Habari za Kusagana, Ngono, na Serikali ya CCM!

Fundi mchindo waberoya kaandika nini tena kwenye PM kakutukana? unaweza kumwaga au kukopi alichaondika huko?? kwani ulishindwa kumueleza asikuandikie tena mpaka kumweleza MODS? vipi tena maji ya shingo? yaani kakitu kadogo kaka haka mzee unashatki ili uonewe huruma, hujatukanwa hapa umeelezwa ukweli na , mimi sikujui lakini sijawahi kukutana ana kwa ana na mtu anayetetea ushoga, sijui unaonekanaje!!!
Mkuu Englisher heshma kwako.

Ninakubaliana na maneno yako kwa asilimia kubwa, ninachotaka kusema hapa ni kwamba nina uhakika kuwa Waberoya hawezi kutukana kabisa, i trust the man, ni muungwana sana. Ninachokiona hapa ni hamu ya Waberoya kufikisha ujumbe moja kwa moja kwa FM. Hakujua kuwa ujumbe huo utaleta mtafaruku.

Mkuu FM mimi ni mmoja wa watu wanaokuamini sana na kuthamini michango yako, nakuomba u-cool down tuendelee kukata libeneke jamvini.

Matukio ya hivi karibuni (mtoto kubakwa kwenye daladala na mwandishi wa habari na ile ya jamaa kumwaga mbegu na kumchafua mdada kwenye daladala. Yanaashiria upotevu mkubwa wa maadili, so Serikali na jamii kwa ujumla tunakazi ya kukemea ili tuendelee kuenzi utamaduni wetu mzuri wa kuheshimiana na kulindana.

Kwasisi Wakristo, Biblia inasema ndoa na iheshimiwe na kila mtu. Pamoja na maana pana ya neno hili pia linamaanisha kuwa tendo la ndoa lifanywe kwa mujibu wa taratibu zinazokubalika kimaadili.
 
Waberoya. Nimekujibu PM yako na nimetuma nakala ya majibu yangu kwa Mods. Niliishakuambia kuwa tukubali kutofautiana. Mimi simo humu kulumbana na watu. Common etiquette inasema mtu akisema hivyo ni vizuri kuheshimu alichokisema. Ungeendeleza mada yako hapa kwenye thread wala isingenisumbua. Kunifuata kwenye PM ni kuniingilia private space yangu. Hiyo sitairuhusu. Jibu langu kwako hili hapa:


Mkuu FM;

Kwanza naomba niwie radhi kwa kukutumia PM.Basis was that nilijua hutakuja kupitia hii thread tena.

Nilichopost ni kilekile nilichoandika kwenye hii forums.nothing more.

Ikiwa kwa namna yeyote nimetumia lugha yeyote ambayo wewe hukuifurahia .Tafadhali naomba niwie radhi.Na nimehuzunika kufikia hapa.

Naomba nisamehe.

Luv u man

waberoya
 
That is the point I was looking, kwa hiyo wewe si kwa sababu umelelewa vipi ila ni kwa sababu wengine wanafanya vipi.

Hivi mtoto wako akiamua awe shoga, then kesho atasema anaanza kuingilia wanyama, kesho akasema amepata habari incest sex is OK na anataka kulala na mke wako wewe au mama yake yeye kwako is OK?????

Duh!

Nitaingilia kidogo mjadala wenu.

Swali la kipengele cha mwisho.
Shoga siwanapendana wenyewe kwa wenyewe? sijui kama heterosexual atampenda shoga.
Mtoto kusema kesho ataanza kuwapenda kuwaingilia wanyama basi hapo litakua kosa kwani hapo hakuna mnyama aliyependa mwenyewe kwamba anataka aingiliwe na shoga.HII ITAKUA FORCE!!!
Incest nayo hivyo hivyo, hapo lazima kutakua force imetumika, au tuseme vitisho kwa kiswahili kizuri ( kwamba ukisema kwa mtu utakiona)
Pedo nayo ni hivyo hivyo hapo imetumika force.
Sijaona mtoto mdogo akasema anataka aingiliwe kimwili na jibaba lizima.

