(Gregorian calendar) Is he pious?

sioni ubaya wa hizo amri. The world has to be depopulated, but naturally via natural deaths and family planning. Tunazaana sana hovyo na while the human race is dynamic, nature is static.

Na wewe mleta mada jifunze kuandika kwa ufasaha, na kuedit pia maana inaonekana umetubwagia hapa bila hata ya wewe kupitia

asante ninazidi kujifunza.
 
Kwanza kabisa lazima kuwamaliza hawa Wa-Afri "t" (zomba). Wanazaliana sana, lazima tutie "mchanga kwenye sukari"! (Ali Hassan Mwinyi.
 
na mimi naona wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa democracy ndio hiyo,sheria za kuzaliana katika nchi nyingi zimewekwa,world govenrmrnt ndio hiyo kupita UN,human rights ndio jambo siku hizi linalopiganiwa, kuna international court of justice, environemental issues ndio zinalipa siku hizi hata ukiandika maproposal kuhusu hayo utaonekana wa maana.

kwa kujua haya tunatakiwa kuwa makini sana vitu hivi.
 
ni kwel, kabisa yani ni adhma yao watu wapungue ili waweze kurule fresh

kurule fresh na kuenjoy resources zilizomo duniani.kwani resources hazitoshi ikiwa watu watazidi kuzaliana na kujaa. lakini je wakina nani wako hatarini kupunguzwa kama sio sisi watu wa nchi masikini tunaoletewa kila kitu ARV,s mara madawa mapya ya malaria mara vinywaji kadha wa kadha hata wasivyotumia wenyewe ila sisi wanatuletea.
 
Why maintain a population of 500,000,000 and not 1,000,000,000 or 5,000,000,000?
 
self esteem is the problem here.Chances are middle Easterns and North africans ndio watapunguzwa sana kwani wao ndio openly wana tangaza kuzaana kwa wingi ili waje tawala dunia na kuwangamiza wengine.So tayari wamejiingiza ktk conflicts.
 
sioni ubaya wa hizo amri. The world has to be depopulated, but naturally via natural deaths and family planning. Tunazaana sana hovyo na while the human race is dynamic, nature is static.

Na wewe mleta mada jifunze kuandika kwa ufasaha, na kuedit pia maana inaonekana umetubwagia hapa bila hata ya wewe kupitia


Raia are you saying kua tusha reach hio stage ya kutakiwa tupungue? Nature is kind of dynamic too I believe...
 
Raia are you saying kua tusha reach hio stage ya kutakiwa tupungue? Nature is kind of dynamic too I believe...

how nature becomes dynamic? Human race has a multiply effect. Does nature multiply itself? Talking about nature is talking about resources.
 
self esteem is the problem here.Chances are middle Easterns and North africans ndio watapunguzwa sana kwani wao ndio openly wana tangaza kuzaana kwa wingi ili waje tawala dunia na kuwangamiza wengine.So tayari wamejiingiza ktk conflicts.

si swala la self esteem hapa ila ndio ukweli kwani ni vitu gani tunavyojitengenezea wenyewe waafrika? ni nchi chache zinazojitengenezea madawa nguo na vitu vingine vya kutumia nyingi zetu ni za kusubiri tupewe toka nje au tununue, sera tunatunga tunasubiri kuambiwa hizo ziendelezeni hizo acheni, we have no power to decide anything in this world,wenye power ndio wanasema nasi tunafuata sasa democracy ndio utawala mzuri na tunalazimishwa kuufwata ikiwa tunataka tuwe sehemu ya international society,ukienda kinyume wewe gaidi wewe utasakamwa hadi upotee,the fact that we have no power on issues in the world ndio inayotufanya tuone kuwa sisi ndio tutakuwa waathirika wa haya mambo, leo hii peleka bidhaa yako nchi za magharibi kwanza ukifanikiwa kuipeleka shukuru lakini kuitumia hiyo bidhaa ni tatizo huko nje,lakini sisi kwa vile sio wazalishaji wa kila kitu basi tunapokea kila kijacho.majaribio ya madawa nchi zetu ndio zinakuwa projects tungekuwa na power tusingekubali lakini sasa mtakataaje wakati ikiwork tutapewa kama msaada?
 
Kuna mambo mengi sana ulimwenguni,tunayoyajua ni kama punje moja ya mchanga kati ya mchanga wa bahari!Hayo yaliyoko hapo ni machache sana!
 
