rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 454
Wakuu nilikuwa najaribu kupitia mitandao ya mabenki mbalimbali ya hapa nyumbani kwetu TZ na nimekutana na hii kitu inaitwa HABA na HABA akaunti ya watu wa Exim Bank. Nimeona inaweza kuwa ya msaada sana wakati utakapostaafu na kuachana headache za PPF, NSSF and the Co. Kwa taarifa zaidi gonga hapa http://www.eximbank-tz.com/Retail/Account/Haba%20na%20Haba.php