WASAGAJI NA MASHOGA; (HAWA NI WATU WAZIMA WALIRIDHIANA WENYEWE) MMOJA MTOAJI NA MMOJA MPOKEAJI. HAKUNA FORCE ILIYOTUMIKA:

Hio mifano mingine uliyotoa nikulazimishana au kumtisha mtu ili asiseme.

Umesikia kwamba aunty Mody alilazimishwa kwenda kugawa kwa wanaume wenzake?
 
How does homosexuality pose a threat to what you call a traditional and natural family life?


One is my avoiding procreation which nature (human) has intended for man and a woman. The natural family life from time in memorial has always been between a man and a woman/women or men.

And what is a natural and traditional family life? In some of our tribes, women married other women. Would you then call it non-traditional because it offends your judaeochristian sense of propriety? In some of our tribes ( and religions)

This is misrepresentation of facts. Bahati nzuri I have an opportunity to work among such tribes. Usichanganye "kuoa" kwa maana ya kurithisha jina au kupata watoto na vitendo vya ngono. Makabila unayoyatolea mfano waliposema kuwa wanawake wanaoa wanawake wengine si kwa sababu ya kitendo cha ngono bali kwa ajili ya kumpatia mtu uzao na wakati mwingine kwa misaada ya nyumbani. Hakuna ushahidi wowote kuwa kuoa huku kulihusisha ngono.


men were allowed to marry girls as young as 8. Do you see this as a lesser wrong than homosexuality just because the marriage is consumated between two people of different genders?

No sir, kuna vitu ambavyo jamii zimekuwa zikifanya kwa muda mrefu kama tamaduni na mila zinazotokana na ujinga au kutokujua the full complexity of a human person. Tunapojua mambo fulani kwa undani ndiyo tunayaacha kwa sababu sasa tunajua zaidi. Ndiyo maana tunapiga vita vitendo vya kukeketa wanawake (wengine waliviita kutahiri) kwa sababu tunajua zaidi leo kuwa havina faida yoyote kwa mwanamke zaidi ya madhara.

Jamii iliyokuwa inaruhusu watoto kuolewa hata wakiwa na umri mdogo kwa kiwango kikubwa haikuwa inachukukulia mambo mengi juu ya maisha na haki za mtoto yule. Leo hii tunajua zaidi juu ya muda wa mtu kukomaa (kiakili, kihisia na kimaumbile) hivyo tunapendekeza mara nyingi umri wa mtu mzima uanzie wapi, ni vitu gani mtu anaweza kuvifanya kuanzia na umri upi n.k

Sasa, kuwahi kufanywa vitendo hivyo na jamii yoyote hakuhalalishi vitendo vya kishoga. Ninaangalia suala hili purely on its own merit.

Homosexuality is not a recent invention.
It is not an invention it is a pevertion in some contexts has been referred as deviation.

The Greek, who you quoted, acknowledged and practised homosexuality.

Not all of them and as a matter of fact not homosexuality as we know it but what we now call as boy-love where men had sex with young boys, not with other grown up men! But, later such societies due the acquired nw knowledge waliachana na vitendo vya aina fulani na vingine kuvipiga marukufu kabisa.
Michelangelo, Leonardo da Vinci, James baldwin, Michel Foucault were all homosexuals. Does this make all their contributions to human society any the less?

Hapa ndiyo inabidi unipate vizuri kweli. I do not reduce people to the mere sexuality. Binadamu is the sum of all his abilities, intellect, talents, feelings, etc. Just because one is a homosexual does not mean one is a lesser human being. So, no sir. I respect and cherish the contributions of men and women of history who have given much to the world. I do not believe that their contributions should be seen in terms of the sexuality of the individuals.

Doing that it'll be a gross disservice to truth.
Homosexuality is not an alternative lifestyle.

