Habari Njema - Je Mnayajua haya?

Ndugu Mnyisunura hayo uliyoyaeleza ni ya maana sana na yameniweka katika ufahamu mzuri ,lakini zaidi ya yote hayo wananchi wanakuwa na kuona kila siku miradi ikifanya kazi na mali kuchimbuliwa ,sasa ukiwachukulia wananchi wanaoishi kandokando ya migodi hiyo utawakuta ni masikini ombaomba ,hawana maji safi wala watoto wao hawana shule za kisasa ,haya ndio mambo yaliopelekea mapigano kule Nigeria na mpaka leo hufumka vita katika machimbo ya mafuta ,sababu ni hizi za serikali kujifanya ndie pekee anaefaidi malipo na kutowajali wakazi waeneo,katika sehemu yako ya mwisho ni muelekezo mzuri kabisa kuwa hawa wanaopewa leseni na kuruhusiwa kubukua hazina ya eneo fulani walazimishwe kuweka shule zaidi ya moja ,kuwapatia wakazi maji safi kuwajengea barabara japo oneway na guzo la taa kila baada ya mita mia tano badala ya ahadi hizi kuchukuliwa na chama tawala ambao wakipata feza wanaitafuna,nafikiri WaTanzania wakihahakikishiwa kuwa mwekezaji kabla hajaekeza au pale akipata leseni tu kwanza afanye mambu hayo ili kuwafurahiusha wakazi pia nafasi za kazi kama za udereva ulinzi na kazi zingine za kushughulikia machimbo ,usafi na kazi ndogo ndogo ambazo hazihitaji elimu ya vyuo vikuu wapewe wakazi kwanza yaani wakazi wawe nambarione ,hapo tungelipiga hatua na mayowe yangepungua ,lakini leo Tanzania ni ya Tatu,SouthAfrica ya pili na Ghana ni ya kwanza(Japo umesema Ghana hakuna kitu) lakini chati inaonyesha ni ya mwanzo katika uchimbaji bado unaikuta mikoa ya Mwanza ,Musoma,Mara na Shinyanga hali zake ni duni kabisa kabisa kuanzia makazi,vipando,barabara na mashule kwa kweli wananchi hawataacha kupiga makelele na kusema wanaibiwa na wazungu wachache wakishirikiana na mafisadi Tanzania haihitaji uchunguzi tena kumeshafanywa uchunguzi na mali ipo ya kutosha hata Mheshimiwa Kikwete alisikika akisema hakuna madini unayoijua ambayo haipo Tz ,akijitapa sana kwenye hotuba yake kuwaita wawekezaji ,hivyo asingekuwa na nguvu za kuwaita wawekezaji kama uhakika wa uchunguzi bado haujatimia au haujulikani au utahitaji miaka kibao ,tayari muheshimiwa alikwishaona data tokea akifanya kazi ya Uwaziri.

Mkuu nimekuelewa unayoyasema! Lakini kwa ujumla labda niseme siyo kuwafurahisha wananchi! Iwe sheria kama sehem ya mgodi kufanya hivyo! Kuna kitu kinaitwa community involvement during mine design! Ni kwamba tunazungumza sheria iwabane kuwashirikisha wananchi na hao ndo wawe waamuzi wa rasilimali zao! Waseme tunataka tufanyiwe nini! Pili wapelekwe wataalam kuwaelimisha wananchi na kuwepo utekelezaji wa wakubaliano! Ni mambo ya ndani sana nashindwa hata namna ya kuyaeleza lakini kiufupi ni kuwa issue ya community involvement in mine design ndo inayoleta tija kwa wakazi! Siyo mwanasiasa awaamulie wananchi! Kwa kuangalia mambo yanayotokea Buzwagi kwa mfano inaonesha kabisa kuwa kuna mtu alifanya maamuzi kwa niaba ya wale watu!
Issue ya madini kuwepo mengi sometimes ni ya kisiasa! Unaweza ukawa na madini lakini hayachimbiki! Issue ni kuwa je haya ambayo tayari tunajua yapo na yanachimbwa yanatusaidia vipi? Wanasiasa wakienda migodini gari lake likitengenezwa na kupata kidogokidogo amechanganyikiwa! Nasikitika sana kwani tunaongozwa na mbumbu mno!
 
Madini ya uranium yanapatikana duniani kote na hayako haba kama tunavyodhani. Kutokana na hili ndiyo maana kwa wenzetu suala la radon gas kupenyeza kwenye makazi ya watu linatiliwa umuhimu mkubwa. Tofauti ni richness ya deposits.

Katika dunia ya sasa kumiliki kila kitu kuanzia mining, processing n.k. ni vigumu. Sio sustainable. Kwa mfano, kuwa na maabara ya kushughulikia madini yanayopatikana nchini tu hailipi. Gharama za uendeshaji ni kubwa mno. Na katika vitu kama hivi ni lazima iwe katika kiwango kinachokubaliwa na IAEA. It is simply not worth it.

