redSilverDog
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 470
- 76
Uchunguzi umebaini wengi wanaokufa kwenye tendo la ndoa kutokana na mshituko wa moyo ni watu ambao wametoka nje ya ndoa.
Uchunguzi umebaini wengi wanaokufa kwenye tende la ndoa kutokana na mshituko wa moyo ni watu ambao wametoka nje ya ndoa.
Uchunguzi umebaini wengi wanaokufa kwenye tende la ndoa kutokana na mshituko wa moyo ni watu ambao wametoka nje ya ndoa.
Uchunguzi umebaini wengi wanaokufa kwenye tende la ndoa kutokana na mshituko wa moyo ni watu ambao wametoka nje ya ndoa.
WHY MEN DIE ON TOP DURING SEX?
February 2, 2007 - 06:20 PM
One may not be able to appreciate how sudden death occurs during sex without first understand the way the body controls the Exciting phenomenon of Erection and Ejaculation.
For a man to attain sexual excitement, both erection and ejaculation must be effective.However, the body system controls these two activities differently.Virtually all the actions occuring in the body are under the control of the brain.The brain sends its messages to the target organ through a wire like network called the Nervous system.
The nervous systen is made up two different pathways. Parasympathetic and sympathetic Nervous pathway. In the subject of reproduction, the parasympathetic nerves initiate and maintain erection.On the other hand Ejaculation is controlled by sympathetic nervr system, which also controls the actions of the heart and blood vessels.
HOW SUDDEN DEATH OF MEN OCCURS DURING SEX.
Sudden death occurs due to mal or misinterpretation of messages {electric impulse} that get to the heart following over activity of the sympathetic nervous system actions on the heart and blood vessels.Sudden death during sex occurs as a result of Cardiac Arrest.
FACTORS THAT LEAD TO SUDDEN DEATH.
Sexual Greed. Stuides done have shown that about 85% of men that died on top, died outside their homes,mainly in hostels and most of them died on top of women who were never their wives.eg prostitutes,girlfriends etc.
Use of Sex Stimulating Drugs. Sex drugs like Viagra, which is most popular,have a common mechanism of action.They cause erection by increasing the level of nitric oxide,which is a powerful vasodilator.The drugs increase penile blood flow and thus erection
Heart disorders. Cardiac problems and other debilitaing metabolic health conditions can predispose to cardiac arrest during sexual intercourse.
BE CAREFUL SO U'LL NOT DIE ON TOP.
Uchunguzi umebaini wengi wanaokufa kwenye tende la ndoa kutokana na mshituko wa moyo ni watu ambao wametoka nje ya ndoa.
Utafiti huu ni kwa hisani yako?
Use of Sex Stimulating Drugs. Sex drugs like Viagra, which is most popular,have a common mechanism of action.They cause erection by increasing the level of nitric oxide,which is a powerful vasodilator.The drugs increase penile blood flow and thus erection
http://discuss.tigweb.org/thread/19699
Uchunguzi umebaini wengi wanaokufa kwenye tendo la ndoa kutokana na mshituko wa moyo ni watu ambao wametoka nje ya ndoa.
Mhhh!...mbona yule daktari aliyekuwa anatokea visiwa vya Pemba, JIMBO LA wawi , na alipata kuwa makamu wa rAHISI alikuwa na Mkewe, na akapata mshituko kama huo, na ikawa ndo mazima?
Duh....! Hii kali...! Weka source, vinginevyo, mbona kila mtu hucheat?
tatizo mapambano ya nyumba ndogo hata yakiwa ni friend mechi mziki wake unakuwa mzito sana, speed mwanzo mwisho, chenga nyingi na mbwembwe za kufa mtu
Me confused hapa! Utatendaje tendo la ndoa ukiwa NJE ya ndoa?:confused2::confused2: Unamaanisha Tigo au? Msaada tafazali!Uchunguzi umebaini wengi wanaokufa kwenye tendo la ndoa kutokana na mshituko wa moyo ni watu ambao wametoka nje ya ndoa.
ndo maana nyumba ndogo kamwe hazitaisha, sijui kwa nini wanawake wa nje ni watamu kuliko maza hausi?
me confused hapa! Utatendaje tendo la ndoa ukiwa nje ya ndoa?:confused2::confused2: Unamaanisha tigo au? Msaada tafazali!
Ndo maana nyumba ndogo kamwe hazitaisha, sijui kwa nini wanawake wa nje ni watamu kuliko maza hausi?
we hujui tu kiongozi wangu!maufundi yote huwa yanapatikana huku!mhapo nyuma nilishasema kuwa mara nyingi home, mama huwa tunamwona ana majukumu mengine kabisa tofauti na kupeana uzoefu na skills mbalimbali katika kungonoka!ndo maana watu wanaenda mechi za ugenini kuprove their competencies!