It is a lifestyle that is rewarded by pleasure.

It is more than that. There are people who happen to be homosexual just as there are those who happen to be heterosexual.

No sir, heterosexuality is the norm, is what nature intended for human beings. Any deviation from that is simply that unnatural and purely deviation. So, you can not put heterosexuality on the same plane with homosexuality, or any other sexual deviation you might have.

Pretending that those who are homosexual do it out of a lifestyle choice is to do them a great injustice. Most of them did not choose to be that way.

Of course not! But some have. The principle of pleasure simply states that people will repeat a behaviour that reward them with pleasure and avoid any behavior that will cause them pain. Anytime, the possibility of pleasure is greater than that of pain people will repeat that behaviour.


Come to think of it, who, in his/her right mind would choose to be gay/lesbian in this homophobic world? With all the sufferation and tribulations that come with it!

If that is what give them pleasure, people will take the risk. Just like the people who use drugs, alcohol, cigarretes etc. It is what give them pleasure.
 
Duh! Mimi nilidhani Fundi Mchundo ana ngozi nene kumbe wapi!! Watu wako sensitive kweli....
 
Waberoya na wengine.

Ninachopinga mimi ni hii habari ya kutumiana PM wakati mhusika ameishajitoa katika mjadala. PM kwa sababu ni private inaweza kutumika kutumiana viujumbe ambavyo havistahili kwa hiyo sanctity yake ni lazima iheshimiwe. Nimetofautiana na wengi humu lakini hakuna hata mmoja aliyenitumia PM. Hicho ndicho kilichoniudhi.

Ninajua kuwa msimamo wangu ni lazima umewakwaza wengi. Hasa ukiuangalia katika misingi ya dini. Kwa kujua uwezekano wa mjadala kubalika kuwa matusi ndiyo maana nilimuomba Waberoya tuachie pale tulipofikia. Si kwamba nitaacha kuingia humu au kujibu posting za wengine bali ni yeye tu ambae sikutaka kuendelea kujibishana nae.Ni hilo tu.

Nimewatumia nakala Mods si kwa sababu nataka Waberoya aadhibiwe. La hasha, bali ni kwa taarifa tu ili wajue kinachoendelea. Kwangu mimi, ujumbe huo angeubakiza kwenye thread wala nisingekuwa na tatizo nao.

Amandla........
 
Waberoya na wengine.

Ninachopinga mimi ni hii habari ya kutumiana PM wakati mhusika ameishajitoa katika mjadala. PM kwa sababu ni private inaweza kutumika kutumiana viujumbe ambavyo havistahili kwa hiyo sanctity yake ni lazima iheshimiwe. Nimetofautiana na wengi humu lakini hakuna hata mmoja aliyenitumia PM. Hicho ndicho kilichoniudhi.

Ninajua kuwa msimamo wangu ni lazima umewakwaza wengi. Hasa ukiuangalia katika misingi ya dini. Kwa kujua uwezekano wa mjadala kubalika kuwa matusi ndiyo maana nilimuomba Waberoya tuachie pale tulipofikia. Si kwamba nitaacha kuingia humu au kujibu posting za wengine bali ni yeye tu ambae sikutaka kuendelea kujibishana nae.Ni hilo tu.

Nimewatumia nakala Mods si kwa sababu nataka Waberoya aadhibiwe. La hasha, bali ni kwa taarifa tu ili wajue kinachoendelea. Kwangu mimi, ujumbe huo angeubakiza kwenye thread wala nisingekuwa na tatizo nao.

Amandla........

It's okay Mr.Fundi...you seem to take things too seriously! I don't think it's that serious. Just let it go...
 
Mkuu FM;

Kwanza naomba niwie radhi kwa kukutumia PM.Basis was that nilijua hutakuja kupitia hii thread tena.

Nilichopost ni kilekile nilichoandika kwenye hii forums.nothing more.

