Huu ni ubunifu wa hali ya juu, naamini Engineer mmoja akitumia muda wake kidogo tu anaweza renovate stage waliyofikia na kwenda mbele hatua mbili tatu.
Hawa wametumia local resources ku solve immediate problem.
Wengine wangeiba BOT katika ku solve tatizo hilohilo katika large scale.
Kuna teknolojia nyingi sana tumezikumbatia kwa mikono miwili lakini hazitufai au zinageuka mzigo katika mfumo wa maisha yetu.
We build our life around electrical appliances before building reliable electric sources.
Tafuta na nunua kiwanja eneo la bondeni then jenga nyumba hapo. Subiri mvua za Masika za mwaka kesho then bila ubishi utakuwa MABWE-PANDE! Karibu sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.