vengu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 730
- 529
Joe kihampa ni mmoja wa watangazaji mahiri wa Jambo Tanzania TBC1 , tatizo alilonalo huyu bwana ni uoga wa kupitiliza wa kusoma vichwa vya habari katika magazeti ya kila siku, kuna baadhi ya magazeti amekuwa akiyaficha kwa makusudi kwa kisingizio kikubwa ni kubanwa na muda. USHAURI: Kama TBC 1 na huyo Joe kihampa wanaogopa kusoma baadhi ya magazeti kwa kisingizio cha muda ni bora waache kabisa biashara hiyo kuliko kutuboa wananchi...