombeni ushikiano na mwakani ninaoa vp mtanichangia?
Wakubwa mi nimwanachama mpya hapa kwa kuchangia ila nilikuwa nikisoma sana mawazo na ya watu hapa nikavutiwa sana kujiunga kama hivi naombeni ushikiano na mwakani ninaoa vp mtanichangia?
Wakubwa mi nimwanachama mpya hapa kwa kuchangia ila nilikuwa nikisoma sana mawazo na ya watu hapa nikavutiwa sana kujiunga kama hivi naombeni ushikiano na mwakani ninaoa vp mtanichangia?
Karibu sana,labda nikuulize ulijiunga JF kwa sababu mwakani unaoa au forum ilikufurahisha jinsi watu wanavyotoa maoni yao? Any way binafsi nitakuchangia hiyo harusi yako ikifika,tuombe tu uzima.