eti unasovu swali la hesabu leeeeeeefu! Huku na kule prinsipo kibao mkono kwenye kikokotozi hautoki alafu jibu unapata mara 0.3 au 0.0002 au 0.01 au 1 mara 2.1 sasa hii ndio nini? Hesabu ni upuuzi wa hali ya juu?
ha haaa haaa kaka hizo ni HESABU mi nazungumzia HISABATI au mathematiks... hesabu mbona kila mtu anajua hata walevi
Sa ce tulosoma masomo ya kuimba mashairi tuwaeleweje?
eti unasovu swali la hesabu leeeeeeefu! Huku na kule prinsipo kibao mkono kwenye kikokotozi hautoki alafu jibu unapata mara 0.3 au 0.0002 au 0.01 au 1 mara 2.1 sasa hii ndio nini? Hesabu ni upuuzi wa hali ya juu?
ha haaa haaa kaka hizo ni HESABU mi nazungumzia HISABATI au mathematiks... hesabu mbona kila mtu anajua hata walevi
ivi zile hesabu za x na y huwa zna application gan ktk maisha mkuu?
Zinatumika ktk kufanya decition ya kuzalisha product mbili tofauti ktk firm
utakuwa na matatizo ya akili wewe, unaoziogopa nini hesabu while ni kupanga namba tu 1 mpaka 9