Habari na Picha Nape, Mwigulu ziarani Sumbawanga

Wana jf siwawezi. Maoni yasiwe ya upande mmoja tu. Tufanyie utafiti kwanza

Hapana mkuu. JF sio wote CDM, mi ningemuomba NAPE afanye kitu simple kabisa. Tell us kwa kipindi hiki cha miaka mitano strategies zilizowekwa zakuwaondolea wana Sumbawanga matatizo yao, mambo yaliyokwisha fanikishwa so far, challenges wanazozioana na suggestions. Aachane na malumbano hiyo sio solution ya matatizo yetu. Hatuwezi kuwa-hold CDM responsible kwasababu wao so far ni wapinzani sio chama tawala.
 
Hivi eeti wanachama wachadema wakirudisha kadi!?
Inamaana Cdm si chama cha msimu tena?
kwa sasa chadema na ccm ndo vyama vilivyopo?
Mimi sipendi ccm wanafika sehemu na kusema tumevuna wanachama wa cdm 50,
inamaana vyama vingine hawajarudisha kadi?

lipumba, mrema na Tovuti walisha rudi kwenye chama cha muziki, kwahiyo hawana upinzani unaowanyima usingizi
kama cdm.
 
NASHUKURU SANA KWA COMENTS ZENU, naomba nifafanue mambo machache
Lakwanza..TUMEKAGUA UJENZI WA BARABARA kwani ni sehemu ya ahadi zilizokwenye Ilani ya CCM ya uchaguzi kwahilo mambo si mabaya pamoja na kwamba tumeitaka serikali kuhakikisha speed inaongezeka na kuhakikisha ubora.
La pili tumezungumzia hali ya maisha.
.. Chama kimeiagiza serikali bajeti ijayo kuhakikisha ina angalia maeneo ambayo yakibadilishwa yatapunguza bei ya vitu nchini hivyo kupunguza ugumu wa maisha.
Tumekagua ufungaji wa majenereta manne yenye uwezo wa kuzalisha 1.25Meg kila moja kwa ajili ya Sumbawanga, Namanyele na viunga vyake.
Tumezungumzia uhusiano uliopo kati ya BAJETI,MIUNDOMBINU kama BARABARA na UPATIKANAJI wa nishati kama UMEME na MAJI na maisha ya watu ya kawaida.
 
NASHUKURU SANA KWA COMENTS ZENU, naomba nifafanue mambo machache
Lakwanza..TUMEKAGUA UJENZI WA BARABARA kwani ni sehemu ya ahadi zilizokwenye Ilani ya CCM ya uchaguzi kwahilo mambo si mabaya pamoja na kwamba tumeitaka serikali kuhakikisha speed inaongezeka na kuhakikisha ubora.
La pili tumezungumzia hali ya maisha.
.. Chama kimeiagiza serikali bajeti ijayo kuhakikisha ina angalia maeneo ambayo yakibadilishwa yatapunguza bei ya vitu nchini hivyo kupunguza ugumu wa maisha.
Tumekagua ufungaji wa majenereta manne yenye uwezo wa kuzalisha 1.25Meg kila moja kwa ajili ya Sumbawanga, Namanyele na viunga vyake.
Tumezungumzia uhusiano uliopo kati ya BAJETI,MIUNDOMBINU kama BARABARA na UPATIKANAJI wa nishati kama UMEME na MAJI na maisha ya watu ya kawaida.


Wewe sio tu vuvuzela bali ni kilaza pia.
1. ukakague ujenzi wa barabara,majeneleta.. we ni nani kwenye serikali ? Hiv na majeneleta ni ilani yenu..Duh!! Hata kama ujenzi wa barabara ilikuwa ilani yenu mkishashinda wahusika kwenye serikali ndo jukumu lao sio kwenye chama, si muna mawaziri, naibu waziri, makatibu wakuu,wakuu wa wilaya,mikoa n.k wa eneo husika..wewe na ukilaza wako unaingilia majukumu ya watu! Barabara za masasi zimesha??

