H.Kasongo Hour-Emanuel Ole Naiko Katia Aibu

Kama mtaalam mzoefu, anayeielewa vizuri sekta hii kiutendaji na falsafa yake, ninachoweza kusema ni kuwa hata kwa sheria mpya ya madini ya 2010, hakuna chochote ambacho kinaweza kutajwa kuwa ni maendeleo yaliyofanyika katika sekta hii. Kwanza Watanzania wanatakiwa kufahamu kuwa mabadiliko ya shera yaliyofanywa hayatahusu miradi ambayo ilianza wakati wa sheria ya zamani. Migodi kama ya Bulyanhulu, Geita, Buzwagi, Tulawaka, Lusu, North Mara, Tanzanite One - Arusha na Mwadui, haihusiki katika hayo mabadiliko.

Hata kwa miradi mipya, ile ambayo itakuwa ni miradi ya kuanzia U$100 kupanda juu, haitalazimika kufuata sheria ya jumla ya madini kama inavyoainishwa bali kutakuwa na makubaliano maalum yatakayoainishwa katika MDA (Mining Development Agreement). Mabadiliko chini ya Ngereja hayajaleta chochote kwa Watanzania kuweza kujivunia, mengi ya yaliyoandikwa ni ya kufurahisha katika kuyasoma lakini hayatekelezeki.

Tanzania kuweka kipengere kuwa corporate taxi italipwa baada ya makampuni hayo ya madini kuanza kupata faida, walipotea kabisa maana makampuni haya huendelea kuwekeza karibu wakati wote wa kipindi cha uhai wa mgodi. Na sasa wameingia kwenye mtego mwingine tena kwa serikali kuwa mwanahisa katika miradi yote mipya ya madini. Ukiwa mwanahisa unategemea kupata dividends (gawio) kampuni inapopata faida. Serikali isichojua ni kuwa ukitazama takwimu za makampuni mbalimbali ya madini Duniani hayatoi dividends kwa wanahisa wake, kwa hiyo wewe kama unangojea dividend utashangaa utakapogundua miaka inapita na hakuna unachopata. Wanahisa wa makampuni wa madini hufaidika na uuzwaji wa hisa zao pale ambapo thamani ya hisa hupanda ambayo mara nyingi husababishwa na new discoveries na kuongezeka kwa bei za madini ambayo kampuni inayachimba.

Ole Naiko ni kati ya wengi waliopo serikali, huyu mmemtambua kwa kuwa ameongea.


Kaka hapo penye red, ilitakiwa iwe Tax, mawazo yako mazuri sana nimependa sana.
 
Hivi kweli ole naiko hakuwa na hata chembe ya aibu kuzungumza kitu kama kile tena kwa television ambayo inaangaliwa na wananchi walio wengi??

Nasema tubadilishe katiba kwanza halafu hawa na jk wao watajua nini tutawafanyia..
 
Mimi siwezi shangaa majibu hayo ya Ole Naiko.....ni bogus sana jamaa. kuna wakati aliulizwa juu ya Wachina kujaa kariakoo kufanya petty bussiness kama wanapata busissiness license kwake (TIC). MMh!...jamaa alijibu ati hao ni familia ya wawekezaji, wanaona badala ya kukaa tu nyumbani nao wanajishughulisha na biashara ndogo ndogo! Akulizwa, je Mtz akienda China anaweza kufanya hivyo? (kufanya biashara bila leseni)...akajibu ...labda inawezekana! Aisee, nilikosa imani na huyu bogus kweli.

Chaajabu humu kuna mabogus ambao wanajiita mining engineers wanasupport kauli ati madini ni renewable!
 
Baba wa Taifa alikataa madini yasichimbwe hadi hapo Taifa litakapokuwa tayari limejiandaa..
Baada ya kifo chake, ikawa ndiyo fungulia mbwa..kila aliyekuwa ameficha makucha akayakunjua..bahati mbaya wote wamendia treni kwa mbele.
Wanahujumu na kuliangamiza Taifa up and down, right and left!!
Poor my country Tz..
But, sooner and not later they should be held accountable for all this mess..
Shame on you saboteurs !!
 
OLe NAiko:
Madini ni Renewable nenda India na hata SouthAfrika madini baado wanachimba tuu na hayaishi.


