spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GrEatThinkers,
Jana sa3 usiku nilipata kutazama Channel Ten(Hamza Kasongo Hour) mjadala ulihusu Madini.
Mambo yalikuwa hivi.
TunduLissu:
Madini si Renewable, maana yake mahali pakichimbwa na madini kuondoka haitatokea tena kuwa na madini pale. Hivyo mikataba yake ilitakiwa kuwa ni rasmi kwa mazingira yale
OLe NAiko:
Madini ni Renewable nenda India na hata SouthAfrika madini baado wanachimba tuu na hayaishi.
TunduLissu:
Kuna Uchafuzi mkubwa wa mazingira na kuna mashimo makubwa makubwa huko migodini, wananchi pia wanabwia Vumbi bila hata kufaidika na chochote. Nendeni mkajoinee jinsi maji yanavyomwagika na kuathiri aridhi yetu na sie tupo hata hatujali.
OLe NAiko:
Hakuna uchafuzi wa mazingira maana kuna utunzaji mkubwa wa kimazingira ile waste inahifadhiwa na miti kupandwa.
Ukweli Halisi.
Mgodi wa Buhemba ulifungwa na Mwl.1968 lakini hata leo ukienda kuna mashimo yaliyoachwa na wakoloni pia Geita mashimo yapo yaliyachwa na wakoloni. ni hatali sana
TunduLissu:
Hitimisho:
Nadhani kuna umuhimu mkubwa wa kubadili Ownership Structure
HITIMISHO
Kila kitu kilichofanywa na Serikali hasa kwa sasaivi chini ya Ngereja ni safi kabisa.
Naomba watanzania turidhike na tunachopata na bado narudia kuwa biashra ya madini ni kama biashara nyingine yoyote.
Mikataba tuliyoingia hatuwezi kubadilisha katu.
@@@:loco:Jamani ni machache kati ya mengi waliyoyaongea jana na niakamuona huyu Ole naiko kama kibaraka wa mafisadi.
Shame On You OLE NAIKO.
Jana sa3 usiku nilipata kutazama Channel Ten(Hamza Kasongo Hour) mjadala ulihusu Madini.
Mambo yalikuwa hivi.
TunduLissu:
Madini si Renewable, maana yake mahali pakichimbwa na madini kuondoka haitatokea tena kuwa na madini pale. Hivyo mikataba yake ilitakiwa kuwa ni rasmi kwa mazingira yale
OLe NAiko:
Madini ni Renewable nenda India na hata SouthAfrika madini baado wanachimba tuu na hayaishi.
TunduLissu:
Kuna Uchafuzi mkubwa wa mazingira na kuna mashimo makubwa makubwa huko migodini, wananchi pia wanabwia Vumbi bila hata kufaidika na chochote. Nendeni mkajoinee jinsi maji yanavyomwagika na kuathiri aridhi yetu na sie tupo hata hatujali.
OLe NAiko:
Hakuna uchafuzi wa mazingira maana kuna utunzaji mkubwa wa kimazingira ile waste inahifadhiwa na miti kupandwa.
Ukweli Halisi.
Mgodi wa Buhemba ulifungwa na Mwl.1968 lakini hata leo ukienda kuna mashimo yaliyoachwa na wakoloni pia Geita mashimo yapo yaliyachwa na wakoloni. ni hatali sana
TunduLissu:
Hitimisho:
Nadhani kuna umuhimu mkubwa wa kubadili Ownership Structure
- Makampuni ya madini lazima yajiandikishe DSE ili watanzania wawaze kununua Share.
- Serikali lazima ipate share no matter of the size lakini tuwemo kama taifa.
- Local Authorities lazima zipate share na villagers ambawo wamehamishwa kupisha migodi.
- Tutumie mapendekezo ya tume ya Masha na Bomani kwa sababu kuna mambo ya muhimu yameelekzwa ispokuwa hayafuatwi na serikali.
- Marekebisho ya kupata 4% kutokana na revenue/mapato yote ya mgodi husika bado ni PEANUT/Kidogo sana ukilinganisha na uhalisia wa mambo.
HITIMISHO
Kila kitu kilichofanywa na Serikali hasa kwa sasaivi chini ya Ngereja ni safi kabisa.
Naomba watanzania turidhike na tunachopata na bado narudia kuwa biashra ya madini ni kama biashara nyingine yoyote.
Mikataba tuliyoingia hatuwezi kubadilisha katu.
@@@:loco:Jamani ni machache kati ya mengi waliyoyaongea jana na niakamuona huyu Ole naiko kama kibaraka wa mafisadi.
Shame On You OLE NAIKO.