2, Then unazungumzia uhusiano wa bajeti na miundombinu,barabara,nishati, maji..na bla bla kibao. wakati serikali ya chama chako imetenga 4.2 tr tu kwa maendeleo,wakat bajet ni 18.4 tr. ona pesa ya maendeleo haifiki hata robo ya bajeti ya 2011/12..then unawahadaa watu eti maendeleo..maendeleo gani mtakayoleta kwe upuuzi huuu! SHIT!! bora muendelee kuwajaza watoto tu kwenye kampeni zenu na wao wakimaliza dalasa la saba tu wakafungua macho..wanawakimbia.
 
NASHUKURU SANA KWA COMENTS ZENU, naomba nifafanue mambo machache
Lakwanza..TUMEKAGUA UJENZI WA BARABARA kwani ni sehemu ya ahadi zilizokwenye Ilani ya CCM ya uchaguzi kwahilo mambo si mabaya pamoja na kwamba tumeitaka serikali kuhakikisha speed inaongezeka na kuhakikisha ubora.
La pili tumezungumzia hali ya maisha.
.. Chama kimeiagiza serikali bajeti ijayo kuhakikisha ina angalia maeneo ambayo yakibadilishwa yatapunguza bei ya vitu nchini hivyo kupunguza ugumu wa maisha.
Tumekagua ufungaji wa majenereta manne yenye uwezo wa kuzalisha 1.25Meg kila moja kwa ajili ya Sumbawanga, Namanyele na viunga vyake.
Tumezungumzia uhusiano uliopo kati ya BAJETI,MIUNDOMBINU kama BARABARA na UPATIKANAJI wa nishati kama UMEME na MAJI na maisha ya watu ya kawaida.

Nape tunaomba utuombe radhi Watanzania kwa kutuona woote kuwa hatukwenda shule.

Mmekagua barabara kama nani! Je nyie ni Ma-engineers! Unajua hata Compaction test ni nini! Unajua PI ya udongo unaotumika katika ujenzi wa barabara inatakiwa kuwa katika range ipi! Unajua Cambre inatakiwa iwe % ngapi!

Usilete Usanii kwenye taaluma za watu. Waachie Ma-engineer wafanye kazi hiyo, wewe kawadanganye CCM wenzio tu kwamba hukuwa Mwasisi wa CCJ maana wao ni Mazanka ndio wanaokuelewa bila kufikiria.
 
NASHUKURU SANA KWA COMENTS ZENU, naomba nifafanue mambo machache
Lakwanza..TUMEKAGUA UJENZI WA BARABARA kwani ni sehemu ya ahadi zilizokwenye Ilani ya CCM ya uchaguzi kwahilo mambo si mabaya pamoja na kwamba tumeitaka serikali kuhakikisha speed inaongezeka na kuhakikisha ubora.
La pili tumezungumzia hali ya maisha.
.. Chama kimeiagiza serikali bajeti ijayo kuhakikisha ina angalia maeneo ambayo yakibadilishwa yatapunguza bei ya vitu nchini hivyo kupunguza ugumu wa maisha.
Tumekagua ufungaji wa majenereta manne yenye uwezo wa kuzalisha 1.25Meg kila moja kwa ajili ya Sumbawanga, Namanyele na viunga vyake.
Tumezungumzia uhusiano uliopo kati ya BAJETI,MIUNDOMBINU kama BARABARA na UPATIKANAJI wa nishati kama UMEME na MAJI na maisha ya watu ya kawaida.
Tumekagua,Tumekagua, Tumekagua. Nape wewe unakagua barabara?unakagua Generata? sasa ndio nimedhibitisha uwezo wako uko kiwango gani. Tumia muda mwingi kujifunza unapaswa kusema nini hadharani itakusaidia sana. Pia acha kulumbana sana na wale waliokuzidi uwezo wa akili na ufahamu. Ni ushauri tuu
 
