Safi sana,2naweza kubadilishana mawazo na kuexchange material na resousez zake, kwa muda gani umekuwa ukiplay guitar and unapiga nn,solo,rythm or bass,So what do you want to chat about i am a guitarist
1. Swala la muda itategemea wewe mwenyewe uelewa wako na wepec wa vidole,wapo waliojifunza mwaka mzma ctl hawakuelewa. 2. Acoustic guitar(yasiotumia umeme)yanauzwa laki 1.Ahaa vizuri namna ya kuchanganya vidole kwenye nyuzi. Sasa swali langu hili: 1. Mimi sijui kabisa kuiga guiter, nikitaka kujifunza itachukua muda gani mpaka niwe nimeshakuwa mtaalamu?2. Guiter bei zake zikoje?
Ok safi sana! Ni vizuri kuwa na guiter lako unajipigia zako nyumbani saaaafi! thanks for info mkuu!1. Swala la muda itategemea wewe mwenyewe uelewa wako na wepec wa vidole,wapo waliojifunza mwaka mzma ctl hawakuelewa. 2. Acoustic guitar(yasiotumia umeme)yanauzwa laki 1.
Yeah ts rly nyc. Ukinunua guitar lako i wl gv u materialzOk safi sana! Ni vizuri kuwa na guiter lako unajipigia zako nyumbani saaaafi! thanks for info mkuu!
poa ntatafutaYeah ts rly nyc. Ukinunua guitar lako i wl gv u materialz
Mm nimeanza kujifunza mwaka jana december,sijawai kuwa na mwalimu,huwa nachukua lessons from internet,kwakwel nimeimprove saaaana.Nimekuwa napiga gitaa kuanzia mwaka 1965. Unatakiwa uwe japo na dak 15 kila siku kucheza na gitaa lako
Inabidi ufanye mazoezi ya angalau 15 minutes kama alivyosema babu yetu wa tangu mwaka 65! Dah Guiter natamani sana kujifunza!Mm nimeanza kujifunza mwaka jana december,sijawai kuwa na mwalimu,huwa nachukua lessons from internet,kwakwel nimeimprove saaaana.
Kama kwel unapenda,lazma uanze na kulinunua kabla ya yote.huwa nafanya zoez zaidi ya hzo 15,ndomana nimeimprove sana.Inabidi ufanye mazoezi ya angalau 15 minutes kama alivyosema babu yetu wa tangu mwaka 65! Dah Guiter natamani sana kujifunza!