Realness,kichuguu na wengine,nilisema hapo kabla kuwa papa Gregory hakuwa papa wa "kawaida" kama wengi wanavyofikiri!Ndo maana kalenda ina jina lake na inadaiwa ndo papa aliemtangaza "Mungu wa kweli",kwanza mnatakiwa mjue kuwa Lucifer wakati anampa maagizo Nimrodi alimpa na namna ya kufanya ibada!Nimrodi alikuwa ni mtawala wa babeli,nafikiri mnajua babeli ilikuwa ya waabudu shetani,ibada yao kuu ilikua ni ibada ya sayari,jua na nyota,hao ndo walikua miungu yao,pia walikua wanatumia namba na ishara,miungu yao yaani nyota,sayari na jua ilikua 36,ila mungu mkuu alikua jua na mungu mke alikua mwezi,mungu jua aliitwa shamash na mungu mke yaani mwezi aliitwa ashtoresh!Majina haya yalikua yanabadilika kulingana na lugha ya eneo husika,mfano misri mungu jua aliitwa Horus na mungu mwezi aliitwa Isis,mungu jua alikua anaabudiwa jumapili(sun-day)na sikukuu ya kuzaliwa kwake ni 25 dec,mungu mwezi yeye sikukuu yake inaitwa Easter(EASTER ilitokana na neno ashtoresh)hata ukikagua sikuku ya pasaka husherekewa wiki ya kwanza baada ya kutoka mwezi mchanga mwezi wa 4!Namba walizokua wanatumia babeli ni 3,5,6,7,9,11 na 13,namba hizi zina nguvu maalum kutoka kwa Lucifer,na alimkabidhi Nimrodi na wafuasi wake na zinatumika mpaka leo!Imani ya babeli ipo hadi leo na vilivyotumika na kuabudiwa babeli vipo hadi leo na kazi ni ileile.Kanisa katoliki lilianzishwa na wapagani hao,ndo maana ukifika vatcan kuna alama za jua,mwezi na alama nyingi za kipagani!Zile namba,kila namba ina maana yake,hapa nitazungumzia namba 11 na 13 tu coz ndizo zinahaitajika hapa,angalia post yangu inayofuata,...
 
Namba 11 inamaana ya nguvu mbili zilizo sawa yaani Mungu na shetani(lucifer)mahali popote wapagani hawa watakapoitumia jua wanapeleka ujumbe kuwa Mungu na shetani wako sawa!(angalia tukio la sept 11 maarufu kama 911)Namba 13 ni namba ya uasi,wao wanatangaza wazi kua wamemuasi Mungu na wanamtumikia shetani!Hata Yuda wanamheshimu sana kwa uasi wake,wakati hajamuasi walipokuwa pamoja walikua 13!Mitume 12 na Yesu mwenyewd wa 13!Hivyo wanapoitumia namba hiyo wanaeneza ujumbe wa uasi kwa Mungu(angalia mhuri wa marekani,una ndege aina ya tai,miguuni ana tawi lina majani 13,mguu mwingine una mishale 13,mkia wake una manyoya 13!Bendera ya taifa hilo ina nyota 39(13 mara 3)mistari ya rangi nyekundu na nyeupe ipo 13)Papa Gregory ni papa wa 13 na aliruka siku 11 kwenye kalenda ya zamani!Hayo yote hayajatokea bahati mbaya!Huyo Mungu wa kweli alie mtangaza papa huyo si mwingine ni Lucifer!Kwa tafsiri ya namba ni kwamba,wanaendelea kutangaza uasi wa Lucifer alioufanya mbinguni(namba 13)na uasi huo alifanyiwa Mungu aliesawa na mungu wao Lucifer(namba 11)nadhani mtakua mmefahamu kwanini kalenda hiyo imeitwa jina la papa huyo!
 
Mkuu Eiyer
Kwa maelezo rahisi ni kwamba dunia inatumia kalenda yenye uwelekeo wa kipagani bila kujua au haijali?
Hili tukio la 9/11 linavyounganishwa na uwepo wa Mungu huwa sielewi na siamini.,kama Wamerekani ni wapagani kutokana na maelezo yako hapo juu inakuaje tena shambulio la upagani likafanyike katika ardhi ya Upagani? walitaka kuonyesha nini hasa? Au ni pigo toka kwa Mungu wa kweli?
 
