Habari njema kwa wafanyakazi wa Tanzania Port Authority. Tpa

Ibrahim K. Chiki

JF-Expert Member
Apr 5, 2011
594
163
Kwa wale ndugu zetu waajiriwa wa TPA, International Commercial Bank tunarudi tena ili kuwawezesha wafanyakazi wenye permanent contract na kupata mkopo kati ya 5 to 10 mil. Vigezo ni rahisi na vinawezekana. Tafadhari ni wafanyakazi wa TPA Tuuuuu.
 
Kwa wale ndugu zetu waajiriwa wa TPA, International Commercial Bank tunarudi tena ili kuwawezesha wafanyakazi wenye permanent contract na kupata mkopo kati ya 5 to 10 mil. Vigezo ni rahisi na vinawezekana. Tafadhari ni wafanyakazi wa TPA Tuuuuu.

Mkopo wa mil 10? Hata Kigae cha ki-south hauezeki @lst ingekua 40mils hiv.
 
Naomba tafadhali nipatie number yako ya simu ili tuwasiliane
Au kama hutajali naomba unipigie simu kwa no. 0713 68 96 65. Mimi niko TPA Head office nataka details zaidi
 
Back
Top Bottom