Udugu gani huu tulionao. Mwaka jana walipokufa watu 2000, burudani upande wapili wa Muungano ziliendelea kama kawaida. Leo hii inapotokea ajali nyengine Spika wa Bunge anaona bora Bunge liendelee. Hilo ni la Bunge la ITV jee? Habari ya msiba kama huu imewekwa ya mwisho kabisa na kufuatiwa na kipima joto. Ama kweli haya yangetokea Mkoa mmoja wa Tanganyika hali ingekuwa hivi?
Tulikuwa hatuna habari wakati wa uamsho bali habari kubwa haasa huko ITV.
Ama kweli huu udugu wetu ni mfano!!!!!!!!
Tulikuwa hatuna habari wakati wa uamsho bali habari kubwa haasa huko ITV.
Ama kweli huu udugu wetu ni mfano!!!!!!!!