Naamini tunachotakiwa kufanya ni kuwa makini katika utoaji wetu wa leseni. Bora kuwa na wawekezaji wachache makini kuliko kibao ambao ni speculators. Sisi tunakimbilia wingi badala ya kuangalia ubora. Kama kawaida yetu hatupendi kufanya kazi ya ziada ya kuziangalia credentials ya hao wanaokuja. Tunachojali sisi ni mapato ya haraka haraka. Na speculators ni hodari kwa kuahidi ufalme wa mbinguni wanapotaka kitu. Tatizo mara nyingi uwezo wa kutufikisha huko hawana.

Amandla.......
 
Tatizo ni kushirikiana na wazungu ambao ni wazugaji wakubwa ziko nchi ambazo zinaweza kutusaidia kikweli kweli na kuwapa elimu tosha wanafunzi,kuna chi zimeshirikiana na urusi na leo ni warushaji wa satalaiti,kuna nchi zimeshirikiana na China na leo wana chimbua mafuta.
Mfano Iran ,Pakistan ,India hawa walishirikiana na nchi hizo Urusi China ambazo zilibanwa na Marekani juu ya kueneza teknolojia lakini wanafunzi waliopelekwa kusoma huko walirudi makwao na utaalamu wa hali ya juu ,leo Muirani anatengeneza mitambo inayotumia uranium sisi huku wazungu wametuletea elimu ya kusema mifuko ya rambo ni hatari masikini viongozi wetu wakaipiga marufuku na ikawa ni kosa la jinai ukikutikana unatumia mifuko hiyo polisi wa jiji ikawa wamepata kazi ya kuwasumbua wananchi.

Ndugu amesema kuifunga migodi hii ni kurudi alikotupeleka Nyerere natumai sio kweli Kama alivyomnukuu Mwalimu kuwa hazina hii tutaitumia tutakapokuwa na wataalamu wetu wenyewe au tutakapojua kuitumia ,hapo alikuwa sawa kabisa ,ila walafi wachache wamewekwa kikao na wazungu na kurubuniwa na tulipofikishwa ni pabaya zaidi kwani kujinasua kunahitaji ukakamavu na kujiamini juu ya tulichonacho kuwa ni mali yetu na mshenzi yeyote hana amri juu yake.

Kama taifa halijapata wataalamu wa kuyatumia madini tuliyonayo ilikuwa ni kosa kuwaalika wazungu kuja kutuibia kimachomacho wakitunga mahesabu ya mamilioni ,wakijua fika maziro yakiongezeka Serikali itabwaga manyanga na kushindwa kumudu gharama hivyo ,itakuwa rahisi kwao kuingia na kuhodhi maeneo makubwa.

Wandugu ipo haja ya kushirikiana na nchi kama Urusi na Uchina naamini kabisa hawa watawafundisha wasomi wetu kwa jitihada zao za mwisho kabisa na tutaona mafanikio ndani ya muda mchache ,Nchi hizi zinahitaji urafiki wa kweli na sio urafiki wa kufuatilia interest kama walivyo wazungu wa kimarekani ambao wengi wa kampuni za huko hufuata hazina bila ya kuwajali au kuwafundisha wazalendo.

Kubwa ambalo nalo naliona ni kuwapoteza wasomi na kuwapa kazi zisizo husika tunae mzenji ambae ni msomi wa juu kwenye mambo ya nguvu za Nyuklia lakini sijui amepewa wizara gani na baada ya muda atakuwa hana kazi,aidha huu ni mkakati wa kuwapoteza wasomi ambao kwa taaluma aliyonayo anaweza moja kwa moja kuwa mtaalamu wa Nchi na kuhusishwa na mambo ya nguvu za nyuklia tu.

