TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Hapa ndiyo panaponikera,hii ni harufu ya udini!
Hapa ndiyo panaponikera,hii ni harufu ya udini!
Nimecheka mbaka mbavu zinaniuma!Ha ha ha.. Shemejiiii mbona mwanifanyia hivyo..
Wamakonde wajue kwamba ujanja kuwahi.
Gesi liyopo Mtwara ndiyo hiyo hiyo iliyosambaa hadi Msumbiji. Wakikazana kuzuia huku isichimbwe, Wamakonde wenzao ng'ambo ya mpaka, wanaendelea kuchimba. Wasiposhituka sasa hivi watakuja kuambulia patupu... Shauri yao.!!!
kama kuna mtu anawapump watu wa mtwara basi huyo mtu ni hatari sana. na napenda atupump watanzania wote tumtoe mtu magogoni
uko serious Unahitaji mtu aku PUMP??? Ni pm utafurahia Pressure yake!