habari za mchana huu wa JF

ypointer4

JF-Expert Member
Feb 17, 2010
633
521
mh
hivi ndo naanza nahaswa pale nnapo pata wasiwasi juu ya wanasiasa wa TANZANIA juu ya siasa zao au ndo kama ule msemo wa usiache mbachao kwa msala upitao????
HOJA ZA MSINGI NIKUONA
1, TUMESAHAU KABISA MAANDAMANO YA CHADEMA.
2, TUMESAHAU KABISA SUALA LA DOWANSI. NA MGAO WA UMEME KIUJUMLA.
3, TUMESAHAU KABISA SUALA ZIMA LA BOMOA BOMOA
4, KUPANDA KWA SUKARI NA NAULI

LAKINI CHA KUSTAAJABISHA NI PALE NNAPO ONA VYOMBO VYA HABARI NA HUSUSANI MAGAZETI YAMEPAMBA MOTO KWA HABARI ZA LOLIONDO.....
JE KWAMSIMAMO KAMA HUU TUTA FIKA?????????
 
mh
hivi ndo naanza nahaswa pale nnapo pata wasiwasi juu ya wanasiasa wa TANZANIA juu ya siasa zao au ndo kama ule msemo wa usiache mbachao kwa msala upitao????
HOJA ZA MSINGI NIKUONA
1, TUMESAHAU KABISA MAANDAMANO YA CHADEMA.
2, TUMESAHAU KABISA SUALA LA DOWANSI. NA MGAO WA UMEME KIUJUMLA.
3, TUMESAHAU KABISA SUALA ZIMA LA BOMOA BOMOA
4, KUPANDA KWA SUKARI NA NAULI

LAKINI CHA KUSTAAJABISHA NI PALE NNAPO ONA VYOMBO VYA HABARI NA HUSUSANI MAGAZETI YAMEPAMBA MOTO KWA HABARI ZA LOLIONDO.....
JE KWAMSIMAMO KAMA HUU TUTA FIKA?????????

o. KATIBA

Sisemi kitu hapa,

kila kifanywacho if we dont have clear goals tunataka nini na tusipofikia muda tuka-jievaluate then ni comedy
 
Kuna nini cha kujadili kuhusu Dowans? Hukumsikia Speaker alisema hilo suala liko mahakamani?

Ni kitu gani ambacho hujasikia kuhusu Dowans? Unataka tujadili nini wakati takwimu zinaonyesha uchumi unakua? Kuhusu sukari bei kuwa juu hujamsikia Waziri Mkuu amesema bei ishuke? Na Waziri mwenye dhamana wa Biashara na Viwanda ametoa vibali sukari iagizwe kutoka nje, si basi?

Umeme sio tatizo nchini kwetu. Ni asilimia ngapi ya wananchi wana umeme? Na kama ni hatua si tumeambiwa zimechukuliwa tangu 2006?

Viongozi wetu wanachapa kazi. Sana tu. Hii nchi wameitoa mbali ni wachache tu wasio na shukrani ndio hawaoni. Amani na Utulivu.

Just like my words so is our life, full of irony!
 
mh
hivi ndo naanza nahaswa pale nnapo pata wasiwasi juu ya wanasiasa wa TANZANIA juu ya siasa zao au ndo kama ule msemo wa usiache mbachao kwa msala upitao????
HOJA ZA MSINGI NIKUONA
1, TUMESAHAU KABISA MAANDAMANO YA CHADEMA.
2, TUMESAHAU KABISA SUALA LA DOWANSI. NA MGAO WA UMEME KIUJUMLA.
3, TUMESAHAU KABISA SUALA ZIMA LA BOMOA BOMOA
4, KUPANDA KWA SUKARI NA NAULI

LAKINI CHA KUSTAAJABISHA NI PALE NNAPO ONA VYOMBO VYA HABARI NA HUSUSANI MAGAZETI YAMEPAMBA MOTO KWA HABARI ZA LOLIONDO.....
JE KWAMSIMAMO KAMA HUU TUTA FIKA?????????

Watanzania wengi hatuko siriasi
 
Kuna nini cha kujadili kuhusu Dowans? Hukumsikia Speaker alisema hilo suala liko mahakamani?

Ni kitu gani ambacho hujasikia kuhusu Dowans? Unataka tujadili nini wakati takwimu zinaonyesha uchumi unakua? Kuhusu sukari bei kuwa juu hujamsikia Waziri Mkuu amesema bei ishuke? Na Waziri mwenye dhamana wa Biashara na Viwanda ametoa vibali sukari iagizwe kutoka nje, si basi?

Umeme sio tatizo nchini kwetu. Ni asilimia ngapi ya wananchi wana umeme? Na kama ni hatua si tumeambiwa zimechukuliwa tangu 2006?

Viongozi wetu wanachapa kazi. Sana tu. Hii nchi wameitoa mbali ni wachache tu wasio na shukrani ndio hawaoni. Amani na Utulivu.

Just like my words so is our life, full of irony!

Nakushauri ukapime utimamu wako wa ubongo then ndo urudi kwenye thread! Maendeleo gani mkwere ameleta hadi 2we nashukuran juu yake! Mfumuko wa bei,kulipa kampun hewa kwa kodi ze2? Ww kilaza hivi unaelewa upo wapi?
 
Back
Top Bottom