Sugar wa Ukweli
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 373
- 37
Happy new year FL,karibu tena jamvini!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Happy new year FL,karibu tena jamvini!!!!
FL1 umekuja kivinge 2010,karibu tena na signature yako nzuri,i like itjamani mabinamu wote ladies/ gents niliwamiss na nawapenda sana sina la kuwaambia
2010 sitaki kufulia tena
FL1 umekuja kivinge 2010,karibu tena na signature yako nzuri,i like it
thanks Zegere tuko pamoja 2010 sijui umejiandaaje kuhusu uchaguzi unaokuja
FLD
Naomba nieleze ukweli hivi wewe ni mwanmke wau mwanume? I real want to know
.....!Mimi ni mwanamke vip una mashaka na mie tukafanye DNA ??
Binamu acha utani ahhahahahaha sijaelewa fikira zake.....!
i guess jamaa anataka kuproove in the other way ROUND!....
binamu STUKA!...huoni jamaa alivyokuuliza akiwa vere siriaz?Binamu acha utani ahhahahahaha sijaelewa fikira zake
....!:ddah0762874920 is ma no# unaweza kutumia
Mm nacho kulaumu F1 umeshindwa hata kuonana na wapwazi sasa sijui tukuweke kwenye kundi la watu wenye malingo au vp?
...........tuendelee!...am very sorry binamu zangu nilipanga ratiba na mzee akapanga ya kwake ..naomba mnisamehe bure labda hope mtaniaelewa next time
sina maringo na sina hulka hiyo ..
najua nimekuuzi vya kutosha mtu wangu lakini mie na wewe hatuzuriani
0762874920 is ma no# unaweza kutumia
Karibu tena JF na heri ya mwaka mpya sissy!!!
...........tuendelee!...
Mm nacho kulaumu F1 umeshindwa hata kuonana na wapwazi sasa sijui tukuweke kwenye kundi la watu wenye malingo au vp?