Katitima
JF-Expert Member
- Jun 28, 2013
- 627
- 117
Ni kontena 2 za tani 22.5 na 27 znazomilikiwa na wafanya biashra SADICK NASSOR na AMASHA FISH TRADERS.zlizopewa kibari na TFDA mnamo JULAI 2013 kuwa ni salama kwa matumizi ya binadamu zkitokea nchi za CHINA na YEMEN leo zmekamatwa TABATA BIMA na kuonekana kuwa samaki hao wameharbika kabsa na wanatakiwa kutektezwa kwan hawfai kwa matumiz ya bindamu.habar znasma kuwa walkuwa wanapelekwa feri ambapo wengne walshauzwa.hii inaingia akiln kwel wakuu?na kosa ni la nan hapa?TFDA au weny mal?
Chanzo:RADIO ONE/ITV
Chanzo:RADIO ONE/ITV