Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
Mfugaji wa kasuku alimrudisha kasuku kwa muuzaji ili ampe mwingine kwani anatukana sana,
Muuzaji kampa mwingine na kumwambia huyu mstaarabu ten akinyanyua mguu wa kulia anaongea kiingereza, wa kushoto anaongea kihindi.
Jamaa kauliza akinyanyua yote?
Kasuku akadakia " ******** si ntaanguka"
Muuzaji kampa mwingine na kumwambia huyu mstaarabu ten akinyanyua mguu wa kulia anaongea kiingereza, wa kushoto anaongea kihindi.
Jamaa kauliza akinyanyua yote?
Kasuku akadakia " ******** si ntaanguka"