Tuondokane na wazungu na tuhamie Urusi China ili tusome na tusomeshwe bila ya gharama kubwa ,ioneni Libya ,Sudan hawa wanashirikiana na China na leo Sudan ni mchimbaji mkubwa wa mafuta ,haikuchukua hata miaka kumi Sudan kuchimba mafuta na sasa inapiga hatua kimaendeleo halikadhalika na Libya na tumeiona Columbia ilivyokata urafiki na Marekani na kuhamia Urusi na mwisho kusema ni bora ununue ndege ya kivita kutoka Urusi kuliko Marekani akimaanisha ukinunua kutoka Marekani unaletewa pipa tupu ulisarifu mwenyewe na spea hupewi ila ukinunua Urusi unaletewa ndege ilivyokuwa full equiped. Na free maitenance na fundi na mwalimu unaletewa kwa gharama ileile uliyonunulia ndege.
Umefika wakati wa kuachana na matapeli wa kizungu na makampuni ambayo ni wezi na wadhalilishaji wakubwa hizo kampuni za uchimbaji zote kwao ni Marekani , Canada na Australia ni danganyo tu.
Tusikubali kudhalilishwa kwa kusema au kuambiwa na kutufanya tuamini kuwa gharama za uchimbaji ni kubwa sijui ni hatari ,hakuna kisicho kuwa hatari hata kimoja mambo yote ni hatari ila hatari waliyonayo wazungu ni kubwa maana hatutafaidi chochote.
Marekani anataka kujenga infrastructure ya Tanzania ,jamani hilo si bure tazameni route alizozikusudia ,hizo zitatumika kusafirisha mchanga kutoka machimboni hadi bandari ya DSM na kupakiwa kwenye mijimeli mikubwa na kwenda kusikojulikana wameshaona kuwa kuondoka na hazina kwenye vipolo ,dili hiyo tutaisitukia sasa wanataka kusomba kwa meli.
njia ni kutengeneza barabara na huku wakiimba wimbo wa gharama za kuchimba ni kubwa na uchunguzi unachukua miaka mingi siku wakimaliza kujenga barabara basi mwezi unaofuata wataanza usafirishaji wa nguvu wakisema hapa hakuna mitambo ya kuisafisha Uranium hilo litakuwa goli jengine.

War-ridden Sudan, which only started exporting oil in 1999, during this year has become sub-Saharan Africa's third largest oil producer, only surpassed by Nigeria and Angola.

Sisi tuliokuwa au tunaoishi kwa amani na utulivu tunadanganywa kama hatuna akili uzuri ,tunavaa suti safi ,viatu mchongo tai shingoni tukionekana wasomi wa kweli na gari za kifahari zikiwa na vipeperushi ,bungeni wabunge wanasema mpaka wanatoka povu ,Sudan hao wanapiga hatua mbele leo ni yatatu na wanafaidika na matunda ya Nchi yao sisi ni watatu kwa Dhahabu lakini hakuna faida badu Nchi inaendeshwa na ujinga au tunaonekana tupo kwenye zama za mawe ,ndio maana watu wanashangaa kusikia bado tunauwana kwa mambo ya kishirikina.
 
Mwiba! Kumbe tatizo lako ni wazungu? Wa-Iran wameendeleza yalioachwa na Shah Pahlavi aliyeshirikiana sana na wazungu. Wahindi( na wapakistan), basis ya elimu ilitoka kwa waingereza, wachina nao kabla ya wakina Mao walishirikiana sana na wazungu, wajapan walianza kwa kuwaiga wazungu. Leo, Mkuu, unataka tusishirikiane na wazungu? Hao warusi mbona nao ni wazungu? Wao nao ni ushirikiano na nchi za magharibi ndiyo ziliwainua. Lugha kuu kwenye utawala wa Tsar ilikuwa ni kifaransa. Hao wakomunisti walijenga kwenye misingi iliyotegenezwa na waliowatangulia.

Leo unawatukuza wachina. Kwani hao waoshindana na wamachinga Kariakoo ni wazungu? Kwani aliyepewa TRL ni mzungu? Kwani hata huyo Richmond ni mzungu? Leo tunawapa wachina ATCL na kiwanja cha ndege. Ngoja mtatueleza nini baada ya miaka michache!

Kwa taarifa yako, urusi na uchina ( umeshasahau ya Tazara) si ile unayoijua wewe. Hawa nao hawana msalie mtume. Mbaya zaidi ni kuwa hata watakapoona dhahiri kuwa tunawaharibia vizazi vijavyo, hawatatuonya! Na sisi kwa vile hatupendi kukemewa tunafurahia na kuwaona ni wenzetu. Matunda ya mapenzi yao tutayaona baada ya muda si mrefu. Sijui tutamgeukia nani wakati huo utakapowadia.

Amandla.....
 
Hapana ila wazungu wamekuwa wakituchukulia muda mwingi,na dili ambazo ni faida kwa wananchi huwa wanatuhangaisha,na kushirikiana ni kwenye fani maalum tu ,pale ambapo tunaona ipo haja ya haraka,unaposikia wao wanashirikiana na wazungu basi ujue ni ushirikiano wa kidugu ,tofauti na kwetu ,wazungu wanatazama maslahi yao kwanza,kama ulivyosema kuwa mambo yamebadilika ni kweli ,maana Marekani imetiliwa fedha na Mchinas ili kuinua Uchumi ,kila moja sasa ni mwanamme ,tofauti bado kwetu,wazungu bado wanatuona ni mambumbu hivyo kama walivyowadanganya wazee waliopita ndio nao wanatumia hila hizo hizo.Bora tuwategemee masikini wenzetu ambao walionja umaskini lakini wameamka wamesoma na wamefahamu na sasa wako hatua nyingi mbele,hivyo hawa watakuwa na hisia za umasikini na wanajua kusaidia na wamejenga reli ya Tanzambia ,tulichoshindwa ni kuiendeleza ,na hili ni utawala mbovu tu ambao unajali maslahi binafsi hawajui kama uchumi ukianguka hata maslahi yao yataanguka na ndio tuonavyo reli wameshindwa kuzisimamia ,ndege wameshindwa kuzisimamia leo wao wanapoteza kazi na mshirika kupewa wengine ,hapo ndipo utakapoona tabia ya kushindwa na kujali maslahi inapoishia.

