MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,852
- 6,205
Heshima kwenu wadau,
Hopin wengi hamumjui natalia, so nilikuwa mpweke sana kipindi alipopotea as mods walimpiga Ban baada ya kutupia mi threads ya kumwaga enzi za august.. Nikawa na mawazo sana as Natalia alikuwa ananipa raha sana as nikisoma thread zake.
Bahati nzuri mods wakasikia kilio changu as nilivyoona thread ya greetings from natalia niliripuka kwa furaha as nikajua season 2 is back nijiandae kuondoa stress na thanks to her ameanza polepole kuleta vitu..
Jamani wapi Bebii, Husninyo, Afrodenzi na wengineo wa zamani zile au nanyi mmepigwa ban la maisha...
Natalia amerudi huku anawafunika
Hopin wengi hamumjui natalia, so nilikuwa mpweke sana kipindi alipopotea as mods walimpiga Ban baada ya kutupia mi threads ya kumwaga enzi za august.. Nikawa na mawazo sana as Natalia alikuwa ananipa raha sana as nikisoma thread zake.
Bahati nzuri mods wakasikia kilio changu as nilivyoona thread ya greetings from natalia niliripuka kwa furaha as nikajua season 2 is back nijiandae kuondoa stress na thanks to her ameanza polepole kuleta vitu..
Jamani wapi Bebii, Husninyo, Afrodenzi na wengineo wa zamani zile au nanyi mmepigwa ban la maisha...
Natalia amerudi huku anawafunika