Huyu jamaa wakati anzungumza haya alikuwa amepiga bange kidogo??????????
Kha, atakuwa aliila kwenye mboga wala si kuvuta.
 
GrEat ThinkErs,
Utajiri wa Dhahabu uko kama hivi kwa Afrika hadi sasa,

1:SothAfrica
2:Ghana
3:Mali
4:Tanzania

Mfano mdogo kati ya mengi waliyofaidika na rasirimali zao wenzetu;
  • SouthAfrika kuandaa Kombe la mataifa Afrika na Kulitwaa 1996
  • SouthAfrika imefanikiwa kuwa Nchi ya kwanza Afrika kuandaa kombe la Dunia kwa Ufanisi wa hali ya juu sana.
*Ghana imeweza kuandaa kombe la mataifa Afrika ikishirikiana na Nigeria
*Mali pia iliweza kuandaa kombe la matifa Afrika, miaka ile kina Mamadou Keita walikuwa vijana. Yote hayo ni mafanikio ya mikataba mizuri inajali utaifa.
 
Shame on You Ole Naiko, I just sympathy with you as a maasai couz swahili is a big problem with you guys,MAAA... may be YOU meant something else we could not understand you....au alimaanisha kuziba mashimo nini ?I guess EL is behind this move, but I tell you for sure , if you remain safe under this generation, your future is going to be very black for you and your families, quote me and you will confirm my words five year later. ''Natabiri''
 
Hujaeleweka mkuu, naomba uweke sawa hasa pointi yako ya Tundu lisu kitaaluma. Kwa kuwa umejitambulisha kama mtaaluma
Naomba utueleweshe alipokosea

Wabeloya sijakuelewa una lenga nini??? Je Tundu Lissu pamoja na kuwa ni activits alichokuwa akisema kina logic au hakina??? Je Madini ni Renewables au non-renewable?? Je makampuni hayaachi mashimo na uchafuzi mwingine??? Je kama nchi 3 or 4% ya mapato tunayopata kama nchi ni halali??? Je suala la kusema kampuni zilipe cooperate tax baada ya kupata faida, je ni haki kwa nchi??? Je ni lini hizi kampuni kweli zitapata profit??? Ni nani anayekagua kujua kuwa kampuni zinapata faida au hasara ili zilipe Cooperate tax???. Mkataba mzuri ni ule utakao angalia masuala yote ya mahimu katika mkataba kama mapato kwa taifa, shares, uchafuzi wa mazingira na namna ya ku-mitagate matatizo hayo. Good project plan ni ile inayokuwa na mitigation plan wakati huohuo huku uchimbaji ukiendelea na sio kusubiri hadi mwisho wa project kama kampuni nyingi zinavyofanya.

Una maana gani hapo ndg. kwa kuzingatia mahojiano ya hicho kipindi cha Hamza Kassongo?

Ideas za activist wengi ziko against na wahandisi na kwa kifupi activist ni kama wanasema migodi isiwepo kabisa. Kwani swala la mazingira ni very relative term, na kwa Tanzania hatuna sheria, standard, za mazingira za hawa wazungu kuweza kuzifuata, kwa kifupi hazipo, kuna sheria za mazingira.

Swala la standard za mazingira linatakiwa liwe kwenye mikataba, si Lissu wala mapadre wala wachungaji wala nani wanaosema tuweke standard zetu, kila siku utasikia wanapiga kelele mazingira!!! yaani si activists wala viongozi wa serikali wala sisi raia wengi wanaojua issue za madini.

Kwa mfano soko la madini sasa hivi bado liko monopolised usitegemee utachimba madini yako na kuuza hovyo hovyo tu, bado wanatufanyia kama ilivyokuwa Pamba na mkonge vile. kuanzisha migodi lazima uchukue mikopo benki ya dunia (kitengo hiki kiko chini ya waingereza kwa sasa), bila kujua soko la madini yako litakuwa wapi, hupati mtaji/mkopo, bila kujua wataalamu gani watakuja kuchimba haupati mkopo/ bila kujua nani mchimbaji na huyo mtu anashirikiana vipi na WB hupati kitu! maana kuaanzisha mgodi sio kujenga machinga complex

Vita hii ya madini ni kubwa kiasi cha nikisikia Lissu anaongea na Ole Naiko nabaki nacheka kwani issue hii hata JK haiwezi kwa sasa! we need one crazy leader kulisawazisha hili swala liko international level! Canada mathalan bila Nickel yao kununuliwa na China wanafunga migodi!

