Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Au UFISADI ushaingia na huko maana kesho nona Games zangu za kutazama halafu sijui vipi maana DSTV nao michosho
Makyao,Habari kuhusu G TV siyo nzuri kwa wapenzi wa michezo Afrika na kwingineko.
G TV imelazimika kusimamisha huduma zake zote.Hii ni kutokana na tatizo la mzozo wa fedha duniani.
Wapenzi wa michezo fuatilieni habari hizi na tuendelee kupeana taarifa ya kinachoendelea ndani ya G TV.
Makyao,
You got it right. Inasikitisha SANA na mbaya zaidi watanzania wengi walijiunga na huduma zao wakiachana na DSTV na hata mechi kadhaa nasikia DSTV hawakuwa na rights za kuonesha isipokuwa hawa GTV.
.
noma tupu!! ramifications za credit crunch hatimaye sasa imeanza kutuingia wabongo directly
SteveD is need of help to overcome alcoholism
naona umesahau preposition hapo....
GTV is going into liquidation, with immediate suspension of services.. source BBC radio, 30/01/2009 2035PM.
Tried to search the Web for more info without success...
GTV is going into liquidation, with immediate suspension of services.. source BBC radio, 30/01/2009 2035PM.
Tried to search the Web for more info without success...
Maskini 'Siri kali' ya Tanganyika!!!? Inakuwa kama vile inaendeshwa na wendawazimu!!! Hii GTV imefunguliwa miaka michache tu iliyopita imewashinda kuendesha wakati ile iliyokuwepo miaka nenda miaka rudi ya SMZ bado inadunda!!!!
From: GTV
Titlte: URGENT
With great regret, GTV announces immediate termination of all services.
We will be making a statement in the media.
bana, wapi inahitajika hiyo wewe?
LONDON – 30 January 2009 - Gateway Broadcast Services announced today that its Board of Directors has unanimously approved a plan to liquidate the Company.
The current financial and global crisis has severely interrupted the company's ability to secure further funding for the continued operation of the business.
The company has worked extensively with external advisors and all internal resources to investigate, evaluate and analyze strategic alternatives for the Company to further continue to operate. In determining to approve the Company's plan of Liquidation, the board and management carefully reviewed the advice and findings.
Gateway Broadcast Services, suppliers of the GTV service to subscribers across Africa has over the last 2 years invested a total of US$200 million and created jobs and competition in the 22 markets. The economic crisis that has emerged globally over the last few months has caused excessive demands on the business.
With immediate effect the service will be withdrawn.
"Increased instability in global markets interrupted our ability to secure funding on an acceptable timescale and have left us no choice but to cease operations," said a company spokesman.
"We realise the negative impact this has had on our loyal customers, creditors and staff, all of who have believed in GTV and the revolution in pay TV it had created. We have tried every possible step to keep the company going but we are all the unfortunate victims of the current global economic crisis."
Thank you.
Kamanda tafuta mkemwaka huu natabiri wakina mama watashika mimba sana.....
Bila shaka unafikili kuwa GTV ni TV ya serikali...Pole sana! GTV ni Gateway BroadcastingMaskini 'Siri kali' ya Tanganyika!!!? Inakuwa kama vile inaendeshwa na wendawazimu!!! Hii GTV imefunguliwa miaka michache tu iliyopita imewashinda kuendesha wakati TV Station iliyokuwepo miaka nenda miaka rudi ya SMZ bado inadunda!!!!
Rights za Premier league sijui zitakuaje hapo.