habari kutoka Mabibo hostels za UDSM - Modern Vandals lurk in varsities

Kinachotakiwa hapo ni kuimarisha/kuweka sheria ambazo zitawafanya wanafunzi hata wakinywa lakini wasi bugudhi wengine na kelele.

Huku kwa wenzetu kuna faini pale mtu akifaya fujo na akizidi anafukuzwa chuo.
 
Kinachotakiwa hapo ni kuimarisha/kuweka sheria ambazo zitawafanya wanafunzi hata wakinywa lakini wasi bugudhi wengine na kelele.

Huku kwa wenzetu kuna faini pale mtu akifaya fujo na akizidi anafukuzwa chuo.

ni kweli, lazima uwepo utaratibu ili wanaotaka kusoma wasome wasibugudhiwe kama inavyofanyika sasa.

hali ni mbaya sana
watu wafanye tafiti hasa kwa kutembelea pale hostels na si kubisha tu.
 
Wanabodi, nimeshi Block F. Mabibo Hostel kwa miaka 4. Hayo yanayozungumziwa ni ya kawaida hostel zote hata main campus ni vivyo hivyo ila ya Mabibo yanaonekana sama kwa sababu tuu halls of residence zote 6 ziko compact in one place with only entry na exit hivyo every litte move is too visible too open wakati main campus halls ziko mbali mbali na ma entry kibao hivyo movement hazionekani.
Niliwahi ishi youth hostel fulani UK. Ilikuwa ni balaa!. Kwanza ilikuwa unisex watu wanatembea kama walivyo zaliwa!. Kibaya zaidi ni wengine wanalewa sana na kufanya mambo ya ajabu hadharani. Wewe umejilalia kitanda cha deka huku juu watu wanafanya mambo huku wakimoan kama kwenye blue movies. Mabibo hostel is nothing much, just a normal hostel as usual.
 
Wacheni ujinga nyinyi wanafunzi. Hivi munajiona munapata fedha nyingi au nini? Angalieni future yenu mutakuja juta hapo baadae wakati hizo fursa zimeshawapita.

Halafu nyinyi ndio muko mbele kupigia kelele Serikali eti fedha munayopewa haitoshi kumbe munataka kufanyia upuuzi!
wana haramu wakubwa hawa, wanadai mikopo ili watungue kwwenye mapombe yao siyo?
 
kuna chuo duniani hakina watu wa aina hii??

afu boom sikuhiz inategemea una asilimia ngapi. kuna watu wanapata asilimia 40 tu, hivyo kutoa mzizi wa fitina bora azileweeeeeee ziishe ajua moja. Frustrations jamani waacheni wajiliwaze!!!!!!!

Kuna watu wakizimaliza ndo sasa wanaanza kusoma na kuelewa..... na wengine wakijiuza ndo wanapata steam za kusoma kwa hiyo poa tu as long as hawavunji sheria.. haikuanza leo hiyo na hao hao wengine wana maliza na wako makazini wake na waume wa watu sasa hivi..:angry:
 
Wanabodi, nimeshi Block F. Mabibo Hostel kwa miaka 4. Hayo yanayozungumziwa ni ya kawaida hostel zote hata main campus ni vivyo hivyo ila ya Mabibo yanaonekana sama kwa sababu tuu halls of residence zote 6 ziko compact in one place with only entry na exit hivyo every litte move is too visible too open wakati main campus halls ziko mbali mbali na ma entry kibao hivyo movement hazionekani.
Niliwahi ishi youth hostel fulani UK. Ilikuwa ni balaa!. Kwanza ilikuwa unisex watu wanatembea kama walivyo zaliwa!. Kibaya zaidi ni wengine wanalewa sana na kufanya mambo ya ajabu hadharani. Wewe umejilalia kitanda cha deka huku juu watu wanafanya mambo huku wakimoan kama kwenye blue movies. Mabibo hostel is nothing much, just a normal hostel as usual.
Just a normal hostel as usual!!!! Sina uhakika na hili, beside UK na Tz nadhani ni vitu viwili tofauti. Ikiwa Wanafunzi wa Vyuo vikuu wanafanya hivi kama machangudoa, hiyo elimu wanayoipata inawasaidia nini? Hakuna anayewakataza wanayoaafanya, lakini wawe na stara kwa wenzao na wasomi wote kwa ujumla.
 
nakumbuka enzi zetu pale mzumbe kwa baunsa tulikuwa tunakula mayii then tunakata kiuu kurekebisha tabia long live roy, lema na wote
 
Nahisi haitakuwa SAHIHI ku-judge hii shutuma kwa usahihi kama utakuwa ume-base upande flani.

