Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
- Thread starter
- #21
Maria Roza kumbe jamani wewe ni chadema, nilifikiri hauna chama
Hahha hahha
Maria Roza kumbe jamani wewe ni chadema, nilifikiri hauna chama
Kubabaikia wazungu.........
Sasa mkuu kitu gani kimekufanya ufikirie kuwa wazungu wanababaikiwa hapo!??? picha!?? huyo dada ni binadamu kama wewe na amepigwa picha kuashiria kuwa chadema imekomaa sababu hana origin ya kitanzania hivyo angeweza kuwa mtutu yoyote ambaye si mtanzania, infact angeweza kuwa mmarekani mweusi au mzimbabwe just to show the loove with Chadema na hababaikiwi mtu hapo. Wanaobabaikia watu ni CCM kwa kuingia mikataba na wazungu matapeli na kufuja mapesa huko west au kikumbilia huko au kupeleka familia zao huko kwao baada ya kufisadi!! Thanx Maria Roza! n blesss!!
Wasije tu wakambebesha mabegi yake dada wa watu!
View attachment 15559View attachment 15560
Pamojah tunawakilisha Chademaaaaaaaaaaaaa:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
View attachment 15559View attachment 15560
Pamojah tunawakilisha Chademaaaaaaaaaaaaa:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
WEWE KIKWETE MBONA ANAWATETEMEKEA SANA WAZUNGU? eti rafiki yake BUSH, ni MBONGO huyu BUSH??????? au husikiagi mikutano akimtajataja BUSH?Kubabaikia wazungu.........
View attachment 15559View attachment 15560
pamojah tunawakilisha chademaaaaaaaaaaaaa:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
Why is it so difficult to see the obvious?
BTW, kuna mtu hapo juu anasema ati akikutwa na CCM anaeza rudishwa kwao..Yes atarudishwa kwao kwa sababu she deserves it. Mgeni anapokuja nchini anakubali kufuata sheria za nchi, kama hayupo radhi njia ni nyeupe aende anakotaka. Sheria za nchi zinahitaji mgeni asishiriki kwene mchakato wa siasa..its simple and straight forward. Hakuna mjadala ktk hili.
brown bread!! CRAPChadema wamegeuza JF kuwa their campaigning ground, I feel sorry bse chadema will end up loosing the presidency n u all guys I can see u will breakdown n cry like a child. OOOHHHHHHh I m really sorry 4 u.:dance:
Leo umeliwa vingapi?..........kuliwa liwa hovyo ili uje kula baadae sio vizuri.yaani mmeanza kuchukua wacheza ngoma wa bagamoyo kuwapigisha picha za kampeni? Mbinu yenu hiyo bwana haijatulia kabisaaa.
View attachment 15559View attachment 15560
Pamojah tunawakilisha Chademaaaaaaaaaaaaa:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
View attachment 15559View attachment 15560
Pamojah tunawakilisha Chademaaaaaaaaaaaaa:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy: