hivi sivyo tunavyotakiwa kuishi mkuu, every person on earth deserves a second chance, hata kama ni muuaji, jambazi, pirate etc, he still needs a chance to repent and come to his God, change his ways brabrabraaa. wahalifu si pirates peke yao, kama wewe ni mtakatifu uwe wa kwanza kurusha jiwe. je, haujawahi kula rushwa hapa tz? bila shaka siongei na fisadi, ila kama ni mmoja wao basi fisadis za tz ni wabaya kuliko hata pirates. those people live in a failed state and sometimes they are driven by warlords, ambao kama wakikataa kufanya hivyo wanaweza kuuawa. pia mazingira ya somalia yanawaweka watu kuwa katika roho ya aina hiyo, if they would have been given a chance to live in a peaceful country like tz, unafikiri wangeopt kufanya wayafanyayo? hata hivyo, many of you in this JF are pirates before God, kama Mungu angelihesabu maovu yetu nani angesimama? na Mungu hafurahii kifo cha mtu mwenye dhambi, hivyo si sahihi kabisa kuwaua hivyo. wenzao wa EU na NATO wamekuwa na agreement na selikali ya Kenya, so when they capture them wanawapeleka kwenye mahakama za kenya kutokana na mutual agreement za nchi walivyokubaliana. kama Mungu angekuwa anawaua enyi wanaume mnaoharibu vitoto vya secondary hata shule havimalizi, je mngesimama? kama Mungu angeamua kuharibu/kuua enyi sugermami mlio jaa dar es salaam wamama watu wazima mnawavulia watoto wadogo kama si laana hiyo ni nini? je, mngesimama mbele za Mungu kweli? si neema tu ya Mungu tunaishi wakuuu?
hata hivyo, siiamini hii thread iliyoanzisha, kwasababu kama wangefanya hivyo, jumuiya ya kimataifa ingeshawashambulia sana Russia....
this is too unfair, walitakiwa wawakamate wawapeleke mbele ya vyombo vya dola, na sio kuuwaacha kinyama hivyo. you know, kila mwanadamu hata kama ni jambazi,katili etc, ni kiumbe wa Mungu na Mungu bado anampenda, na anastahili haki zote. siamini kwamba Russia nchi iliyokomaa ktk sheria za kimataifa ingefanya kitu kama hicho. lazima watakuwa waliwaacha na hata kadarubini kamoja ili wasijekujikuta badala ya kwenda somalia, wanaelekea china ambako watatembea kwa miaka miwili na hako kaboat. si unajua mtu akiachwa katikati ya bahari hajui wapi kusini, wapi kaskazini etc.