NASHUKURU SANA KWA COMENTS ZENU, naomba nifafanue mambo machache
Lakwanza..TUMEKAGUA UJENZI WA BARABARA kwani ni sehemu ya ahadi zilizokwenye Ilani ya CCM ya uchaguzi kwahilo mambo si mabaya pamoja na kwamba tumeitaka serikali kuhakikisha speed inaongezeka na kuhakikisha ubora.
La pili tumezungumzia hali ya maisha.
.. Chama kimeiagiza serikali bajeti ijayo kuhakikisha ina angalia maeneo ambayo yakibadilishwa yatapunguza bei ya vitu nchini hivyo kupunguza ugumu wa maisha.
Tumekagua ufungaji wa majenereta manne yenye uwezo wa kuzalisha 1.25Meg kila moja kwa ajili ya Sumbawanga, Namanyele na viunga vyake.
Tumezungumzia uhusiano uliopo kati ya BAJETI,MIUNDOMBINU kama BARABARA na UPATIKANAJI wa nishati kama UMEME na MAJI na maisha ya watu ya kawaida.
Vipi kuhusu hizo kadi mpya mlizogawa na kuzikusanya mbona hujaeleza kama picha inavyoonesha?:A S 103:CCM.
 
Inaonekana mwisho wa kifo cha ccm kinakaribia. Mbona kuna watoto wa shule ili kuonesha idadi kubwa ya watu? Hakuna issue hapa.
- Inflation juu
-Barabara mbovu
-Wawekezaji wanaua raia ovyo
-Polisi wanaua raia ovyo
-Wanafunzi vyuo vikuu wanacheleweshewa pesa zao bila sababu
-Bei ya mafuta ya petroli na Disel iko juu
-Ajira ni tabu kwa watanzania walio wengi
-Kuna kesi nyingi mahakamani zisizo kwisha bila sababu ya msingi kwa sababu ya rushwa
-TAKUKURU hakuna inacho kifanya, kazi kujilipa posho
-Polisi wanajifanya ncchi ni yao kwa kunyima raia haki
HAYA NDIYO TUNATAKA WATANZANIA TUPATE UFUMBUZI WAKE. SIYO KUJIONESHA NA KUONESHA PICHA ZA WATU WALIOHUDHURIA MIKUTANO NA KURUDISHA KADI. HUO NI USANII WA KUCHAPISHA KADI NA KUONESHA ILI KUDANGANYA WATU
 
:A S 103::A S 103::A S 103::A S 103::A S 103::A S 103::A S 103:bye by CCM.
 
Hizi kadi si fake kweli? Naomba zichunguzwe sana. Haieleweki CDM. Nendeni eneo la tukio kwa utafiti zaidi. Najua CDM ni chama makini sana na tafadhali jambo hili lifuatiliwe haraka.
 
Hamna kitu hapa kwani
Inaonekana mwisho wa kifo cha ccm kinakaribia. Mbona kuna watoto wa shule ili kuonesha idadi kubwa ya watu? Hakuna issue hapa.
- Inflation juu
-Barabara mbovu
-Wawekezaji wanaua raia ovyo
-Polisi wanaua raia ovyo
-Wanafunzi vyuo vikuu wanacheleweshewa pesa zao bila sababu
-Bei ya mafuta ya petroli na Disel iko juu
-Ajira ni tabu kwa watanzania walio wengi
-Kuna kesi nyingi mahakamani zisizo kwisha bila sababu ya msingi kwa sababu ya rushwa
-TAKUKURU hakuna inacho kifanya, kazi kujilipa posho
-Polisi wanajifanya ncchi ni yao kwa kunyima raia haki
HAYA NDIYO TUNATAKA WATANZANIA TUPATE UFUMBUZI WAKE. SIYO KUJIONESHA NA KUONESHA PICHA ZA WATU WALIOHUDHURIA MIKUTANO NA KURUDISHA KADI. HUO NI USANII WA KUCHAPISHA KADI NA KUONESHA ILI KUDANGANYA WATU
 
NASHUKURU SANA KWA COMENTS ZENU, naomba nifafanue mambo machache
Lakwanza..TUMEKAGUA UJENZI WA BARABARA kwani ni sehemu ya ahadi zilizokwenye Ilani ya CCM ya uchaguzi kwahilo mambo si mabaya pamoja na kwamba tumeitaka serikali kuhakikisha speed inaongezeka na kuhakikisha ubora.
La pili tumezungumzia hali ya maisha.
.. Chama kimeiagiza serikali bajeti ijayo kuhakikisha ina angalia maeneo ambayo yakibadilishwa yatapunguza bei ya vitu nchini hivyo kupunguza ugumu wa maisha.
Tumekagua ufungaji wa majenereta manne yenye uwezo wa kuzalisha 1.25Meg kila moja kwa ajili ya Sumbawanga, Namanyele na viunga vyake.
Tumezungumzia uhusiano uliopo kati ya BAJETI,MIUNDOMBINU kama BARABARA na UPATIKANAJI wa nishati kama UMEME na MAJI na maisha ya watu ya kawaida.