Ikiwa kwa namna yeyote nimetumia lugha yeyote ambayo wewe hukuifurahia .Tafadhali naomba niwie radhi.Na nimehuzunika kufikia hapa.

Naomba nisamehe.

Luv u man

waberoya

Mkuu Waberoya,

It is all good. Nadhani tumeelewana. Sote tunaweza kuteleza. Yameisha.

Amandla.....
 
FM.. kumbuka kwetu dhana ya orientation ya sexuality bado ni ngeni. Sisi tunamuangalia mtu kuwa ni shoga (awe mwanamme au mwanamke) kwa kile tunachoweza kukiita anachofanya kitandani. Mwanamme anayekubali kuingiliwa ndiyo shoga (anakuwa kama mwanamke) na mara nyingi we judge them by their effeminate look.

Si sahihi kudai kwamba "kwetu dhana ya orientation ya sexuality bado ni ngeni." Toka udogoni nimejua nini maana ya shoga, au m$enge, tena mitaa ya kati alikuwepo mmoja maarufu, Anti Mudi, alikuwa akikatisha mtaani hata watoto wadogo wanamzunguka, kumshangaa, kumcheka, na kumjambi$$$, maana Uswai hakuna dogo, na ilijulikana wazi kwamba jamaa ana sexual orientation tofauti na wengine. Si dhana mpya.

Isitoshe, hata kwenye vitabu vyetu vya sheria imo, kwenye penal code iliyokuwepo toka miaka ya mwanzo wa nchi ushoga unakatazwa, ni dhana inayojulikana.

Na hata utotoni mtoto wa kiume anaemkoromea mwenzake kama anataka kumfanya msichana basi huyo alisemwa unam baa$hia mwenzie, na haikubaliki, na mliweza kujipanga mkampa kisago mpaka atie akili, na yule anaeba$hiwa nae anaambiwa akomae komae, akaze sauti, apigane.

Labda useme cha tofauti kwetu sisi ni kwamba, kama walivyokwisha sema wengine, kwetu sisi shoga au m$enge ni yule anae ingiliwa na mwenzie, sio wote wawili. Lakini hata hiyo nayo siyo "dhana ngeni" sana, manake toka utotoni wengine tulifundishwa kwamba ba$ha huba$hiwa, na ukiba$hiwa unageuka h@nithi, na h@nithi anaonekana ni kama m$enge, and you didn't want that.

Hakuna "dhana ngeni" hapo.
 
Hakuna "dhana ngeni" hapo.

unachanganya mambo..sijasema vitendo vya kishoga ni vigeni au watu ambao ni mashoga ni wageni. Nawajua baadhi ya marafiki zangu walikuwa hivyo na hao kina anti mudi wapo sehemu nyingi tu. Nimesema dhana ya orientantion sikusema suala la homosexuality. Duh!
 

... Nimesema dhana ya orientantion sikusema suala la homosexuality. Duh
!

Mwanakijiji,

Sema hukumaanisha hivyo ulivyosema, usiseme mimi ndio nimechanganya mambo.

Umesema "kwetu dhana ya sexual orientation ni ngeni." Dhana ya sexual orientation maana yake nini kama sio uelewa wa ushoga, ni nini, na nani ni msagaji, aina na namna za kujamiana. Nikakwambia kwamba siku zote tumekua tukijua kwamba kuna aina za kujamiana zaidi ya hii traditional ya baba na mama hii.

Sasa nimechanganya nini hapo? Dhana ya sexual orientation inakuwa defined na, inaenda na, hizi jinsi mbali mbali za kujamiana. Nikaonyesha, toka zamani matendo yanayo define, yanaoendana na dhana hizi yajulikana, tuna mpaka majina anuwai ya watu hawa. Sasa utasemaje "kwetu dhana ya sexual orientation ni ngeni"?

