Habari kuu ya zanzibar ni vitendo vya uamsho tu?

Ngekewa

JF-Expert Member
Jul 8, 2008
7,705
1,288
Udugu gani huu tulionao. Mwaka jana walipokufa watu 2000, burudani upande wapili wa Muungano ziliendelea kama kawaida. Leo hii inapotokea ajali nyengine Spika wa Bunge anaona bora Bunge liendelee. Hilo ni la Bunge la ITV jee? Habari ya msiba kama huu imewekwa ya mwisho kabisa na kufuatiwa na kipima joto. Ama kweli haya yangetokea Mkoa mmoja wa Tanganyika hali ingekuwa hivi?
Tulikuwa hatuna habari wakati wa uamsho bali habari kubwa haasa huko ITV.
Ama kweli huu udugu wetu ni mfano!!!!!!!!
 
Udugu gani huu tulionao. Mwaka jana walipokufa watu 2000, burudani upande wapili wa Muungano ziliendelea kama kawaida. Leo hii inapotokea ajali nyengine Spika wa Bunge anaona bora Bunge liendelee. Hilo ni la Bunge la ITV jee? Habari ya msiba kama huu imewekwa ya mwisho kabisa na kufuatiwa na kipima joto. Ama kweli haya yangetokea Mkoa mmoja wa Tanganyika hali ingekuwa hivi?
Tulikuwa hatuna habari wakati wa uamsho bali habari kubwa haasa huko ITV.
Ama kweli huu udugu wetu ni mfano!!!!!!!!

mfano wa kuigwa?
 
tumeamua kuwatenga kwasababu ya kiburi na jeuri yenu...kumbe bado mnatuhitaji, sasa uamusho wa nini?....mnalialia nini sasa wakati mnasema hamtutaki?...unautaja udugu leo?....wakati umekamatwa na tatizo?..hahaha, poleni wafiwa lakini to hell let go of zenji!
 
tumeamua kuwatenga kwasababu ya kiburi na jeuri yenu...kumbe bado mnatuhitaji, sasa uamusho wa nini?....mnalialia nini sasa wakati mnasema hamtutaki?...unautaja udugu leo?....wakati umekamatwa na tatizo?..hahaha, poleni wafiwa lakini to hell let go of zenji!

Big NO! Hii ni kuzidi kuonyesha muko vipi. Hatuhitaji lakini nyinyi ndio mnaotuhitaji iwapo mnazidi kungangania.
 
tumeamua kuwatenga kwasababu ya kiburi na jeuri yenu...kumbe bado mnatuhitaji, sasa uamusho wa nini?....mnalialia nini sasa wakati mnasema hamtutaki?...unautaja udugu leo?....wakati umekamatwa na tatizo?..hahaha, poleni wafiwa lakini to hell let go of zenji!

hii ni habari ya kimataifa, sasa walitaka iwe ya kitaifa? Mbona hawasemi asad anavyochinja raia iwe habari ya headline?
Wasituzingue hawa. Hawana raha usiku wala mchana, wao ni kulalama tuu ndo wanachojua.
 
Mbona kawaida tu! sisi tunajuwa hawa watanganyika udugu wao kwetu ni kwenye siasa tu za kuikandamisha Zanzibar!. Uamsho walipofanya matembezi walituma helicopters mbiombio na vikosi kibao ila hili wapi, na huyo spika sio kosa lake binsfi hiyo ndio tabia ya watanganyika wenye mitazamo ya kicccm tu sio wote!
 
Bora wewe walau umejua kwamba ni wale wa mtazamo wa kiccm!Kuungana au kutoungana hakuzuii mauti na kufurahia au kuchukia mauti ya mwenzio hakuna uhusiano na muunga japo napenda sana kama zanzibar wkijitenga maana skuwahi kuhisi kwamba mm na mzanzibar ni watu wa taifa moja and then siwapendi kabisa wazenji na waislamu kwa ujumla
Mbona kawaida tu! sisi tunajuwa hawa watanganyika udugu wao kwetu ni kwenye siasa tu za kuikandamisha Zanzibar!. Uamsho walipofanya matembezi walituma helicopters mbiombio na vikosi kibao ila hili wapi, na huyo spika sio kosa lake binsfi hiyo ndio tabia ya watanganyika wenye mitazamo ya kicccm tu sio wote!
 
tumeamua kuwatenga kwasababu ya kiburi na jeuri yenu...kumbe bado mnatuhitaji, sasa uamusho wa nini?....mnalialia nini sasa wakati mnasema hamtutaki?...unautaja udugu leo?....wakati umekamatwa na tatizo?..hahaha, poleni wafiwa lakini to hell let go of zenji!

mmm wewe una unasaba na shetani nini??
 
mbona kawaida tu! Sisi tunajuwa hawa watanganyika udugu wao kwetu ni kwenye siasa tu za kuikandamisha zanzibar!. Uamsho walipofanya matembezi walituma helicopters mbiombio na vikosi kibao ila hili wapi, na huyo spika sio kosa lake binsfi hiyo ndio tabia ya watanganyika wenye mitazamo ya kicccm tu sio wote!

na mimi ninawapenda sana wazanzibar, hamjaliona ilo ndo kila uchaguzi lazima muipe ccm ushindi wether kibabe au kwa hiari, endeleeni kuwapa uongozi ccm japo wenzenu ccm wana permanent interest toka kwenu lakini urafiki wa kweli sahauni.
Mjitambue pia mbadilike nyie wazanzibar muache unafiki na kujipendekeza kwa serikali ya ccm ya magamba,
aksante ccm lazima hawa wazanzibar wawatambue kwa rangi yenu ya ukweli
 
tumeamua kuwatenga kwasababu ya kiburi na jeuri yenu...kumbe bado mnatuhitaji, sasa uamusho wa nini?....mnalialia nini sasa wakati mnasema hamtutaki?...unautaja udugu leo?....wakati umekamatwa na tatizo?..hahaha, poleni wafiwa lakini to hell let go of zenji!

Hiyo haijalishi hata mkagonga mziki bado hicho kiburi na jeuri iko palepale, maana hata wamasai wameuwawa kwa hiyo mara hii 50 50 na sisi tunajua," innalillahi wainna ilayhi rajighuuun"
 
Makafiri cku zote hawana kheri zaidi ya laana, sasa unadhani Anna Makinda, ITV watafaya nini zaidi ya ukafiri wao, wee waache tuu mpaka kieleweke!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Zenji kwanza, wacha tuwaokolee wamasai wao.
 
Mbona kawaida tu! sisi tunajuwa hawa watanganyika udugu wao kwetu ni kwenye siasa tu za kuikandamisha Zanzibar!. Uamsho walipofanya matembezi walituma helicopters mbiombio na vikosi kibao ila hili wapi, na huyo spika sio kosa lake binsfi hiyo ndio tabia ya watanganyika wenye mitazamo ya kicccm tu sio wote!
Umefunguka vizuri sana, tungekuwa sehemu pamoja ningekupa tano zangu!!
 
Back
Top Bottom