Usipokuwa makini mdogo wangu CCM watakun'goa kabla ya muda, kinachotakiwa watose washikaji zako fasta fasta kama nilivofanya mimi enzi zangu urudishe imani ndani ya chama. Pia CDM wanakuja juu kwa kasi ya ajabu na wana support ya wananchi so kuwa makini ila nipo kukusaidia usijali. Safari za nje kupunza kidogo hii miaka iliyobaki hebu maliza soo la umeme, TRL na ATC.
Naona unapendapenda kubembea, maana kila mara kiguu na njia kwenye madege. Vipi dogo hukusoma chekechea?Kwani pale Lugoba baba yako alikuandikisha ubembee au uuze sura?
Ile chenji ya Radar haijaletwa bado? ikiletwa usinisahau bwana si unajua mimi sasa ni mstaafu na mradi wangu kule kiwira mmeshanizulumu. Sina pesa si unajua hivi vibinti vinasumbu oh mara mzee sina hela leo mara nahitaji 2,000,000 eh! mara nataka kwenda shping na marafiki zangu nahitaji 5,000,000/- nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.