Hebu sema, nini kipya? Kama unajua kina Anti Mudi walikuwepo, na ilijulikana kuwa Mudi kajigeuza anti, badala ya mjomba, alitegemewa awe mjomba, ni nini hapo tulikuwa hatukielewi? Tulijua kuna lijali na kuna shoga. Na jamii yetu ya mrengo wa kulia haikutaka ushoga. Tuliwapiga marufuku kisheria. Nini ambacho hatukukijua hapo?

Nini kigeni?
 
mtoto wangu wa kike baada ya kusoma gazeti hili ambapo kichwa hicho cha habari kipo ukurasa wa mbele kauliza "Baba kusagana ndiyo nini"?..

My friend, the story has kwazad me much. Tutaruhusiwa kweli kuwalea watoto wetu tupendavyo na kuwafundisha kwa kadiri tunavyopima muda wa kuwaambia mambo fulani? Au wanataka kutulazimisha tuwakataze kutuuliza uliza maswali ya kipuuzi ili watu wengine "wawafunze"?

Nadhani kama ni mtoto wa kike mdogo si lazima umweleze maana halisi ya kusagana lakini kama kisha elekea kubalehe bora umfahamishe maana yake nini lakini pia kumtahadharisha. Kijasho kitakutoka lakini ukimaliza kutoa maelezo utakua umejikomboa. Labda mama yake asaidie au nyie wote kwa pamoja. Kamwe usiache ''wawafunze''.
Naona karne ya leo hamna namna ya kukwepa haya mambo, kama si gazetini basi ataona mwenyewe kwenye mtandao, ama stori toka kwa school mate. Naamini ataamini stori toka kwa marafiki kama humwelezi chochote.
Kukomesha haya mambo labda tufuate UTALIBANI - yaani hata internet marufuku.
 
Nadhani kama ni mtoto wa kike mdogo si lazima umweleze maana halisi ya kusagana lakini kama kisha elekea kubalehe bora umfahamishe maana yake nini lakini pia kumtahadharisha. Kijasho kitakutoka lakini ukimaliza kutoa maelezo utakua umejikomboa. Labda mama yake asaidie au nyie wote kwa pamoja. Kamwe usiache ''wawafunze''.
Naona karne ya leo hamna namna ya kukwepa haya mambo, kama si gazetini basi ataona mwenyewe kwenye mtandao, ama stori toka kwa school mate. Naamini ataamini stori toka kwa marafiki kama humwelezi chochote.
Kukomesha haya mambo labda tufuate UTALIBANI - yaani hata internet marufuku.

najua nini cha kumuambia binti yangu.. lakini kwanini nilazimishwe na magazeti kufanya hivyo!?
 
Mwanakijiji,

Sema hukumaanisha hivyo ulivyosema, usiseme mimi ndio nimechanganya mambo.

Umesema "kwetu dhana ya sexual orientation ni ngeni." Dhana ya sexual orientation maana yake nini kama sio uelewa wa ushoga, ni nini, na nani ni msagaji, aina na namna za kujamiana. Nikakwambia kwamba siku zote tumekua tukijua kwamba kuna aina za kujamiana zaidi ya hii traditional ya baba na mama hii.

Sasa nimechanganya nini hapo? Dhana ya sexual orientation inakuwa defined na, inaenda na, hizi jinsi mbali mbali za kujamiana. Nikaonyesha, toka zamani matendo yanayo define, yanaoendana na dhana hizi yajulikana, tuna mpaka majina anuwai ya watu hawa. Sasa utasemaje "kwetu dhana ya sexual orientation ni ngeni"?

Hebu sema, nini kipya? Kama unajua kina Anti Mudi walikuwepo, na ilijulikana kuwa Mudi kajigeuza anti, badala ya mjomba, alitegemewa awe mjomba, ni nini hapo tulikuwa hatukielewi? Tulijua kuna lijali na kuna shoga. Na jamii yetu ya mrengo wa kulia haikutaka ushoga. Tuliwapiga marufuku kisheria. Nini ambacho hatukukijua hapo?