Tukubali tu hatuji issue za madini na hii utaona wengi wetu tunasema ila kuna siri nyingi, haziwekwi wazi aidha kwa makusudi au kwa kutojua, kiasi cha kuwa wote kuonekana walewale

nimesisitiza sana kuwa tuangalie zaidi mikataba, maana hapa ndio mfupa wenyewe, ukisema tu uingize issue za mazingira, watakuwa na la kujitetea wakijitetea unaona kama vile mikataba iko safi, ukilisema tu wanaona wako nchini kihalali!!

Bulyhanhulu Bush anashare pale, na kila siku wanagawana viwanja Toronto Canada, ukiwa Toronto unaona watu wanavyoijua Tanzania kama vile wamezaliwa huku!

Point ya kusema activist ni kusema kuwa wengi wao hawajui lolote wala hawako wazi kusema status ya madini kidunia, soko likoje, uanzishwaji wake ukoje. tukijua hapo tutajua ukubwa wa tatizo lakini kutafuta mchawi hapa na hali tukijua hawawezi kufanya lolote basi ni bora tujikite kuwafukuza hawa CCM, na sio kusemea issue za renewable ou non renewable,hatujagusa hata robo ya robo robo ya roo ya robo ya madini nchi hii!! other issues are joking.....MIKATABA KWANZA MENGINE BAADAE! au tuache kabisa kuchimba, tuwe na akili za kufanya mengine ya maana zaidi.
 
Mimi siwezi shangaa majibu hayo ya Ole Naiko.....ni bogus sana jamaa. kuna wakati aliulizwa juu ya Wachina kujaa kariakoo kufanya petty bussiness kama wanapata busissiness license kwake (TIC). MMh!...jamaa alijibu ati hao ni familia ya wawekezaji, wanaona badala ya kukaa tu nyumbani nao wanajishughulisha na biashara ndogo ndogo! Akulizwa, je Mtz akienda China anaweza kufanya hivyo? (kufanya biashara bila leseni)...akajibu ...labda inawezekana! Aisee, nilikosa imani na huyu bogus kweli.

Chaajabu humu kuna mabogus ambao wanajiita mining engineers wanasupport kauli ati madini ni renewable!

Ndiyo maana nikasem wengi wetu huwa tunakurupuka hatujui issue za madini, issue ya non renewable na renewable ni kipengele ambacho ni debetable!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kwa mining engineers wa mwaka wa kwanza anajua kuwa:

Natural minerals are non-renewable because its formation is a time-consuming process. For instance, the petroleum (from which we extract oil) we get today, is a result of billions of years decaying of organic materials due to earth's excessive heat and pressure. Ukienda kwa geologist anaweza akasema tofauti!!!!! na ukachanganya mambo kabisa! na hayo madini kuna natural na artificial ambayo ni non-renewable na renewable respectively! alichokuwa anafanya Ole ni kuongea propaganda ambazo watu watatafsiri tofauti! purely politics! it does not make sense


Sidhani kama kuna mining engineers ayakayesema kinyume na hapo, la kama yupo basi aidha ni kisiasa lakini facts inabaki palepale!!!

Labda nikupe ukweli LISSU KUJADILI HII ISSUE NA HUYO OLE NAIKO NI KUWA HATA LISSU MWENYEWE ANAINGIA KWENYE KAPU LA MABOGUS! issue hii huwezi ukajadili na ole naiko! yaaini aidha Lissu mwenyewe hajui global trend ya mdini worldwide au ana past time!! dawa ya madini duni ya tatu ni kutochimba kabisa.period tukikubali tukubali na hayo mengine yote ambayo hatuna wezo nayo. I believe we can live without mining and yet we can sustain, kama wenyewe wanalipa 3% tu ya kodi, kwanini akina Lissu wasiseme au kuanzisha mchakato madini yasimamishwe??

Baba wa Taifa alikataa madini yasichimbwe hadi hapo Taifa litakapokuwa tayari limejiandaa..
Baada ya kifo chake, ikawa ndiyo fungulia mbwa..kila aliyekuwa ameficha makucha akayakunjua..bahati mbaya wote wamendia treni kwa mbele.
Wanahujumu na kuliangamiza Taifa up and down, right and left!!
Poor my country Tz..
But, sooner and not later they should be held accountable for all this mess..
Shame on you saboteurs !!