Namba 11 inamaana ya nguvu mbili zilizo sawa yaani Mungu na shetani(lucifer)mahali popote wapagani hawa watakapoitumia jua wanapeleka ujumbe kuwa Mungu na shetani wako sawa!(angalia tukio la sept 11 maarufu kama 911)Namba 13 ni namba ya uasi,wao wanatangaza wazi kua wamemuasi Mungu na wanamtumikia shetani!Hata Yuda wanamheshimu sana kwa uasi wake,wakati hajamuasi walipokuwa pamoja walikua 13!Mitume 12 na Yesu mwenyewd wa 13!Hivyo wanapoitumia namba hiyo wanaeneza ujumbe wa uasi kwa Mungu(angalia mhuri wa marekani,una ndege aina ya tai,miguuni ana tawi lina majani 13,mguu mwingine una mishale 13,mkia wake una manyoya 13!Bendera ya taifa hilo ina nyota 39(13 mara 3)mistari ya rangi nyekundu na nyeupe ipo 13)Papa Gregory ni papa wa 13 na aliruka siku 11 kwenye kalenda ya zamani!Hayo yote hayajatokea bahati mbaya!Huyo Mungu wa kweli alie mtangaza papa huyo si mwingine ni Lucifer!Kwa tafsiri ya namba ni kwamba,wanaendelea kutangaza uasi wa Lucifer alioufanya mbinguni(namba 13)na uasi huo alifanyiwa Mungu aliesawa na mungu wao Lucifer(namba 11)nadhani mtakua mmefahamu kwanini kalenda hiyo imeitwa jina la papa huyo!
Hii ni imani yako mwenyewe uliyeandika hapa, na haimaanishi katu kuwa ndiyo ukweli. Kuna tofauti kubwa kati ya imani na ukweli. Hivi kuna ushahidi gani kuwa huyo unayedai ni Lucifer kwanza kweli yupo na kwamba aliwahi kuzungumza na binadamu, na wapi? Nani aliyeandika hayo na alikuwa wapi (upande wa nani) alipokuwa anayaandika, na tuna sababu gani ya kuamini kuwa ni ya kweli? Na huyo Mungu tunayemgombanisha na Lucifer ndiyo yupi? Kama ni yuleyule anayesemekana kuwa ndiye muumbaji wa vyote (including Lucifer) na mwenye uwezo wote, kuna walakini sana katika maelezo na imani yako! Hivi kuna mantiki hapa; kwamba Mungu muumba wa vyote na mwenye uwezo wote eti anasumbuliwa na viumbe aliowaumba mwenyewe, wanapanga mbinu chafu na wanafanikiwa mbele ya macho yake! Hii inakinzana na ukuu wa Mungu tunaohubiriwa, ambao napenda sana kuuamini. Na hivyo inanifanya niamini kuwa pengine Mungu yule muumbaji ni tofauti na huyu tunayesimuliwa hapa kuwa ana ugomvi na akina Lucifer, eti anakasirikiana na binadamu wake aliowaumba mwenyewe hadi anaamua kuwaangamiza kwa maji mara moto, mara gharika! Hata mhandisi wa kawaida binadamu tu akisanifu chombo chake kikatokea kutenda kazi kinyume na design aliyokusudia huwa hakichomi moto, badala yake anarudi kwenye drawing board na kutazama alipokosea ili arekebishe kiwe ama anavyotaka. Wanaotuhubiria kuhusu Mungu wanatuaminisha kuwa Mungu alishindwa kuumba binadamu wenye kumtii na sasa ameishia kuwakasirikia na kuwachoma moto!

Kwa kifupi sana ni kuwa hadithi zote kuhusu hao miungu mnaosimulia na akina Lucifer na kadha wa kadha hazina tofauti na zile za Alfu lela ulela, ni hadithi tu ambazo hata kimantiki zinajipinga zenyewe, mwenye kutaka kuziamini ni haki yake lakini imani na ukweli ni vitu tofauti kabisa.
 
Namba 11 inamaana ya nguvu mbili zilizo sawa yaani Mungu na shetani(lucifer)mahali popote wapagani hawa watakapoitumia jua wanapeleka ujumbe kuwa Mungu na shetani wako sawa!(angalia tukio la sept 11 maarufu kama 911)Namba 13 ni namba ya uasi,wao wanatangaza wazi kua wamemuasi Mungu na wanamtumikia shetani!Hata Yuda wanamheshimu sana kwa uasi wake,wakati hajamuasi walipokuwa pamoja walikua 13!Mitume 12 na Yesu mwenyewd wa 13!Hivyo wanapoitumia namba hiyo wanaeneza ujumbe wa uasi kwa Mungu(angalia mhuri wa marekani,una ndege aina ya tai,miguuni ana tawi lina majani 13,mguu mwingine una mishale 13,mkia wake una manyoya 13!Bendera ya taifa hilo ina nyota 39(13 mara 3)mistari ya rangi nyekundu na nyeupe ipo 13)Papa Gregory ni papa wa 13 na aliruka siku 11 kwenye kalenda ya zamani!Hayo yote hayajatokea bahati mbaya!Huyo Mungu wa kweli alie mtangaza papa huyo si mwingine ni Lucifer!Kwa tafsiri ya namba ni kwamba,wanaendelea kutangaza uasi wa Lucifer alioufanya mbinguni(namba 13)na uasi huo alifanyiwa Mungu aliesawa na mungu wao Lucifer(namba 11)nadhani mtakua mmefahamu kwanini kalenda hiyo imeitwa jina la papa huyo!

