utiyansanga
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 213
- 7
nIMESIKIA redion AFANDE KOVA anatuambia kuwa wapelelezi wake wamegundua kuwa kuna watu wanaandaa watu kufanya fujo.Hivi jamani upepelezi gani huu wa polisi mntangaza kama vile ni maandalizi ya kumfungisha mtu ndao ya mkeka kwetu uswahili lini,mnashindwa nini kupelelza kimyakimya muwakamate afu mtujuze ,mbona mnataka kuwa fanya watu wajinga,huu si upellezi ila ni propaganda tu ,kama ndivyo mnavyofanya kazi mh!