Sudan open to Chinese, Indian and Malaysian investors. China National Petroleum Corporation (CNPC), India's Oil and Natural Gas Corporation (ONGC) and Malaysia's Petronas are now the biggest players in Sudan's oil sector.Leo ni ya tatu kwa Afrika ndani ya miaka miaka 9 sisi tuna madini kabla ya uhuru na yanachunguzwa tokea wakati huo jana juzi ndio tumekuwa ya tatu.
Sisi tunaokumbatia wazungu wacha tusote ,wakituahidi kutufanyia uchunguzi.
 
War-ridden Sudan, which only started exporting oil in 1999, during this year has become sub-Saharan Africa's third largest oil producer, only surpassed by Nigeria and Angola.

Mwanachi wa kawaida wa Sudan anafaidika vipi na mafuta? Tukumbuke hata aliye Darfur nae ni raia.

Equatorial Guinea wana mafuta kibao. Nako niambie wananchi wake wanafaidika vipi?

Angola ni ya pili kwa kutoa mafuta lakini nako niambie wananchi wamefaidika vipi?

Nigeria ndiyo usiseme kabisa. Na Gabon ndiyo balaa!

Kote huku utawalaumu wazungu?

Chad walisaidiwa kujenga njia ya mafuta kwa makubaliano kuwa sehemu kubwa ya mapato yawekezwe kwenye maendeleo ya wananchi. Bomba lilipokamilika tu, waChad wakayatosa makubaliano na kuanza kufanya shopping ya silaha! Nako tumlaumu mzungu?
 
Sudan open to Chinese, Indian and Malaysian investors. China National Petroleum Corporation (CNPC), India's Oil and Natural Gas Corporation (ONGC) and Malaysia's Petronas are now the biggest players in Sudan's oil sector.
Sisi tunaokumbatia wazungu wacha tusote ,wakituahidi kutufanyia uchunguzi.

Sudan iliwachagua hawa kwa sababu hawakutaka kuulizwa mapato ya mafuta wanayafanyia nini. Sudan imeweza kuendesha vita kutokana na mapato haya. Hawa uliowataja hawajali kama sudan watatumia mapato hayo kuwauwa watu wa Darfur au kujenga maghorofa yasiyo na maana Khartoum. Hawajali kama sehemu kubwa inalambwa na wajanja. Wao wanachotaka ni hayo mafuta tu.
 
Mwiba. Wakati wa ujenzi wa Tazara palikuwa na shutuma nyingi tu kuwa wachina wanatuibia madini na vitu vingine. Laiti wakati ule ingekuweko JF tungejua mengi zaidi.

Hakuna mjomba huko. Ni sisi wenyewe kuwa makini. Ni sisi kuwabana tuliowachagua watutimizie waliyotuahidi wakati wakiomba kura zetu. Mkombozi wetu ni sisi wenyewe na wala si mchina, mhindi, mrusi au mzungu.
 
Can one of you moderators inform me why you delete most of my contributions on this blog.
 
Mwiba. Wakati wa ujenzi wa Tazara palikuwa na shutuma nyingi tu kuwa wachina wanatuibia madini na vitu vingine. Laiti wakati ule ingekuweko JF tungejua mengi zaidi.

Hakuna mjomba huko. Ni sisi wenyewe kuwa makini. Ni sisi kuwabana tuliowachagua watutimizie waliyotuahidi wakati wakiomba kura zetu. Mkombozi wetu ni sisi wenyewe na wala si mchina, mhindi, mrusi au mzungu.