Nini kigeni?


you have no idea what sexual orientantion is! Ningetaka kusema unachofikiri nimesema nisingesita kukisema; nilichosema ndicho nilichomaanisha usimaanishe nisichosema. Usipoelewa ungeniuliza nina maana gani ninaposema sexual orientation. Mtu anaweza kuwa na homosexual orientation bila kufanya vitendo hivyo! and you would not know about it!
 

...Mtu anaweza kuwa na homosexual orientation bila kufanya vitendo hivyo!

Homosexuality inakuwa defined na mapendeleo yako katika aina za tendo la ndoa. Maana yake:

Homo - kuhusiana na umoja, isiyo na tofauti
Sexual - kuhusiana na jinsia, kujamiana
Homo-sexual: mahusiano ya kujamiana yanayohusisha watu wa jinsia moja.

Watanzania wanaelewa nadharia ya ushoga. Hata kwenye vitabu vya sheria imo, na imepigwa marufuku. Huwezi kutamka eti "kwetu nadharia ya sexual orientation ni ngeni." Nini kigeni hapo?

Unaenda ng'ambo unakutana na vineno vipya unadhani ni "dhana ngeni" kwenu. Toka lini dhana ya ushoga, na u$enge, na sexual orientation yakawa mambo mageni Tanzania? Ndio haya ya ku lose touch na mambo ya nyumbani unaona kila kitu kigeni sasa.
 
Kwa wale wanaodhani homosexuality ni kitu kigeni Africa someni hapa:http://semgai.free.fr/doc_et_pdf/africa_A4.pdf.

Katika baadhi ya makabila vitendo hivi vilikubalika baina ya watoto na baina ya wanaume na watoto. Ukiangalia social system ya baadhi ya haya makabila ambapo vijana walitengwa kijinsia kwa muda mrefu basi haishangazi kuona au kusikia kuwa baadhi yao walikuwa waki-experiment. Hii tabia katika baadhi ya hayo makabila ilitegemewa kukoma pale watu wanapoingia utu uzima. Kwangu mimi naona ni uovu mkubwa kwa mtu mzima kumtumia mtoto wa jinsia yeyote katika kujiridhisha kimwili. Lakini hii katika baadhi ya hizi jamii haikuonekana hivyo. Hii ilitokana na dhana ambayo MKJJ ameizungumzia kwa upotofu. Dhana ya kuwa mwanaume asiye na kilema ni norm katika jamii na wengine wote walikuwa deviant. Hii ilihalalisha vitendo viovu kutendeka kwa wanawake, watoto na wenye ulemavu. Mbaya zaidi kwa vile walijua kuwa katika hao wanaume rijala kuna wengine walikuwa na matamanio ya kutembea na wale wenye jinsia yao basi mwanya uliwekwa wa kuwatumia watoto! Kwa mwanaume aliyekubali kuingiliwa basi alikuwa hana jinsi bali kuvaa na kujifanya mwanamke ambae tayari aliisha hesabiwa kama deviant ( ana akili za mtoto mdogo, ana tawaliwa na emotions n.k)ili akubalike kwa kiasi fulani. Tukumbuke kuwa norms zinawekwa na yule mwenye nguvu na mara nyingi zinatumika kuhakikisha kuwa anaendelea kuwa mwenye nguvu. Na ndivyo ilivyokuwa na ilivyo katika jamii yetu.

Amandla.......
 
One is my avoiding procreation which nature (human) has intended for man and a woman. The natural family life from time in memorial has always been between a man and a woman/women or men.

Mzee Mwanakijiji.
Kwa hiyo unataka kusema kuwa procreation au uwezo wa kuprocreate ndiyo unao legitimise institution ya family? Kwa hiyo wale ambao hawana uwezo wa ku-procreate sio legitimate ( philosophically na si legally) au natural? Utawaweka wapi wale ambao kwa sababu mbalimbali hawana uwezo wa ku-procreate? Je watu wazima ambao wamepita umri wa ku-procreate wao hawahesabiki kuwa family?

Kama unamaanisha kitendo cha kujamiana ni lazima kilenge katika ku-procreate bado unakuwa kwenye mine field. Kwa kusema hivyo una maana kuwa vitendo vyote vinavyofanywa baina na mume na mke ambavyo kwa namna yeyote haviwezi ku-result kwenye procreation na vyenyewe ni illegitimate?

Unasema natural family life has always been between man and woman/women halafu hapo chini unakiri kuwa kuna makabila yalikuwa na institutions ambamo wanawake walioa wanawake wenzao! Hata kama katika hizo familia hao wanawake hawakuwa wanajamiana lakini jamii ilikubali kuwa wao na watoto wao ni legitimate family unit kiasi kwamba watoto waliweza kurithishwa mali ya mama mkubwa! Kwa hali hiyo baadhi ya makabila yalikubali kuwa ndoa si lazima iwe kati ya mwanaume na mwanamke tu!

Amandla.........
 
Mimi bado naamini kuwa hii ni non-issue. Hakuna kitu erotic katika habari nzima. Mwandishi amezungumzia binti ambae aidha ni lesbian ( msagaji ) au bi-sexual. Sasa mnataka kusema kuwa neno "lesbian" limekuwa tusi? Kama vile wakati wetu tulivyodhani kuwa neno "bepari" ni tusi! Ni mawazo yetu haya ambayo ni antiquated ambayo yanatufanya tupandishe mori ati kwa sababu mtu kamzungumzia lesbian. Kesho mtadai tusiseme mtu amebakwa kwa sababu watoto wetu watataka kujua nini maana ya kubakwa!

Tumefika mahali tunadai kuwa vijana wanafikiria ngono ati kwa sababu vijarida vinaandika kuhusu masuala hayo. Trust me, hata kabla ya hivyo vijarida vijana walikuwa wakifikiria ngono, ngono, ngono tu. Kuna kitu kinaitwa hormones. Ni ubinadamu.


Amandla...........
NMC (National Milling Corporation) lilikua likitafsiriwa kama Shirika la USAGAJI la Taifa. wenzetu wazanzibari hawakuweza kulitumia neno la usagaji kwenye kutamka, wakawa wanasema USAGISHAJI. Kwa mtazamo wa hilo neno kwenye habari, nafikiri sisi tuliokua wadogo wakati huo ndio tulianza kuharibiwa baada ya kulisoma kwenye uhuru na mzalendo. ndo maana wengi hawalipigii kelele kwa watoto wao maana si jambo geni kwao. kumbukeni wakuu, kwamba maadili uliyoyapata wakati unalelewa yana mchango mkubwa sana katika maadili ya mwanao sasa hivi na huko mbele
 
Fundi Mchundo,

Mimi nisichoelewa, na nimekusoma kwa makini, na kama kawaida yako, unaandika kwa ukomo wa mantiki na ubayana, nisichoelewa ni kwa nini unajiita mmisheni wakati unasimamia miono ya mrengo wa kushoto ambayo kawaida tumezoea kuona ikipingwa na wale wenye falsafa zinazojengwa na neno la yule ajaye.
 
Fundi Mchundo,

Mimi nisichoelewa, na nimekusoma kwa makini, na kama kawaida yako, unaandika kwa ukomo wa mantiki na ubayana, nisichoelewa ni kwa nini unajiita mmisheni wakati unasimamia miono ya mrengo wa kushoto ambayo kawaida tumezoea kuona ikipingwa na wale wenye falsafa zinazojengwa na neno la yule ajaye.

Mimi naamini Yesu angekuja wakati huu, nae angekuwa wa mrengo wa kushoto! Angeongoza mapinduzi dhidi ya hawa mapadiri mamilionea na viongezi wasiojua maana ya tolerance!

Amandla.......

Fundi Mchundo/ Mmisheni Mwanamapinduzi
 
Back
Top Bottom