Wewe unaongea imani yako ya kidini; lakini ukweli ni kuwa siku 11 zilizoondolewa (hazikuongezwa) ni zile zizlzokuwa zimezidi kwa hesabu ya dakika kumi kila mwaka kwa miaka 1585. Kila baada ya miaka 132 kulikuwa na siku moja inaongezwa kwenye kalenda hivyo ikawa iko mbele ya mzunguko wa dunia kuzunguka jua. Baada ya miaka 1585 kalenda ikawa imesogea mbele kwa siku 11, tena hata Gregroy hakupatia mahesabu sawasawa na mpaka leo bado kuna kosa la sekunde 24 kila mwaka. Njia rahisi ilikuwa ni kutangaza majira mapya ya wakati badala ya haya ya sasa yanayotambua saa 24 kwa siku, dakika 60 kwa saa na sekunde 60 kwa saa.

Kuamnini kuwa papa Gregory ndiye papa pekee aliyemtangaza Mungu wa kweli hilo ni swala la imani ya kidini ya kila mtu, na siyo vyema kulijadili hapa. Hata hivyo mtazamo wa aina hiyo unaonyesha kuwa hata yule mtume Peter aliyekuwa na yesu, ambaye ndiye papa wa kwanza aliyeanzisha kanisa hapo Roma naye hakuwa anamtangaza Mungu wa kweli, jambo ambalo inaweza kuwa vigumu kuthibitisha.
 
Hatuna ushahidi wowote kama kweli secret societies wapo. Ila kuna watu wenye mental problems ambao huogopa kila kitu. Wakiona Obama wanaogopa...wakiona China inapaa wanaogopa. Wanajenga nadharia za uwongo na kuzieneza. Hawa ndiyo wale wanaodhani dunia hii iliumbwa kwa ajili yao na ni wao peke yao ambao wana haki ya kuitawala dunia hii. Ni weupe wachache vichaa. Ndiyo wale kwa mfano waliojiita KKK na slogan yao ya 'white power'. Ndio hao ukiwaambia kwamba in fact mababu zetu weusi ndo waliowaumba kinamnanamna enzi hizo hapo ndo unaongeza cheche za moto...:wink2:
 
Kichuguu unanifanya nicheke sana,hivi unafikiri mimi nazungumzia imani yangu?Jiulize ni kwanini ziondolewe siku 11 na sio pungufu?Kwanini hayo yafanywe na papa wa 13 na sio zaidi yake au nyuma yake?Hili sio suala la imani kijana,petro anaedaiwa kuwa papa wa kwanza wa kanisa katoliki sio yule mfuasi wa Yesu,mimi sikuzungumzia dini wala haya mambo hayakutokea bahati mbaya kama unavyofikiri!
 
Kichuguu unanifanya nicheke sana,hivi unafikiri mimi nazungumzia imani yangu?Jiulize ni kwanini ziondolewe siku 11 na sio pungufu?Kwanini hayo yafanywe na papa wa 13 na sio zaidi yake au nyuma yake?Hili sio suala la imani kijana,petro anaedaiwa kuwa papa wa kwanza wa kanisa katoliki sio yule mfuasi wa Yesu,mimi sikuzungumzia dini wala haya mambo hayakutokea bahati mbaya kama unavyofikiri!

Siku 11 ndizo zilizokuwa zimezidi piga hesabu ya dakika kumi na robo kila mwaka kwa miaka 1585 ni sawa na takriban dakika 15850 ambazo ni sawa na siku 11. Mwaka 1585 kulikuwa na elimu pana ya kujua dunia inazunguka jua kwa siku ngapi. Gregory alitumia wanamahesabu wengi kupiga mahesabu namna ya kutafuta idadi ya siku zilizozidi na namna ya kuzuia kosa hilo tena. Uelewa wa ulimwengu kabla ya hapo haukuwa unatosheleza hayo kufanyika.
 
Back
Top Bottom