gazeti linaitwa AIKA,la kina mangi nini
Wana Jf Kesho kuna gzt mpya linaitwa Aika Ukweli Saut ya Wanyonge.Hili gzt litaanza kutoka Alhamisi Kesho?
labda ndio anamaanisha hivyoo Aika wa Ukweli
Marekebisho.Gzt linaitwa Anika Ukweli Sauti Ya WanyongeNilivyoona kwenye kichwa cha habari neno 'gazeti mpya' nikajua bahati mbaya ulimi umeteleza. Lakini si mbaya, ni kama Kenya vile...Tuna hamu sana kupata habari mpya motomoto. Vipi kuhusu safu ya wahariri? Maana magazeti ya siku hizi ni kama hayana jipya kwani wahusika ni walewale.
Wana Jf Kesho kuna gzt mpya linaitwa Aika Ukweli Saut ya Wanyonge.Hili gzt litaanza kutoka Alhamisi Kesho?