manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,723
Kabla sijaoa nilikuwa nafanya mazoezi ya kunyanyua vyuma sana.Na ninakumbuka enzi hizo my wife alikuwa chuo alikuwa anakuja kila weekend na ilikuwa hamna kulala yaani round moja bila lisaa limoja na kwa style zote nilikuwa sitoki juu kabisa.Tulipokuja kuoana nikapumzika mazoezi ya gym,Tumbo likawa kubwa mpaka nikafikisha kilo 92 na hapo hata perfomance ikapungua sana kwani round 1 nikichelewa sana ikawa ni dakika 15 tu kwishney mpaka wife ananiuliza kulikoni siku hizi mbona fasta sana?Nina miezi nane sasa tangu nianze tena GYM kwanza nimekata weight nina kg 81 sasa yaani nimeamisha ngurunyi za tumbo zimeamia kifuani ,kwenye shoulder,mikono yaani nimerudi kama enzi zile.Na kwenye bed moto si wakitoto yaani sasa hivi bila dakika 50 au lisaa hakijaeleweka. Ninachoshukuru hadi wife sasa anaridhika mpaka mpaka anatamani kunifungia ndani nisitoke.Kwa wanaume wote please anza mazoezi sasa kama ulikuwa ufanyi.