Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,113
- 33,623
Ukiwasikiliza kwa vizuri watu wa CCM na jinsi matendo yao yalivyo dhidi ya watu hawa watatu, bila ya shaka utagundua kwamba Gwajima, Mbowe na Lowassa ni Mwiba mchungu sana kwa CCM. Siku ikitokea CCM wafanye mambo yao Mwaka mzima bila ya kuwataja watu hawa watatu, basi mwaka huo mwezi ndiyo utaangaza Mchana badala ya jua!!