This is excactly a point, tulitaka globalisation leo tunalia vitu vya mchina, viwanda vinakufa n.k, tulitaka uhuru wa teknolojia watu leo wanaishi na kufanya kizungu!

Tulipokubali tu issue za madini pasi kujua nyuma ya madini kuna nini, basi ni kilio ambacho mazungumzo yetu hayana cha kufanya kwa dunia ya sasa, na hasa sisi ambao viongozi wetu wanaenda kuomba omba fedha za misaada ya bajeti yetu wenyewe!! kusema mikataba, mazingira is bit too late!! though we cant quit but I believe war is cruel in such a way that having debate with Naiko is a joke! I sense politics here!
 
Ndiyo maana nikasem wengi wetu huwa tunakurupuka hatujui issue za madini, issue ya non renewable na renewable ni kipengele ambacho ni debetable!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kwa mining engineers wa mwaka wa kwanza anajua kuwa:

Natural minerals are non-renewable because its formation is a time-consuming process. For instance, the petroleum (from which we extract oil) we get today, is a result of billions of years decaying of organic materials due to earth's excessive heat and pressure. Ukienda kwa geologist anaweza akasema tofauti!!!!! na ukachanganya mambo kabisa! na hayo madini kuna natural na artificial ambayo ni non-renewable na renewable respectively! alichokuwa anafanya Ole ni kuongea propaganda ambazo watu watatafsiri tofauti! purely politics! it does not make sense


Sidhani kama kuna mining engineers ayakayesema kinyume na hapo, la kama yupo basi aidha ni kisiasa lakini facts inabaki palepale!!!

Labda nikupe ukweli LISSU KUJADILI HII ISSUE NA HUYO OLE NAIKO NI KUWA HATA LISSU MWENYEWE ANAINGIA KWENYE KAPU LA MABOGUS! issue hii huwezi ukajadili na ole naiko! yaaini aidha Lissu mwenyewe hajui global trend ya mdini worldwide au ana past time!! dawa ya madini duni ya tatu ni kutochimba kabisa.period tukikubali tukubali na hayo mengine yote ambayo hatuna wezo nayo. I believe we can live without mining and yet we can sustain, kama wenyewe wanalipa 3% tu ya kodi, kwanini akina Lissu wasiseme au kuanzisha mchakato madini yasimamishwe??



This is excactly a point, tulitaka globalisation leo tunalia vitu vya mchina, viwanda vinakufa n.k, tulitaka uhuru wa teknolojia watu leo wanaishi na kufanya kizungu!

Tulipokubali tu issue za madini pasi kujua nyuma ya madini kuna nini, basi ni kilio ambacho mazungumzo yetu hayana cha kufanya kwa dunia ya sasa, na hasa sisi ambao viongozi wetu wanaenda kuomba omba fedha za misaada ya bajeti yetu wenyewe!! kusema mikataba, mazingira is bit too late!! though we cant quit but I believe war is cruel in such a way that having debate with Naiko is a joke! I sense politics here!
Kwa kifupi kabisa elezea Tanzania ifanye nini ili ifaidike na uchimbaji wa madini?
 
[/LIST]OLe NAiko:
HITIMISHO
Kila kitu kilichofanywa na Serikali hasa kwa sasaivi chini ya Ngereja ni safi kabisa.
Naomba watanzania turidhike na tunachopata na bado narudia kuwa biashra ya madini ni kama biashara nyingine yoyote.
Mikataba tuliyoingia hatuwezi kubadilisha katu.

This lunatic is even more crazier than I thought!!! Katika watu waliokosa uso wa haya huyu ni nambari wani!! Yaani anatutaka turidhike na huo ujambazi wanaotufanyi sisi!! Hiyo mikataba imekua ni misahafu kiasi kwamba review haiwezekani???? Yaani huyo hafai hata kufunga!!... Huyu ni wa Firing squad tu!!!!
 
Nawashangaa sawa mnaomshupalia ole naiko. Jiridhisheni kwanza kama anajua maana ya renewable
 
bila kujua soko la madini yako litakuwa wapi, hupati mtaji/mkopo, bila kujua wataalamu gani watakuja kuchimba haupati mkopo/ bila kujua nani mchimbaji na huyo mtu anashirikiana vipi na WB hupati kitu!

