Gym inaweza rudisha heshima ya ndoa yako kabisaaa.

manuu

JF-Expert Member
Apr 23, 2009
4,064
10,723
Kabla sijaoa nilikuwa nafanya mazoezi ya kunyanyua vyuma sana.Na ninakumbuka enzi hizo my wife alikuwa chuo alikuwa anakuja kila weekend na ilikuwa hamna kulala yaani round moja bila lisaa limoja na kwa style zote nilikuwa sitoki juu kabisa.Tulipokuja kuoana nikapumzika mazoezi ya gym,Tumbo likawa kubwa mpaka nikafikisha kilo 92 na hapo hata perfomance ikapungua sana kwani round 1 nikichelewa sana ikawa ni dakika 15 tu kwishney mpaka wife ananiuliza kulikoni siku hizi mbona fasta sana?Nina miezi nane sasa tangu nianze tena GYM kwanza nimekata weight nina kg 81 sasa yaani nimeamisha ngurunyi za tumbo zimeamia kifuani ,kwenye shoulder,mikono yaani nimerudi kama enzi zile.Na kwenye bed moto si wakitoto yaani sasa hivi bila dakika 50 au lisaa hakijaeleweka. Ninachoshukuru hadi wife sasa anaridhika mpaka mpaka anatamani kunifungia ndani nisitoke.Kwa wanaume wote please anza mazoezi sasa kama ulikuwa ufanyi.
 
Kabla sijaoa nilikuwa nafanya mazoezi ya kunyanyua vyuma sana.Na ninakumbuka enzi hizo my wife alikuwa chuo alikuwa anakuja kila weekend na ilikuwa hamna kulala yaani round moja bila lisaa limoja na kwa style zote nilikuwa sitoki juu kabisa.Tulipokuja kuoana nikapumzika mazoezi ya gym,Tumbo likawa kubwa mpaka nikafikisha kilo 92 na hapo hata perfomance ikapungua sana kwani round 1 nikichelewa sana ikawa ni dakika 15 tu kwishney mpaka wife ananiuliza kulikoni siku hizi mbona fasta sana?Nina miezi nane sasa tangu nianze tena GYM kwanza nimekata weight nina kg 81 sasa yaani nimeamisha ngurunyi za tumbo zimeamia kifuani ,kwenye shoulder,mikono yaani nimerudi kama enzi zile.Na kwenye bed moto si wakitoto yaani sasa hivi bila dakika 50 au lisaa hakijaeleweka. Ninachoshukuru hadi wife sasa anaridhika mpaka mpaka anatamani kunifungia ndani nisitoke.Kwa wanaume wote please anza mazoezi sasa kama ulikuwa ufanyi.

Hapa sinyanyui vyuma na mziki huu ni cd laki saba
Nikinyanyua si itakuwa balaa sana
Ushauri wako
OTIS
 
manuu, kwanza jibu, ilikuwaje yule dada?
Ulibandua? Au ilikuwaje?

Huwezi kuturusha roho kulea afu uje hapa na story mpya kabla ya kujibu maswali yetu kule.
 
Last edited by a moderator:
Wewe labda una matatizo tu, mbona mimi nilikuwa na tumbo kama la kikwete nalikuwa sifungi goli haraka mpaa nifike dakika 45, tena mpaa nisikia timu nayo cheza nayo inanilazimisha nifunge bao ndo nafunga

Lakini mazoezi yanasaidia tu vitu vingi, hata mimi toka niondoe tumbo naona narudi kuwa young na babe wananilia kwa sana tu.
 
Kabla sijaoa nilikuwa nafanya mazoezi ya kunyanyua vyuma sana.Na ninakumbuka enzi hizo my wife alikuwa chuo alikuwa anakuja kila weekend na ilikuwa hamna kulala yaani round moja bila lisaa limoja na kwa style zote nilikuwa sitoki juu kabisa.Tulipokuja kuoana nikapumzika mazoezi ya gym,Tumbo likawa kubwa mpaka nikafikisha kilo 92 na hapo hata perfomance ikapungua sana kwani round 1 nikichelewa sana ikawa ni dakika 15 tu kwishney mpaka wife ananiuliza kulikoni siku hizi mbona fasta sana?Nina miezi nane sasa tangu nianze tena GYM kwanza nimekata weight nina kg 81 sasa yaani nimeamisha ngurunyi za tumbo zimeamia kifuani ,kwenye shoulder,mikono yaani nimerudi kama enzi zile.Na kwenye bed moto si wakitoto yaani sasa hivi bila dakika 50 au lisaa hakijaeleweka. Ninachoshukuru hadi wife sasa anaridhika mpaka mpaka anatamani kunifungia ndani nisitoke.Kwa wanaume wote please anza mazoezi sasa kama ulikuwa ufanyi.

Kama nakupata vileeee,haha.
Safi sana,hiyo kitu ya ukweli lakini usisahau
kukimbia pia kwa ajili ya kutengeneza pumzi.
Na gym usizidishe saaaana,kuna kipindi nilikua natembea kama
dume la nyani vile,so inabidi uwe na vipimo.
 
Wewe labda una matatizo tu, mbona mimi nilikuwa na tumbo kama la kikwete nalikuwa sifungi goli haraka mpaa nifike dakika 45, tena mpaa nisikia timu nayo cheza nayo inanilazimisha nifunge bao ndo nafunga

Lakini mazoezi yanasaidia tu vitu vingi, hata mimi toka niondoe tumbo naona narudi kuwa young na babe wananilia kwa sana tu.

Mmmmh,una wake wangapi?
Just curious.
 
Mmmmh,una wake wangapi?
Just curious.
Mke mmoja tu....hao wengine wanalilia niwaoe tu sijasema nime sex nao nilikuwa naongelea mazoezi na faida yake.

Afu kitambi kiskushtue sana hata kabla ya kuoa kuna wengine wanavyo...hivyo lazima wale wanawake wa nje walisha kipapasa...we hujawahi kuona watoto wa miaka mitano wana vitambi :target:
 
Yule dada uliyekwenda nae training nje ya nchi si atakuwa aliipata fresh? Welcome back, and finish your story please..
 
manuu, kwanza jibu, ilikuwaje yule dada?
Ulibandua? Au ilikuwaje?

Huwezi kuturusha roho kulea afu uje hapa na story mpya kabla ya kujibu maswali yetu kule.
Please Kongosho unanikumbusha mambo nisiyotaka kumbuka kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Yule dada uliyekwenda nae training nje ya nchi si atakuwa aliipata fresh? Welcome back, and finish your story please..
Tnx nashukuru mungu nimerudi salama ila ndo namalizia ku edit movie ya jinsi unaweza mshinda shetani nitakutumia usiovu.
 
Wewe labda una matatizo tu, mbona mimi nilikuwa na tumbo kama la kikwete nalikuwa sifungi goli haraka mpaa nifike dakika 45, tena mpaa nisikia timu nayo cheza nayo inanilazimisha nifunge bao ndo nafunga

Lakini mazoezi yanasaidia tu vitu vingi, hata mimi toka niondoe tumbo naona narudi kuwa young na babe wananilia kwa sana tu.
We mkali ile mbaya.
 
Kama nakupata vileeee,haha.
Safi sana,hiyo kitu ya ukweli lakini usisahau
kukimbia pia kwa ajili ya kutengeneza pumzi.
Na gym usizidishe saaaana,kuna kipindi nilikua natembea kama
dume la nyani vile,so inabidi uwe na vipimo.
Ila GYM tamu bana haswa ukianza kuona matokeo yake,Inafurahisha sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom