Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,752
Maskini 'Siri kali' ya Tanganyika!!!? Inakuwa kama vile inaendeshwa na wendawazimu!!! Hii GTV imefunguliwa miaka michache tu iliyopita imewashinda kuendesha wakati TV Station iliyokuwepo miaka nenda miaka rudi ya SMZ bado inadunda!!!!
Mhhhh.this is new to me jamani,nilikuwa sijui kabisa....Kwani GTV inamilikiwa na 'Siri kali' ya Tanganyika?????,au ndo mambo flani ya kupotoshaaaaaaaaaz.....'Job true true'