Elections 2010 Habari za kiintejensia zinatangwa !?

Status
Not open for further replies.

utiyansanga

JF-Expert Member
May 19, 2010
213
7
nIMESIKIA redion AFANDE KOVA anatuambia kuwa wapelelezi wake wamegundua kuwa kuna watu wanaandaa watu kufanya fujo.Hivi jamani upepelezi gani huu wa polisi mntangaza kama vile ni maandalizi ya kumfungisha mtu ndao ya mkeka kwetu uswahili lini,mnashindwa nini kupelelza kimyakimya muwakamate afu mtujuze ,mbona mnataka kuwa fanya watu wajinga,huu si upellezi ila ni propaganda tu ,kama ndivyo mnavyofanya kazi mh!
 
nIMESIKIA redion AFANDE KOVA anatuambia kuwa wapelelezi wake wamegundua kuwa kuna watu wanaandaa watu kufanya fujo.Hivi jamani upepelezi gani huu wa polisi mntangaza kama vile ni maandalizi ya kumfungisha mtu ndao ya mkeka kwetu uswahili lini,mnashindwa nini kupelelza kimyakimya muwakamate afu mtujuze ,mbona mnataka kuwa fanya watu wajinga,huu si upellezi ila ni propaganda tu ,kama ndivyo mnavyofanya kazi mh!
Kama kuna watu , ishu ilikuwa ni kwenda kuwakamata na kuwafungulia mashitaka...basi!
Intelijensia gani inatakiwa hapo?
 
chama cha makamamba(ccm) wa kijeshi kinaweweseka, hakijui cha kufanya, kinajaribu kuwatisha watu kupitia vyombo vya dola ili wasidai haki yao, kamwe tusiogope tubebe hata matokeo ya urais tukawashitaki kwa baba zao watawanyoosha tu(wafadhili). pia tuweke mkakati wa kukifuta kabisa chama cha ccm katika uchaguzi wa 2015 ikibidi wasipate hata kiti kimoja cha ubunge na wapoteze halmashauri zote


peoples stand up for your rights, hii sio nchi yao ni yetu ndio maana tumewaonesha uamuzi wetu wa nani anatufaa kupitia sanduku la kura ingawa hawataki kukubali ukweli kuwa hatuwataki.

hivi jamani kama umemkataa mtu kuwa mke/mme wako kwasababu humpendi halafu hakubali unafanyeje???
 
mod unganisha hizi thread na member muwe makini mnapoanzisha mada as wengine wanakuwa tayari wamesha anzisha thread namna hii watu wanashindwa ku stick kwenye thread moja plz members kuweni wastaarabu au mnataka kuwa na mipost mingi???????????
 
chama cha makamamba(ccm) wa kijeshi kinaweweseka, hakijui cha kufanya, kinajaribu kuwatisha watu kupitia vyombo vya dola ili wasidai haki yao, kamwe tusiogope tubebe hata matokeo ya urais tukawashitaki kwa baba zao watawanyoosha tu(wafadhili). pia tuweke mkakati wa kukifuta kabisa chama cha ccm katika uchaguzi wa 2015 ikibidi wasipate hata kiti kimoja cha ubunge na wapoteze halmashauri zote


peoples stand up for your rights, hii sio nchi yao ni yetu ndio maana tumewaonesha uamuzi wetu wa nani anatufaa kupitia sanduku la kura ingawa hawataki kukubali ukweli kuwa hatuwataki.


hivi jamani kama umemkataa mtu kuwa mke/mme wako kwasababu humpendi halafu hakubali unafanyeje???
napiga huku nikimtoa nje ya nyumba yangu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom