Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Nimepokea sms kwenye simu yangu ya mkononi ikiwa na ujumbe huu na nimeona ni vizuri niwashirikishe harakati hizi zinazoendeshwa na undisclosed sources.
"Nzi na nyuki hufa kwa kulazimisha kupenya kwenye kioo angavu, na ndivyo watakavyoangamia wasomi, wafanyakazi na wakulima wanaolazimisha kutimiza ndoto zao kupitia chama cha mafisadi (ccm).
Sasa tuunge mkono kwenye kampeni maalumu dhidi ya Kikwete 2010, maana aliingia kwa mbinu atatoka kwa mbinu. Mtenda utendewa, tuwasapoti wadai haki na oparesheni SANGARA, Tanzania bila Kikwete inawezekana.
Tuma ujumbe huu kwa walio choshwa na Kikwete. Hasa Walimu, NMB, TRL, Wazee wastaafu wa EAC, Wanafunzi vyuoni, Madaktari, Polisi, Maaskofu, Mapadri, Makadhi, Mashehe, Wavuvi, Waumini wa dini zote na Wakurugenzi wa vyombo vya habari."
Nasisitiza kwamba huu ujumbe nimeupokea kwenye simu yangu na sijui ni nani kanitumia.
MF
"Nzi na nyuki hufa kwa kulazimisha kupenya kwenye kioo angavu, na ndivyo watakavyoangamia wasomi, wafanyakazi na wakulima wanaolazimisha kutimiza ndoto zao kupitia chama cha mafisadi (ccm).
Sasa tuunge mkono kwenye kampeni maalumu dhidi ya Kikwete 2010, maana aliingia kwa mbinu atatoka kwa mbinu. Mtenda utendewa, tuwasapoti wadai haki na oparesheni SANGARA, Tanzania bila Kikwete inawezekana.
Tuma ujumbe huu kwa walio choshwa na Kikwete. Hasa Walimu, NMB, TRL, Wazee wastaafu wa EAC, Wanafunzi vyuoni, Madaktari, Polisi, Maaskofu, Mapadri, Makadhi, Mashehe, Wavuvi, Waumini wa dini zote na Wakurugenzi wa vyombo vya habari."
Nasisitiza kwamba huu ujumbe nimeupokea kwenye simu yangu na sijui ni nani kanitumia.
MF