Huko mbali sana simultaneous equations tu ataona nyota.....................aaah kumbe pia quadratic equations zipo around pia...! Kikubwa mswaki (F) wa mathematics utakuwepo hauna ubishi. Lakini as usual yale masomo yao ya kuwatoa na D mbili apate cheti yapo ie Kiswahili na Civics/history/english........!
Hawezi kusoma hesaba QT mitihani migumu watu wanarudia mara tano hajafaulu , atasoma masomo ya kawaida hist, Geor kiswa, eng, civics matano, baada ya hapo anaingia form three anasom HKL mpaka six, unashangaa anasoma OUT