Mmh...huyo mwenye guest nae!! kuokoka ni lazima imeandikwa wapi...mbona yeye hajaokoka? angekuwa kaokoka asingejenga jumba la kufanyia ngono..# Nonsense.
kwani "guest house" lazima kuduu ehh?
kwani "guest house" lazima kuduu ehh?
View attachment 43638lol lazima uduu kwa wasi wasi......
Kuna gesti dodoma sijui ni ya mwita25? Ina maneno ya kukemea zinaa, na inashauriwa wenye ndoa tu (sio wachumba) ndo washee chumba.
Swali zuri. Na kwanini bado wanaziita GUEST house wakati majority ya wateja ni WENYEJI?
Swali zuri. Na kwanini bado wanaziita GUEST house wakati majority ya wateja ni WENYEJI?
hii nzuri kweli kwa kuduuu full upako..
hii nzuri kweli kwa kuduuu full upako..
Jina is nothing. tena linaweza kutumika kuficha makucha.
sio nyumba zote za wageni ni za kufanyia huo uchafu (unaouwaza), hii ni maalumu kwa ajili ya wapendwa watumishi ...