Mr.mzumbe
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,014
- 957
Habairi zenu ndugu wapendwa wa jf,
Nipo mzumbe university mwaka wa kwanza,chuo tumefungua rasmi tarehe 17th oct,na wanafunzi wengi wamefika tarehe hyo na kuanza mara moja kusajiliwa lakini cha wasiwasi zaidi ni kwamba tcu wameleta wanafunzi wengi sana ambao hawapo proportion na accomodation za chuo.Mpaka sasa wanafunzi zaidi ya mia 4 hawana makazi na kupelekea viongozi wa MUSO na kKupelekea viongozi kupita room mpaka room kuomba tubebane ili angalau tuweze kukizi maitaji.
Kwa mazingira ya MU mtu wa kawaida huwezi kupanga nje ya chuo kwasababu gharama ni kubwa sana<wanachaji elfu tano kwa siku>.HALI ni tete sana kwani chumba kimoja kina vitanda vi 3 ambavyo ni doubledeck kwa sasa tunalala kitanda ki1 watu wa 2 thus ni hatari sana kwa afya yetu.
Sababu wanazozitoa chuo ni za msingi sana kwani wanaeleza kama vigezo vingezingatiwa watu mbalimbali wasingekuwepo.
Nipo mzumbe university mwaka wa kwanza,chuo tumefungua rasmi tarehe 17th oct,na wanafunzi wengi wamefika tarehe hyo na kuanza mara moja kusajiliwa lakini cha wasiwasi zaidi ni kwamba tcu wameleta wanafunzi wengi sana ambao hawapo proportion na accomodation za chuo.Mpaka sasa wanafunzi zaidi ya mia 4 hawana makazi na kupelekea viongozi wa MUSO na kKupelekea viongozi kupita room mpaka room kuomba tubebane ili angalau tuweze kukizi maitaji.
Kwa mazingira ya MU mtu wa kawaida huwezi kupanga nje ya chuo kwasababu gharama ni kubwa sana<wanachaji elfu tano kwa siku>.HALI ni tete sana kwani chumba kimoja kina vitanda vi 3 ambavyo ni doubledeck kwa sasa tunalala kitanda ki1 watu wa 2 thus ni hatari sana kwa afya yetu.
Sababu wanazozitoa chuo ni za msingi sana kwani wanaeleza kama vigezo vingezingatiwa watu mbalimbali wasingekuwepo.