chachas mchina
Member
- Jan 2, 2012
- 33
- 0
eti mandela alimwoa mke wa rais mwenzake,je ni kweli?
eti mandela alimwoa mke wa rais mwenzake,je ni kweli?
eti mandela alimwoa mke wa rais mwenzake,je ni kweli?
atamuoaje mke wa mtu tayari? Sema mandela alimuoa mwanamke aliyewahi kuwa mke wa rais mwenzake?
Acha uzushi wewe. Kakwambia nani mineno hiyo?
utasutwaaaaaa !!!
Huyu mama ameshaolewa na maraisi watatu Mondlane/Machel/Mandela inaonekana ni highclass kweli hahaha!