Akili yako ina matatizo mzee,wewe sio great thinker unatafta nini humu? unatakiwa usitumie akaunt yako uwe unatumia guest akaunt.Mwanachama wa magamba haruhusiwi kuongea mbele ya watu wenye akili timamu.Wakawadanganye washamba.Eti tumeiagiza serikali' ajiulize serikali ni nani na ni ya chama gani? PAMBAVUUUU!!
 
What a party??? No wonder we have gone backwards 50 years after independence!! If these are the people who are supposed to have strategies for the future of this country, we are doomed for failure!! Hii nchi tayari iko kwenye hali mbaya, na bahati mbaya vilaza ndio wako kwenye usukani....
 
Nawasiwasi, mbona wengi walioshiriki ni watoto?
bado wanaendela kutoa pesa, Tshirt na kanga?
Bado wanabeba watu kwenda kwenye mikutano?
Mbona wanaorudisha kadi ni wanawake?
Vijana wako wapi?
 
Si shabiki wa siasa lakini nilikuwa Nkasi, Namanyere nika happen kuhudhuria mkutano wa Hadhara ulikuwa unahutubiwa na waheshimiwa hawa wawili. Nasema kwa ukweli sikuona umati wa watu, pia waliowaeleza wananchi wa Nkasi ni hatari kwani yasipotekelezwa sijui itakuwaje 2015. Mfano Nape anasema ameacha njiani wakandarasi wanachapa kazi, sidhani kama huu ni ukweli from Tunduma to sumbawanga kweli wapo wachina wanafanya kazi.Kutoka SBW to Nkasi kazi inaendelea kwa kususuasua wale mabwanna wanasema pesa hakuna hivyo wameacha machine mbili pale kuonyesha wapo site. Ameahidi ni 3 months Nkasi watakuwa na umeme, sidhani kama kuna ukweli, kwenye hili pia.
 
Mbona wanaorudisha kadi ni wanawake tu?
Ela ya kuwanunua haikutosha kuwashawishi wanaume?
 
NASHUKURU SANA KWA COMENTS ZENU, naomba nifafanue mambo machache
Lakwanza..TUMEKAGUA UJENZI WA BARABARA kwani ni sehemu ya ahadi zilizokwenye Ilani ya CCM ya uchaguzi kwahilo mambo si mabaya pamoja na kwamba tumeitaka serikali kuhakikisha speed inaongezeka na kuhakikisha ubora.
La pili tumezungumzia hali ya maisha.
.. Chama kimeiagiza serikali bajeti ijayo kuhakikisha ina angalia maeneo ambayo yakibadilishwa yatapunguza bei ya vitu nchini hivyo kupunguza ugumu wa maisha.
Tumekagua ufungaji wa majenereta manne yenye uwezo wa kuzalisha 1.25Meg kila moja kwa ajili ya Sumbawanga, Namanyele na viunga vyake.
Tumezungumzia uhusiano uliopo kati ya BAJETI,MIUNDOMBINU kama BARABARA na UPATIKANAJI wa nishati kama UMEME na MAJI na maisha ya watu ya kawaida.

Kumbe upo humu mzee... Karibu sana

Mbona la kuanzisha CCJ na akina Porokwa hulifafanui junia?!!!

Na unasema malengo za ziara zenu ni kuwaelimisha wanaccm na wananchi maana ya 'kuvua gamba', vipi mbona mmebadilisha topic, mnaenda kubishana na kina CDM, na kukagua barabara.

Halafu hebu tupo feedback ya wanaccm walivyolipokea suala la kuvua magamba n.b refer na maoni ya watu wanaomata kama kina Bashe...
 
Back
Top Bottom