Kwetu Iringa
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 355
- 88
Pole sana Mkuu!! Kwa kweli Dr alikiuka maadili ya kazi yake!!
On the other hand, wasichana wengi siku hizi hupenda kuzaa kwa operation, ati ili wasiharibu elasticity ya k*** zao, yaani waendelee kuwa vigori hata kama atazaa watoto! Hii inaweza imechangia kwa maDr wasio na maadili sawasawa kupenda operation hata kama hakuna indication (sababu). Afterall, operation ya aina yoyote ile inaingiza pesa nyingi kuliko matibabu ya aina nyingine!!
Hata hivyo ni kazi ya Dr kumwelewesha patient pros and cons za kila aina ya matibabu.
Mkikukmbuka, huko nyuma (na huenda mpaka leo) mgonjwa bila kuchomwa sindano alikuwa anaona hajatibiwa!
Mkikumbuka zaidi, huko nyuma ilikuwa fashion kwa mwanamke, hasa msomi, kutonyonyesha watoto, ati washaribu shape za vifua vyao!! But slowly after sustained health education, sasa wanawake wanaona pride kuwanyonyesha watoto wao, hata mbele za watu!!
Kwa hiyo ninachotaka kusema ni kuwa a good Dr ni yule anaye toa elimu ya kipi kinafaa kwa wagonjwa wake, siyo yule anayeheshimu matakwa ya wagonjwa wake hata hayo matakwa hayafai, ati kwa kuogopa kumkasirisha patient!!
Drs kwenye private hospitals are very unethical, ingawa Drs wa namna hii pia hupatikana kwenye public hospitals.
Cha kushangaza, utakuta Dr wa public hospital anakuwa na two different faces. Akiwa kwenye public hospital anakuwa ethical, lakini jioni akienda kwenye kubangaiza anavua ethics!!!
On the other hand, wasichana wengi siku hizi hupenda kuzaa kwa operation, ati ili wasiharibu elasticity ya k*** zao, yaani waendelee kuwa vigori hata kama atazaa watoto! Hii inaweza imechangia kwa maDr wasio na maadili sawasawa kupenda operation hata kama hakuna indication (sababu). Afterall, operation ya aina yoyote ile inaingiza pesa nyingi kuliko matibabu ya aina nyingine!!
Hata hivyo ni kazi ya Dr kumwelewesha patient pros and cons za kila aina ya matibabu.
Mkikukmbuka, huko nyuma (na huenda mpaka leo) mgonjwa bila kuchomwa sindano alikuwa anaona hajatibiwa!
Mkikumbuka zaidi, huko nyuma ilikuwa fashion kwa mwanamke, hasa msomi, kutonyonyesha watoto, ati washaribu shape za vifua vyao!! But slowly after sustained health education, sasa wanawake wanaona pride kuwanyonyesha watoto wao, hata mbele za watu!!
Kwa hiyo ninachotaka kusema ni kuwa a good Dr ni yule anaye toa elimu ya kipi kinafaa kwa wagonjwa wake, siyo yule anayeheshimu matakwa ya wagonjwa wake hata hayo matakwa hayafai, ati kwa kuogopa kumkasirisha patient!!
Drs kwenye private hospitals are very unethical, ingawa Drs wa namna hii pia hupatikana kwenye public hospitals.
Cha kushangaza, utakuta Dr wa public hospital anakuwa na two different faces. Akiwa kwenye public hospital anakuwa ethical, lakini jioni akienda kwenye kubangaiza anavua ethics!!!