sun wu
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 2,020
- 1,418
Mkuu evidence za Ufisadi sio rahisi kuzipata, kama vile ilivyo kushika hawa wapokea na watoa rushwa.., lakini ajabu huyu jamaa anataka kutuaminisha kutuma sms itasaidia kutokomeza hili janga... Holy Moly..., kweli binadamu never cease to amaze...,Hata siku moja sijawahi kuona wala kusikia mtu kathibitisha tuhuma za ufisadi dhidi ya Januari Makamba. Watu wametengeneza mabomu humu ndani JF juu yake lakini hakuna hata moja limemkamata kwasababu hakuna ukweli. Hata kwenye newsrooms za magazeti ya Bongo kumepelekwa mizinga wahariri wenyewe wameangalia wakaona ni majungu na wakaogopa kuzirusha hizo habari.
Kama kweli mpango wake ni kushika waharifu achukue pesa pale PCCB na kwenda nazo kwenye kitengo chochote cha Serikali under disguise kila siku atatoka na watu wa kutosha.. lakini vinginevyo hizi ni publicity stunts za kila siku.. Hizi ndio zile zile Malaria No More et al