Sudan wamepiga hatua kubwa hata kwa wananchi wake ,hilo tatizo la Dharfur ni hao hao wazungu wanaolitilia maji ili wapate kuingia kinguvu kama walivyoingia Iraq na Afghanistan,Dhafuri ni eneo ambalo Uranium ipo nyingi na madini mengine na ndilo linalotakiwa na Marekani ila Wasudani wapo macho na tayari Mchina ameshafika huko kuandaa machimbo ,kama hujui Mmarekani ameshindwa kuingia kwa sababu Mchina ameshawahi sasa anatumia kila mbinu ,tuliache hilo la huko tugange ya hapa kwetu.
Kwetu ni amani na utulivundio uliotawala ,hakuna vita wala hatuna vita,muamko uliokuwepo hautasababisha faida kutumiwa na wachache kwani tumeshaona yaliopo na ni fundisho tosha kwa watakaoongoza nchi. Jambo kubwa ni mikakati ya uchunguzi usiokwisha na maleseni kibao na mikataba hewa na makampuni juu ya makampuni hata hajulikani akamatwe yupi ,hapa ndipo tulipo ,na wanaoshikilia mikataba hiyo na leseni hizo ni wazungu wenye private kampuni zenye watoto kibao wakizisajili kama local kumbe wao wapo nyuma,hii ni mipango isiyo na mwisho mzuri,ukiangalia huwa wanapasiana kila baada ya miaka na vilevile kuna machimbo kibao ambayo yapo Tz lakini huwezi kujua yapo sehemu gani wala ukienda kwenye dataz haiainishwi wapi yanaendeleza machimbo yao Tz ni kubwa sana ,hivyo hata maficho ya uchimbaji yapo,utaona njia zinaelekea porini tu kumbe ni sehemu ya kubukua hazina ya Nchi.
Tunaitakia mema Nchi yetu na sio tunasema kwa kuwasakama walioko madarakani lakini wananchi na watawaliwa wanaelekea kuamka na kuchoka na ahadi za serikali . haya hayataendelea hivi hivi kuna siku watavamia na kusema kweli kuwa kama hakuna faida na gharama ni kubwa basi na wao wafunge virago waende kwao.Makampuni kibao yametia nanga Tz halafu mnasema harama ni kubwa ,hivi kama gharama ni kubwa wanafanya nini na kupokezana machimbo kama mbio za vijiti.
 
The following News was released Feb, 2007:
Tanzania: Barrick to Open $400 Million Gold Mine

The world's largest gold producer, Barrick Gold Corporation, is to invest in a new $400 million gold mine at Buzwagi in Tanzania. According to Deo Mwanyika, the executive general manager for corporate and legal affairs at Barrick Tanzania, Buzwagi is expected to generate benefits for at least 10 years as it has probable gold reserves of 2.64 million ounces. The open pit mining operation will produce between 240,000 and 250,000 ounces of gold per year.
 
SPEECH BY H.E. JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE INVESTING IN AFRICAN MINING INDABA XII, CAPE TOWN, SOUTH AFRICA
February 6, 2007
"I will not be bragging in saying that my country, Tanzania, contributes a sizeable share of Africa's mineral wealth. Tanzania is richly endowed with minerals of all kinds. Almost every mineral known to exist in the earth's crust can be found in Tanzania, and some exist in large quantities. Tanzania offers a stable political environment with sound legal and fiscal policies. In terms of potential, the following is what we have to offer: Excess of 45 million ounces of gold, 1.5 million tonnes of nickel and 50 million carats of tanzanite..."

Muungwana anapiga mnada halafu mnasema uchunguzi haujakamilika.
 
STATEMENT BY THE RIGHT HONOURABLE EDWARD LOWASSA (MP), PRIME MINISTER OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE BUSINESS LUNCHEON HELD IN TORONTO, CANADA
December 4, 2006
"In conclusion let me answer the question why I think you should consider seriously investing in Tanzania. First and foremost is the long experience of political and economic stability, as well as peace and security that Tanzania continues to enjoy."
 
STATEMENT BY THE RIGHT HONOURABLE EDWARD LOWASSA (MP), PRIME MINISTER OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE BUSINESS LUNCHEON HELD IN TORONTO, CANADA
December 4, 2006
“In conclusion let me answer the question why I think you should consider seriously investing in Tanzania. First and foremost is the long experience of political and economic stability, as well as peace and security that Tanzania continues to enjoy.”

No, No, you did not quote him properly.

Lowassa concluded by saying that:

"..... First and foremost the long experience of political and economic instability, that favours the investors, by continuing impoverishing itself, entering in bogus contract all in investors' favour. So come and enrich yourself at Tanzanian’s impoverishing opportunity cost policy”
 
Ona hii kong'oli hapo was 2005 _ UK firm buys Tanzania uranium licences ,miaka miine imemaliza exploration haijulikani wakati tokea 1978 mambo yanachunguzwa na wajeru , feza inagawiwa na kugawanywa ,uku mnatuambia uchunguzi bado unahendelea ,mi naona iyo madini inachimwba kwa nguvu tu ,yuko wapi yule waziri alidai kuwa Wanategemea kutumia au kujenga vinu vya mitambo ya nyuklia hapa Tz kwa ajili ya kupata umeme ,jamani adaiwe tarehe na muda sio kutuburuza tu,hivi alipata wapi nguvu za kusema maneno yale ,nafikiri alidanganywa kuwa na nyinyi tutawagaia na mtaweza kujenga hizo tanuri za nuclear power ,haya tukae na kungojea kugaiwa.

Na hii was 2007- http://www.ippmedia.com/ipp/guardian/2007/01/19/82626.html wakihongezea kutudanganya kuwa bei sio kubwa , sasa sisi tuone ni hasara wakati wao wanahodhi mapande ya ardhi na kupewa leseni na wao kuwagaia wenzao ,sijui washauri ,wachunguzi yaani wanarudia kinyang'anyiro cha Tanzania badala ya Afrika.
 
Madongo na kudharauliwa.

...but Tanzania, rich in uranium, seriously wants to go atomic ?
...Despite the fact that Tanzania is endowed with over 30 per cent of the total uranium deposits in Africa, the government appears not to know what to do with them.

Msola ambae ni profesa alituliwaza kwa kusema au kujibu ....:-
Along with better availability of electricity, nuclear energy would be used for medical purposes in treating cancer in four major hospitals - Ocean Road Cancer Institute, Muhumbili National Hospital, Bugando Hospital and Kilimanjaro Christian Medical Centre,"

Wananchi tunaposikia maneno hayo kutoka kwa Waziri tunafurahi na kupata matumaini lakini miaka inapita awamu za uongozi zinapishana hatuoni kitu tena ni giza tu,wala hatuna wa kumhoji matamanio yamefikia wapi ? Nani ameachiwa kuyaendeleza ,na zaidi ni hatua gani zimefikiwa na kama haitoshi ni lini tutaweza kuona gulopu ya mwanzo ikimurika kwa kutumia nguvu za Nyuklia hapa TZ.

Naibu waziri nae akazidi kuwakosha wananchi pale aliposema :- A single nuclear plant is capable of producing a minimal of 5,000MW of power, while demand in a country like Tanzania, does not reach even 1,000MW at peak

Ndipo niliposema umeme utakuwepo hadi kwenye wanyama wetu na hizo 4000MW tutaweza kuwauzia majirani kwa bei powa.

Kuna wanaosema :- It is political rather than technological reasons that have held back uranium research in countries like Tanzania.

Leo panapotakiwa kufanya jitihada za kweli na kuamua kulalia madini kuna watu wanatwambia uchumi wetu au madini kwa hapa tulipo yanasaidia uchumi wa nchi kwa asilimia mbili na wanategemea ifikapo 2025 madini yatasaidia uchumi wa Tz kwa asilimia kumi.
Je ikiwa tutaweza kutumia umeme wa nyuklia ndani ya miaka mitano ? Uchumi wetu utakuwa wapi ?
 
inner_right1.jpg


Mzalendo akiangalia mauzauza ya uchimbaji visima vya kupata sampuli za Uranium akiwa na meneja machimbo anaewakilisha timu ya nje ughulikia machimbo hapa Nchini.
Ona tofauti ya watu wawili hao ,mmoja amekonda na mwengine amefura na baada ya muda aliekonda ataambiwa ahame sehemu hiyo kwani kuna kazi inataka kufanywa.
 
Investment by Canadian companies in African is huge, there is a good article on this subject at Pambazuka

Looking through this article, there is reason to worry, for example

And now, in order to ensure formalise the sector’s acquisitions over the last decade, Canada has signed its first Foreign Investment Protection Agreement (FIPA) plan with mining countries, with Tanzania and Madagascar in first place. This FIPA, already established within many Latin American countries, has among its aims the removal of current agreements through placing them under international arbitration

Which suggest the already signed mining contracts, giving 3% royalties to Tanzania government is still binding



Link PZN - Canada in Africa: The mining superpower

Canada in Africa: The mining superpower
Denis Tougas (2008-11-20)
PZN - Canada in Africa: The mining superpower

The time when Canada's presence on the African continent was primarily characterised by numerous missionaries and food donations is well and truly over! In countries such as Congo, Mali and Tanzania, when it is learned that you are from Canada, you are immediately asked if you work for the ‘mining’, a perception entirely consistent with reality. Canada is now a superpower in the African mining sector, a position the country intends to maintain and develop using all means at its disposal.

The salient presence of Canadian mining is relatively new in Africa and is rooted principally in the programmes of liberalisation of the sector from the early 1990s. These programmes have been driven by the World Bank, which from 1992(1) had begun defining the extractive sector as the main engine of development for many countries.(2) The privatisation of state enterprise – promoted as a means of encouraging the entry of foreign investment – has opened the door to foreign companies. At the head of this development, especially with regard to the smaller exploration companies known as ‘juniors’, are Canadian companies. These companies have an immense commercial presence in Canada: of the 1,223 mining companies listed on the Toronto Stock Exchange, the largest in the country, more than 1,000 are juniors!(3)

A HUGE EXPANSION

Currently, according to the Ministry of Natural Resources Canada (NRC), only the Republic of South Africa, with over 35% of assets and investments, is just ahead of Canada in the African mining industry. But with South Africa’s assets concentrated on its own territory, Canada dominates the rest of the continent.

