Elections 2010 Habari Kutoka Mtaani Igunga; Upinzani ni CCM na CHADEMA

kwa kweli tumekuchoka.Huna shughuli nyingine? Kutwa kucha JF

Na wewe mwenye shughuli unafanyaje humu JF kutwa humo tu.
Kwa hiyo mmenichoka wewe nani? Wewe ndio umetumwa uje uniambie? Basi kawambie hata mimi nimewachoka sitaki hata kuwaona!
 
Mkuu mleta mada endelea kutupa ma updates usijihangaishe na hawa wababaishaji wetu wa kila cku hapa Jf,Magamba lazima waumbuke tu
 
Tatizo la Pro-CDM JF wanataka wote tuwe humu JF tuwe CDM haiwezekani tuvumiliane jamani!
Na wakati mwingine mjifunze kutoka sehemu zingine huo ndio ubinadamu
 
Hao chadema ni wazushi tu,kwa igunga labda cuf kidogo ndio tishio,wao wamekodi makanjanja kibao wakiwamo waandishi wa habari,wengine wanajiripua eti mama fatma kimario si mwislam wanapigiwa simu wanazima,wakiulizwa wanasema wamejiripua kwa maslahi ya cdm, chadema wao wanachofanya ni kucheza na magazeti na watabaki kama kwa padri slaa kuwa rais wa magazeti tu,huyo mgombea wao wa ubunge wa cdm hapo igunga ni vichekesho vitupu kama alivyokuwa padri slaa kwenye urais

Wewe kama ndugu yangu! Mi ni bora nikubadilishe na gunia la pumba wale nguruwe.. Maskini wa akili mpaka maisha poooooh!! Fukc.
 
Wajikoni vipi zile Fuso za CDM zilikuwa zinasomba watu kutoka Arusha na Kilimanjaro, bado zinaendelea kusomba watu!
Na ni nani atakaelipa gharama na malazi pamoja na posho kwa vijana zaidi ya 600? Wajikoni tuletee Updates:
 
Wajikoni vipi watu Arusha na Kilimanjaro:
unapenda machalii wa arusha na kili uwezi ingia jf bila kuwataja.karibu 1day bana tupo na mh lema na mzee ndesapesa
wanazidi kuimarisha chama sasa hiv tunamuomb mungu na igunga tupate vijana wajanja kama wa mwanza na mbeya.wera wera cdm
 
Wajikoni vipi zile Fuso za CDM zilikuwa zinasomba watu kutoka Arusha na Kilimanjaro, bado zinaendelea kusomba watu!
Na ni nani atakaelipa gharama na malazi pamoja na posho kwa vijana zaidi ya 600? Wajikoni tuletee Updates:
Ritz nakushauri utafute kazi ya kufanya kwani kushinda humu jf kila siku kuposti utumbo haitakusaidia kitu, utakufa maskini jobless wewe, tena ungekuwa na akili usingeshabikia magamba kwan huna unachopata huko zaid ya kujipendekeza
 
Kila mtu atasema lwake bado nasema uchanguzi ni mgumu siyo upande wa CCM, CDM wala Cuf na ukiangalia kila chama kina matumaini ya ushindi kwa asilimia fulani ndiyo maana umeona kilachama kinatumia nguvu na gharama zote kupata ushind.
 
Kumbukeni hata hiyo Arusha mnayopenda kuitaja ilikuwa ngome ya CCM toka enzi na enzi lakini mmejiona wenyewe nini kilitokea!
 
akili ndogo hizi. siyo lazima uchangie.

Wa kukaya, akili za watu kama ritz huwezi kuzuia, maana wamelewa hadi kuvimbewa na favours za magamba. Kwao kila jimbo linapochukuliwa na upinzani matumbo yanazidi kuunguruma...

Ogopa tumbo la kuhara...
 
Hao chadema ni wazushi tu,kwa igunga labda cuf kidogo ndio tishio,wao wamekodi makanjanja kibao wakiwamo waandishi wa habari,wengine wanajiripua eti mama fatma kimario si mwislam wanapigiwa simu wanazima,wakiulizwa wanasema wamejiripua kwa maslahi ya cdm, chadema wao wanachofanya ni kucheza na magazeti na watabaki kama kwa padri slaa kuwa rais wa magazeti tu,huyo mgombea wao wa ubunge wa cdm hapo igunga ni vichekesho vitupu kama alivyokuwa padri slaa kwenye urais

Naona umetumwa chumvi dukani na mama, umejisahau umeingia sehemu ya wakubwa! watakila kichwa dogo oooh! we punzika haya mambo huyawezi kabisaaaa
 
Wajikoni vipi zile Fuso za CDM zilikuwa zinasomba watu kutoka Arusha na Kilimanjaro, bado zinaendelea kusomba watu!
Na ni nani atakaelipa gharama na malazi pamoja na posho kwa vijana zaidi ya 600? Wajikoni tuletee Updates:

kwetu mtu mwongo ni mtu ambaye hana akili nzuri
 
Hao chadema ni wazushi tu,kwa igunga labda cuf kidogo ndio tishio,wao wamekodi makanjanja kibao wakiwamo waandishi wa habari,wengine wanajiripua eti mama fatma kimario si mwislam wanapigiwa simu wanazima,wakiulizwa wanasema wamejiripua kwa maslahi ya cdm, chadema wao wanachofanya ni kucheza na magazeti na watabaki kama kwa padri slaa kuwa rais wa magazeti tu,huyo mgombea wao wa ubunge wa cdm hapo igunga ni vichekesho vitupu kama alivyokuwa padri slaa kwenye urais

Hivi watu wengine mkoje changia kwa hoja zenye akili mambo ya udini yanatokea wapi? masaburi mkubwa wewe
 
Ritz nakushauri utafute kazi ya kufanya kwani kushinda humu jf kila siku kuposti utumbo haitakusaidia kitu, utakufa maskini jobless wewe, tena ungekuwa na akili usingeshabikia magamba kwan huna unachopata huko zaid ya kujipendekeza

Huyu ni Genious wa Vingunguti!
Naomba uniangalizie bei ya Mbuzi then uni-PM
 
hasanteni wa jikoni jamani..........CDM ushindi tu hakuna kingine tena zaidi ya hicho..............ITAFAHAMIKA TU
 
Back
Top Bottom