Mkuu hizi ni stori za vijiweni na this tells me you are also completely ignorant as to how the mining business inaendeshwa. Pls acha kupotosha wananchi.......... Hizi ni pumba at its best!!!!!
 
Mkuu hizi ni stori za vijiweni na this tells me you are also completely ignorant as to how the mining business inaendeshwa. Pls acha kupotosha wananchi.......... Hizi ni pumba at its best!!!!!

I myself dont know how the mining business works..... would you care to elaborate please...

(few things I know is this business and the market is controlled by the big companies e.g. debeers when it comes to diamonds; also I know we can do better and get better deals like how Botswana managed) .....

But I agree with Mkuu hapo juu kwamba haya madini tungeacha kuyachimba until we are ready and able (technical know how) or ability to call for better deals
 
Ndiyo maana nikasem wengi wetu huwa tunakurupuka hatujui issue za madini, issue ya non renewable na renewable ni kipengele ambacho ni debetable!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kwa mining engineers wa mwaka wa kwanza anajua kuwa:

Natural minerals are non-renewable because its formation is a time-consuming process. For instance, the petroleum (from which we extract oil) we get today, is a result of billions of years decaying of organic materials due to earth's excessive heat and pressure. Ukienda kwa geologist anaweza akasema tofauti!!!!! na ukachanganya mambo kabisa! na hayo madini kuna natural na artificial ambayo ni non-renewable na renewable respectively! alichokuwa anafanya Ole ni kuongea propaganda ambazo watu watatafsiri tofauti! purely politics! it does not make sense


Sidhani kama kuna mining engineers ayakayesema kinyume na hapo, la kama yupo basi aidha ni kisiasa lakini facts inabaki palepale!!!

Labda nikupe ukweli LISSU KUJADILI HII ISSUE NA HUYO OLE NAIKO NI KUWA HATA LISSU MWENYEWE ANAINGIA KWENYE KAPU LA MABOGUS! issue hii huwezi ukajadili na ole naiko! yaaini aidha Lissu mwenyewe hajui global trend ya mdini worldwide au ana past time!! dawa ya madini duni ya tatu ni kutochimba kabisa.period tukikubali tukubali na hayo mengine yote ambayo hatuna wezo nayo. I believe we can live without mining and yet we can sustain, kama wenyewe wanalipa 3% tu ya kodi, kwanini akina Lissu wasiseme au kuanzisha mchakato madini yasimamishwe??


This is excactly a point, tulitaka globalisation leo tunalia vitu vya mchina, viwanda vinakufa n.k, tulitaka uhuru wa teknolojia watu leo wanaishi na kufanya kizungu!

Tulipokubali tu issue za madini pasi kujua nyuma ya madini kuna nini, basi ni kilio ambacho mazungumzo yetu hayana cha kufanya kwa dunia ya sasa, na hasa sisi ambao viongozi wetu wanaenda kuomba omba fedha za misaada ya bajeti yetu wenyewe!! kusema mikataba, mazingira is bit too late!! though we cant quit but I believe war is cruel in such a way that having debate with Naiko is a joke! I sense politics here!

Mzee,

Umezungumza vitu vingi ambavyo mwisho wa siku unajichanganya mwenyewe. Madini yanayozungumziwa hapa ni precious metals, na huitaji kuwa engineer kujua ya kuwa sio renewable. Pili, suluhisho la madini Afrika sio kutokuchimba bali kuweka mikataba mizuri itakayotunufaisha. Kuna nchi kama Botswana ambao uchumi wao kiasi kikubwa unategemea madini, na wameweka mikataba mizuri inayolinda maslahi yao. Tatu, sio kila ishu ya madini lazima izungumziwe na mainjinia after all Mining engineer hajui mambo ya mazingira mfano ni pale Cyanide inapo leak toka kwenye clarifier au tailing dam, engineer hawezi kuelezea kwa kina kuhusu environmental impact.
 
kwa mtaji huu tutauzwa tuuu kuanzia preridaa, ngeleja, mmachinga, hadi yule mkulima wa kule namtumbo.
Kina naiko na vihiyo wenzake analeta mzaha na rasilimali zetu. wanasema wanatembelea nchi nyingine kujifunza lakini wapi?!!! kumbe wanaenda kushangaa magorofa. kudddadadeki........... na 10% zenu zitawatokea puani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom