jamani hizo bado ni tetesi tu na wala hazijathibitishwa bado! waleta hbr fanyeni hima kutafuta ukweli ili watu tusibaki njia panda mwisho tutakuwa tunawachulia wapate matatizo wakati hayo matatizo hayapo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.