But fact ni kwamba HAIWEZEKANI jambo hili likawa la kweli kwa 100% kama lilivyo kuwa presented hapo up-stairs. Toka miaka hiyo chuo kina sheria zake ambazo ni sheria mama. Ikiwemo ile inayohusu kufikiwa au kutokufikiwa kwa wastani. Ku-disco...., Kurudia mtihani. n.k Ukiachilia mbali hayo yote zipo sheria na taratibu katika jamii yoyote ile, sheria ambazo hazibagui wachuo wala raia. Ukivifikiria hivi vyote utapata picha kuwa si rahisi kwa hilo jambo hapo up-stairs kuwa SAHIHI KIHIVYO.

Ikumbukwe kwamba wapo wanafunzi wanaotoka katika familia zenye uwezo mkubwa tena sana tu. Wapo wanaofanya kazi, wapo wanaofanya biashara, Wapo ambao ni mission-town, Wapo wale walala hoi wanaotegemea bumu by 100% hili halina kificho. Kinadharia unapoyaweka haya makundi yote pamoja lazima kutakuwa na differences in both Social and Behavioural Change. So it is INLOGICAL to group all as Unlawful. Nafikiri kwa kufanya hivi hatutakuwa tumewatendea haki hawa watu.

Kwa urahisi unaweza kujiuliza yafuatayo:-

  • Hivi ni wanafunzi wangapi wenye kesi polisi au Mahakamani?

  • Je wingi wao ukoje kihasilimia ukilinganisha na idadi iliyopo pale Hostel?

  • Ni wasichana wangapi wanaojifanya wao ni wasomi wa chuo na wakazi wa Hostel, kumbe hakuna chochote, tena wengine ni Prost.... wa mitaani?

  • Je ni watu wangapi vijana kwa wazee wanaingia Mabibo kwa ajili ya kunywa au kuwinda wasichana pale Complex?

  • Je ni ukweli kwamba kila anayeingia pale Hostel ni mwanafunzi wa chuo?
Mwisho unaweza kupata uhalisia wa ukweli wa hii shutuma katika Original Post.

Ijapokuwa nakubali kuwa yaliyosemwa yapo ila KU-GENERALIZE kihivyo si fair, kwa maana ya kwamaba wapo wengi sana ambao ni safi tena safi wa kuigwa. Ijapokuwa ukweli utabaki pale pale Malezi na Makuzi yanamchango wake katika haya tunayoyaona pale CHUONI/HOSTEL
 
Tupunguze generalization. UDSM, DUCE kuna mitihani ambayo ukishindwa kufikia kiwango you are knocked out. Si rahisi kwamba watu wote wanafanya hivyo na bado waendelee kuwepo chuo. By the way Mabibo ni complex, mle kuna watu wa nje ya chuo wengi tu huwa wanaingia pale. Si vizuri kufanya generalization za aina hiyo. Wanapata sh 5000 kwa siku, pigeni hesabu ya gharama ya maisha ya Dar es salaam halafu mseme kama 5000 inatosha kwa siku, pamoja na mavazi na usafiri na chakula na mengineyo mengi. Tukisema bumu lipunguzwe tutakuwa tunawaumiza watoto wa maskini wasio na extra support. Wanafunzi wa chuo kikuu ni watu wazima, waacheni wafanye wanayoweza ili mradi wasivunje sheria za nchi.
Vangi hiyo avatar yako mh mie hoi yaani nimecheka sana!
 
nakumbuka enzi zetu pale mzumbe kwa baunsa tulikuwa tunakula mayii then tunakata kiuu kurekebisha tabia long live roy, lema na wote

bilashaka wewe ni mwana wa kibasila au kimweri...............hahaha ulisahau pool table kijana na mambo yenu ya rumumba
 
Back
Top Bottom