The data compiled by the NRC demonstrates the speed with which the value of Canadian mining assets in Africa has grown over the last twenty years: at US$ 233 million in 1989, this figure grew to $635 million in 1995, and $2.8 billion in 2001, growing further to $6.08 billion in 2005, and $14.7 billion in 2007.(4) This total value is estimated to reach $21 billion by 2010.


In 2001, Canadian companies had operations in 24 African countries, a figure that had risen to 35 by 2007.



And 91% of Canadian investments were concentrated in eight countries, with the order of countries’ importance being the following: South Africa (25.6%), DR Congo (17.8%), Madagascar (13.8%), Zambia (9.9%), Tanzania (9.5%), Ghana (6.5%), Burkina Faso (4.7%) and Mauritania (3%).


It remains to be seen whether Chinese investment projects in the region will threaten Canada’s position of overall dominance.

BENEFITS FOR CANADA

The development of the Canadian mining sector and its expansion has affected all continents. Africa represented 11% of Canada’s US$25.8 billion in cumulative mining assets in 2001, a proportion which had risen to 17% of the total $85.9 billion in the same assets by 2007.


This growth has generated substantial profits for companies in the country: in 2001 the sector accounted for 4% of Canada’s Gross Domestic Product (GDP), with $64 billion in exports and $30 billion in capital expenditure, while employing a total of 400,000 people. In addition, activities related to exploration and mining led to the development of a large number of economic activities affiliated with mining and covering a wide range of goods and services: providing equipment, training, legal and financial advice, along with other types of expertise. In 2000, there were at least 2,200 Canadian companies related to the mining industry.

This data helps us better understand the reasons behind the Canadian government’s strong support for a sector that has become crucial for the growth in an ever globalising and competitive world economy.

POLITICAL INCENTIVES

This global increase is the result of political decisions of a government under considerable pressure from powerful mining associations, most notably the aforementioned juniors.

Canada, rich in minerals, has a long tradition in the mining sector. Over the course of its history, the state has regularly passed laws to promote the development of the country and mitigate the impact of sporadic crises in the sector. And since the 1990s, under the influence of industry associations, the Canadian state has implemented a comprehensive strategy to support the expansion of investments and activities abroad, one including measures targeting businesses and investors.

On the corporate side, Canada has been quicker than other countries in its adoption of fiscal measures designed to be attractive to mining interests, some examples of which include:
• Tax deductions for expenditure incurred abroad
• Deductions for debt (and interest) accrued abroad
• Tax exemptions for profits repatriated to Canada
• Deductions of up to 100% for investments in exploration and development projects when undertaken by companies themselves
• Opportunities for companies with several projects abroad (exploration and exploitation) to deposit their respective finances in a single account when calculating taxes due in Canada, enabling larger profits accrued in more profitable ventures to be combined with less profitable exploration projects, thus reducing the overall tax paid
• Deductions for depreciation and accelerated depreciation.

All these measures mean that in Canada ‘the average tax rate on large corporations, including on capital, is below the US rate and will be so by more than 6% in 2008.’(5)

And this doesn’t take into account the programmes offered by different ministries looking to further aid mining businesses, such as for example helping enterprises to improve their technical capabilities in relation to exploration. Nor does it take into account the financial support granted by Export Development Canada (EDC) to facilitate Canadian investment abroad. According to its 2007 annual report, the EDC has supported projects totalling $22 billion worth of exports and investments in Canadian companies in the extractive sector!

From an investment point of view, special tax measures will promote the expansion of ‘junior’ exploration registering on the stock exchange: thus, the Investment Tax Credit for Exploration (ITCEE) allows the deduction of 15% for 3 years for buyers of ‘accredited’ shares issued by exploration companies with the backing of the government.

According to the Prospectors and Developers Association of Canada (PDAC), this programme of accredited shares allowed Canada to maintain its comparative advantage in this area on the world stage, making it the envy of other competitors such as Australia, South Africa, Brazil, Chile and Peru.(6)

A MADE-TO-MEASURE GRANT

Finding financial support for mining operations is especially crucial at the exploration stage. Here too has Canada taken the lead by developing special place for on the stock exchange for those companies deemed to be undertaking risky operations. Greater risk must lead to greater reward! The Vancouver Stock Exchange (VSE) has for a long been the point of reference for this type of transaction and a centre of attraction for the smaller mining companies involved in exploration. The numerous associated scandals that have come to light, that of Bre-X notably, have ended up ruining operations.

The Toronto Stock Exchange (TSX) had however already restructured its activities in the 1960s in order to facilitate juniors’ entry and accommodate this type of risky capital (TSX Venture). The advantages are many: financing for initial stages, the conversion of debt, private placements, debt balance while projects are developed, etc. In short, the Toronto exchange dominates the global market for financing. In 2007 in Canada, there was a rise of $4.2 billion in the share value of mining companies collectively. Australian stock exchanges, in the meantime, occupied second position with $1.3 billion in shares, while their American counterparts occupied fifth position with $500 million. Thanks to its mining expertise, the TSX is now in seventh position for values traded globally.

