patience96
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 1,353
- 568
Zinatumika ktk kufanya decition ya kuzalisha product mbili tofauti ktk firm
mmh, lugha gongana hii!.... Ktk firm?
Zinatumika ktk kufanya decition ya kuzalisha product mbili tofauti ktk firm
Zinatumika ktk kufanya decition ya kuzalisha product mbili tofauti ktk firm
Unamaanisha algebra? Kimsingi kila hesabu zina application na kila kitu kilichotengenezwa na mwanadamu kiwe kimesimama au kinatembea, hesabu nyingi tu zimetumika. kwa mfano hebu angalia chupa ya bia. Unataka kutengeneza chupa ya bia inayoweza kubeba 0.5ltr za bia na kubaki nafasi ndogo kama 0.005ltr kwa ajili ya gas. Sasa je kitako kiwe na kipenyo cha urefu gani? hali kadharika urefu wa chupa hadi mabegani na ule wa shingo pamoja na kipenyo cha mdomo wa chupaivi zile hesabu za x na y huwa zna application gan ktk maisha mkuu?
> 1 x 9 + 2 = 11
> 12 x 9 + 3 = 111
> 123 x 9 + 4 = 1111
> 1234 x 9 + 5 = 11111
> 12345 x 9 + 6 = 111111
> 123456 x 9 + 7 = 1111111
> 1234567 x 9 + 8 = 11111111
> 12345678 x 9 + 9 = 111111111
> 123456789 x 9 +10= 1111111111