Lets be honest,ni watanzania wangapi hawana kadi za chama?
na wangapi hawajishughulishi na mchakato wa iasa(vyama)?
tukishajua hayo mawili ndio tupime kwa CCM kupata kadi Za CDM inawasaidia nini?
kwani isije ukawa ikawa unavua samaki kwenye beseni badala ya bahari...fikirini,fuatilia kwa makini alafu tusaidiane mawazo!
na wangapi hawajishughulishi na mchakato wa iasa(vyama)?
tukishajua hayo mawili ndio tupime kwa CCM kupata kadi Za CDM inawasaidia nini?
kwani isije ukawa ikawa unavua samaki kwenye beseni badala ya bahari...fikirini,fuatilia kwa makini alafu tusaidiane mawazo!