Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,363
sioni ubaya wa hizo amri. The world has to be depopulated, but naturally via natural deaths and family planning. Tunazaana sana hovyo na while the human race is dynamic, nature is static.
Na wewe mleta mada jifunze kuandika kwa ufasaha, na kuedit pia maana inaonekana umetubwagia hapa bila hata ya wewe kupitia
asante ninazidi kujifunza.