ASSAULT ON AFRICA

These rigorous policies of support go some way to explaining the rapid ascent of Canadian mining companies across the African continent in countries open to foreign investment, as much in countries with a strong mining tradition such as Ghana and Tanzania as in those just discovering their mining potential like Mali, as well as in countries experiencing conflict where the risks are great, like the DR Congo. These businesses have found in Canada the support, backing, and finance necessary for all these mining ventures.

In much the same vein, Canadian diplomacy is very much at the service of business interests and the general extension of Canadian influence within this domain. In this regard, the country at times pursues objectives seemingly at odds with its development agenda, some examples of which include:

-In 1996, the Canadian High Commissioner in Tanzania intervened on several occasions to influence revisions to mining legislation as a means of promoting Canadian business interests. And, specifically, in order to counter the legal claims of local miners questioning the legitimacy of the mining company Sutton and designs on Bulyanhulu deposits(7)
- In June 2008, the staff of the very same High Commission energetically intervened in Tanzanian parliamentary affairs to ensure that the country’s politicians rejected the conclusions of the Presidential Mining Sector Review Committee on revisions of the mining sector. The Committee had recommended a greater proportion of profits generated by higher prices be kept for the country itself(8)

- In 2004, Canada’s ambassador to the United Nations had criticised a part of a report produced by the Panel of Experts on the Illegal Exploitation of Natural Resources in the DR Congo, in which nine Canadian companies were accused of violating OECD (Organisation for Economic Co-operation and Development) guidelines during the country’s protracted war.

And now, in order to ensure formalise the sector’s acquisitions over the last decade, Canada has signed its first Foreign Investment Protection Agreement (FIPA) plan with mining countries, with Tanzania and Madagascar in first place. This FIPA, already established within many Latin American countries, has among its aims the removal of current agreements through placing them under international arbitration.(9) New legislation on the issue by host countries could not be applied without significant compensation. Supposedly of high importance to Canada, the principles of ‘good governance’ could hardly apply.

It’s a safe bet that Canada’s image as a moderate country and disinterested development partner in Africa is now thoroughly outdated.

* Denis Tougas is the director of the L'Entraide missionnaire (L'EMI) in Montréal, Canada, an inter-agency supported by religious and secular institutes of francophone Canada. L’EMI responds to training needs, along with consultation and mobilisation. Tougas has worked in solidarity with the Congolese people over the last 18 years.
* Please send comments to editor@pambazuka.org or comment online at Pambazuka News

(1) World Bank, Strategy for African Mining, World Bank Technical Paper no. 181, Africa Technical Department Series, Mining Unit, Industry ands Energy Division, Washington D.C., World Bank, 1992
(2) For a deeper analysis of the World Bank's political orientation, please consult the work of the Groupe de recherche sur les activités minières en Afrique (GRAMA) at the University of Québec in Montréal (UQAM).
(3) Without exception, the majority of the statistics mentioned in this article come from the Ministry of Natural Resources Canada (NRC) and have been taken from Fode-Moussa Keita, 'Les sociétés minières canadiennes d’exploration et de développement du secteur de l’or; les impacts de leurs activités en Afrique de l’Ouest', political science thesis at the University of Québec in Montréal (UQAM).
(4) September 2008 estimate.
(5) Fode-Moussa Keita, op. cit. p. 123.
(6) Ibid., p. 125.
(7) Paula Butler, 'Canada’s 21st Century Colonial Interests in the "Good Governance" of African Minerals', 2003, pp 24-30.
(8) http://tinyurl.com/6mwhxu
 
Sasa kabla hatujafunga mkataba nao nafikiri wataalamu wetu wangelipitia zile nchi ambazo zimefunga mkataba na hao WaCanada ili kuona mambo ambayo labda waliofunga mkataba imekuwa ni kikwazo kwao kuyatatua na huwa kama yamewafunga kutoa vilio au kujikwamua.
natumai huu mkataba upo mbioni japo hatuoni habari zake ili kama wananchi watapatiwa nakala kuona na kujadili kama kujifunga isiwe ni kwa wachache tu bali hata wananchi iwe wameshirikishwa kwa kiasi fulani,la kama ni kujifungia mahotelini na kuweka mkwaju basi , matokeo ya baadae ni mabaya.

Mikataba na mikakati :-

http://www.international.gc.ca/trad...iaux/agr-acc/fipa-apie/fipa_list.aspx?lang=en
 
Hiyo ya uranium yote wakuu ndio aliyoifwata rais mstaafu mtarajiwa
wa marekani georgr bush!!!subirini amalize muone safari za tanzania
kama kawa
 
Back
Top Bottom